Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Dah nitashuka chini kule pale kwa wazee wake japo kaubani aisee km namuona amina kuanzia darasa la kwanza to seven nimesoma nae mitaa yetu ya kujidai msisiri pale ccm kuangalia mapicha + vichwa vya kuku...
Kama umesoma na Amina tutakuwa tunajuana aisee Amina nilimaliza nae mwaka mmoja na na kuanzia la kwanza nilisoma nae darasa moja alikua na rafiki yake hadija kiaratu
 
Sasa hutaki!? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si kwamba sitaki.

Nauliza, inawezekana kuna historia ambayo mimi siijui.

Najua Museveni kakaa Upanga mtaa wa Mindu, najua mpaka bifu za Yoweri Museveni na jirani yake Tito Okello (ambaye baadaye alimpindua). Mpaka afande Karubi alivyowasuluhisha kwenye parties za wanajeshi Mindu. Mpaka Ben Mashiba alivyomwambia Mwalimu awatenganishe na Museveni akaondoka kwenda msituni. Jinsi Museveni alivyokuwa anakodi teksi halafu halipi mpaka madereva teksi wa Muhimbili wakawa wanamkimbia, mpaka jinsi Museveni alivyotoka flat aliyopewa na Ikulu Mindu Street bila kulipa bili ya umeme na maji, mpaka akalipiwa na aliyemfuatia kukaa kwenye hiyo flat.

Huko Mwananyamala alikaa mwaka gani? Inawezekana alikaa, sijui, nauliza tu.

Mimi nafuatilia historia za maisha ya Museveni, Mondlane na Mugabe Tanzania.
 
Nimeondoka hapo kitambo sanaa hivi ule uwanja wa spurs bado upo ,aise pale ilipigwa mechi moja Kali miaka ya 2001 Kati ya faru dume ya manzese na timu nyingine nimeisahau aise ile mechi baada ya firimbi ya mwisho tu uwanja ukageuka kuwa wa vita.
 
Pale uwanjani kwa kopa kuna upande wa uwanja unaitwa kwa wahuni hapo ni bangi mtindo mmoja alafu cha kushangaza kituo cha police kipo mita mia kutoka Hapo...
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Mamaeeeee
 
Nasikia mkuu wengine unakuta kuna watoto wachanga wamelala mkuu unapiga kazi dogo amelala pembeni ukiwa unapiga kazi fresh nasikia anampa report mwenzie wa room ya pili ila wanazungumza kwa lugha yao(kikabila) " huku kuna mwanaume wa kweli" pia sio ruksa kupiga bao mbili( coz la pili utachelewa na yeye anataka fasta fasta ili apate wateja wengi pia asichoke) bao ni moja km una usongo wako ukaingie room nyingne ili uanze upya
Ulichoongea ni ukweli kabisa, nina experience nacho.
Nakumbuka miaka ya 2013 nilikuwa na rafiki yangu tunaenda kununua hiyo bidhaa. Ukiwa na genye nyingi unaingia chumba hiki unagonga moja, unahamia cha pili unagonga la pili then ndio mnaingia bar.
Sema kuna muda deme akiona umetoka chumba cha jirani, anakuchomolea, anajua utachelewa kukojoa. Au akiona unanuka pombe anakuchomolea.
 
Si kwamba sitaki.

Nauliza, inawezekana kuna historia ambayo mimi siijui.

Najua Museveni kakaa Upanga mtaa wa Mindu, najua mpaka bifu za Yoweri Museveni na jirani yake Tito Okello (ambaye baadaye alimpindua). Mpaka afande Karubi alivyowasuluhisha kwenye parties za wanajeshi Mindu. Mpaka Ben Mashiba alivyomwambia Mwalimu awatenganishe na Museveni akaondoka kwenda msituni. Jinsi Museveni alivyokuwa anakodi teksi halafu halipi mpaka madereva teksi wa Muhimbili wakawa wanamkimbia, mpaka jinsi Museveni alivyotoka flat aliyopewa na Ikulu Mindu Street bila kulipa bili ya umeme na maji, mpaka akalipiwa na aliyemfuatia kukaa kwenye hiyo flat.

Huko Mwananyamala alikaa mwaka gani? Inawezekana alikaa, sijui, nauliza tu.
Gained something.. !!! Inaonekana mu7 was just another dreamer
 
Gained something.. !!! Inaonekana mu7 was just another dreamer
Museveni amepaishwa sana na Mwalimu Nyerere. Alivyokuwa UDSM Ikulu alikuwa anakanyaga kama nyumbani, na nyumba ya Upanga alipewa na Ikulu, Mwalimu akielewa mpango mzima wa Museveni wa kuingia msituni kwenda kumtoa Amin.

Baada ya Amin kumpindua swahiba wake Mwalimu Nyerere, Milton Obote.

Ndiyo maana nauliza, Mwananyamala Museveni kakaa mwaka gani?
 
Museveni amepaishwa sana na Mwalimu Nyerere. Alivyokuwa UDSM Ikulu alikuwa anakanyaga kama nyumbani, na nyumba ya Upanga alipewa na Ikulu, Mwalimu akielewa mpango mzima wa Museveni wa kuingia msituni kwenda kumtoa Amin.

Baada ya Amin kumpindua swahiba wake Mwalimu Nyerere, Milton Obote.

Ndiyo maana nauliza, Mwananyamala Museveni kakaa mwaka gani?
Pengine mtaa wa Wibu... Can't guarantee
 
kweli jf ni kiboko, unawez kukuta tunafahamiana hata kunywa pamoja ila hizi id full kutukanana te teh... bedui, beka et al nawafahamu sana. beka ni mstaarabu, ila bedui mzee wa gongo sana hahahaha
Kweli bwana Beka ni mstaarabu, yaani hizi fake ID acha kabisa. Yaani nimeamini humu mitaani huwa tunapishana na wana JF kibao tu, na hii nimejifunza kwenye huu uzi na na ule wa James.
Kumbe unaweza kuona mtu mnakinzana JF halafu mtaani mko pamoja kabisa.
 
Kweli bwana Beka ni mstaarabu, yaani hizi fake ID acha kabisa. Yaani nimeamini humu mitaani huwa tunapishana na wana JF kibao tu, na hii nimejifunza kwenye huu uzi na na ule wa James.
Kumbe unaweza kuona mtu mnakinzana JF halafu mtaani mko pamoja kabisa.
Hapa unaweza kubishana hata na baba yako bila kujua.
 
Kuna siku nimepandia daladala hapo peace round about mida ya SAA 5 asbhi nikaenda kukaa nyuma kabisa, huko nikawa nimekaa na Dada mmoja (sijui wa mkoani yule) akiwa anaongea na simu dirishani ....Basi dala x 2 ilipofika Mwananyamala hospitali walitokea wahuni wakakwapua ile simu kisha wakatoa line wakamrudishia,..... Yule Dada badala ya kuitia mwizi yeye akatoa ahsante huku akiwa kataharuki kwa mshangao ....Gari ilipofika Komakoma eti ndio akaanza kulia kwa sauti.
 
Kuna siku nimepandia daladala hapo peace round about mida ya SAA 5 asbhi nikaenda kukaa nyuma kabisa, huko nikawa nimekaa na Dada mmoja (sijui wa mkoani yule) akiwa anaongea na simu dirishani ....Basi dala x 2 ilipofika Mwananyamala hospitali walitokea wahuni wakakwapua ile simu kisha wakatoa line wakamrudishia,..... Yule Dada badala ya kuitia mwizi yeye akatoa ahsante huku akiwa kataharuki kwa mshangao ....Gari ilipofika Komakoma eti ndio akaanza kulia kwa sauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna siku nimepandia daladala hapo peace round about mida ya SAA 5 asbhi nikaenda kukaa nyuma kabisa, huko nikawa nimekaa na Dada mmoja (sijui wa mkoani yule) akiwa anaongea na simu dirishani ....Basi dala x 2 ilipofika Mwananyamala hospitali walitokea wahuni wakakwapua ile simu kisha wakatoa line wakamrudishia,..... Yule Dada badala ya kuitia mwizi yeye akatoa ahsante huku akiwa kataharuki kwa mshangao ....Gari ilipofika Komakoma eti ndio akaanza kulia kwa sauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom