Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kuna boda moja maeneo ya msikiti wa mchangani unafanya kama unaenda Tandale....lilikuwa eneo hatari sana.
 
Nasubiria uzi wa Tandale na Mabibo .
Huwaga nakutana nao sana masela wa mabibo hapa uwanja kinesi kwenye mechi za ligi daraja la pili. Wana stori nyingi sana za uswahilini.
 
Pouwa na mimi ni almost same time 2001-2010 karibu na Tiger
 
Nimeona watu Wa Mwananyamala wanaulizana kuhusu pombe. Ila sisi wa magomeni kagera , Mburahati na kigogo tunaulizana ulifika au uliishia msumbiji?

kweli kaka yaani toka naanza primary nasikia huyu kazamia sijui yupo south, mara chindolo yupo nepal yaani full kuhustle
 
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Stiba....sijui alishia wapi alikuwa anawakalisha sana wahuni wa kinondoni
 

daaah umegusa pale pale hayo machama yote nayanyaka nimesona mwembechai karume, skani kagera mikoroshini
 
daaah umegusa pale pale hayo machama yote nayanyaka nimesona mwembechai karume, skani kagera mikoroshini

Hahahahaha Mzozo na vijana wake wapo, karume ya Machano? au karume ipi mkuu..
 
Hapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu

Shenzi kabisa....!!!
 
Hiyo mitaa ya Mwananyamala,Tandale,Kino,Manzese,Magomeni nk hata askari wake walikuwa timamu sio legelege maana uhalifu ni sehemu ya maisha huko... Askari wengi wa hayo maeneo walikuwa wacheza ngumi kama akina KOBA KIMANGA, HASSAN MATUMLA nk.. Huko askari akiwa legelege kila siku unachezea vitasa maana watoto wa kihuni hawaendi polisi kizembe.. Ule uhalifu ndio ulisababisha kituo cha Mabatini kizaliwe.
 
Kuna jamaa alipigwa hela pale nyuma ya hospitali, aliulizwa simple tu, unajua kingereza? we mtoto wa mjini? akajibu ngeli napiga na mimi mtoto wa mjini wakampa bunda la blue blue na wakamwambia kabisa huo mzigo famba wanataka kumpiga mzungu, yaani ampelekee mzungu mmoja halafu eti yule mzungu atampa dola aje nazo moja kwa moja pale walipo halafu yeye ujira wake dola 100 akasema poa, hawa jamaa wakampa sharti aache wallet pale na vitambulisho vyote, jamaa kaangalia lile bulungutu la bluu bluu halafu wallet yake ina kilo tu (100,000) akaaingia line akaacha wallet na vitambulisho vyake, kapewa namba ya mzungu wakaanza kuwasiliana mpaka wakakutana na mzungu, akachukua bluu bluu akapewa bulungutu la dola katia mfukoni kasepa, kurudi kule kakuta hamna mtu, kumbe mzungu naye mpigaji tu dola alizopewa juu ilikuwa 100 famba chini dola , katikati makaratasi. Laki imeondoka.
 
Hahahahaha Mzozo na vijana wake wapo, karume ya Machano? au karume ipi mkuu..

iyo iyo ya machano, mzozo yupo na friends ranger ipo daraja la 1, mzozo kasaidia wachezaji wengi sana tatzo tu elimu hana ila jamaa peace sana
 
Kweli Bongo Daslam[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nasikia kuna wizi wa majeneza umeibuka msisiri B... Mzee mmoja anasema anashangaa miaka yote haijawah kutokea[emoji3]
 
mshana jr ebu nifafanulie mtaa wa Pamba Street pale Mwananyamala A, una kasoro gani? Nasikia ale kuna Mze mmoja hivi alikuwa mchawi kishenzi na alikuwa anafanya kazi bandarini. Huko bandarini watu wakimuudhi tu hupotea majini na pale mtaani kwao watu walikuwa hawakanyagi. Una ufahamu wowote juu ya huu mtaa? Mimi nilkuwa natokaga na demu fulani toka pale na ndipo nilipokuwa nasikiaga hizi story za kutisha ila huyo mze mwenyewe sijawahi kumuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…