tandaleUkiwa na mke au watoto. Sehemu hizi sio nzuri kuishi nayo:-
Mwananyamala
Magomeni
Keko
Buguruni
Ilala
Vingunguti
Bonde la msimbazi
Msasani bonde la mpunga
Iyo mieneo mtoto kudata ni kitu cha Kawaida sana
Na ukamtukana vizuri tu..[emoji38] [emoji38]Hapa unaweza kubishana hata na baba yako bila kujua.
Mabibo mpakani pale shule darasa la saba kila wanaohitimu hapakosekani mashoga wa kutosha, watoto wanatatuana rinda vyooni, wenyeji wengi wanapeleka watoto wao shule zingine kama mianzini mburahati, pale mpakani sio poa, nakkoz gym pale kijiwe alichokua anashinda mashali hatari sana,tandale
keko mwanga
uwanja wa fisi
midizini
mabibo mpakani
tandale
keko mwanga
uwanja wa fisi
midizini
mabibo mpakani
Tayari nshakutagSijawahi soma mada nikafurahi kama hii... Naijua Mwanyamala kama kijiwe cha bia siku moja moja wakati wa ujana ila sikuwahi jua makuu haya.. Thanks mliounzisha huu uzi hakika tumepata historia fulani mhm sana... Pia nimependa sana uchangamfu wa wenyeji yaani sina haja ya kuwa na wasiwasi na mlichosema maana mmefunguka hadi aibu... My heart beat anafanya kazi mwananyamala ananiambia ukitaka amani uelewane na wale mateja wakizidiwa wape chochote, hapo gari na mali yako vinalindwa kwa nguvu za wenyeji la sivyo kuna siku ya kulizwa......Big up people... Mshana naomba ya manzese magomeni unitag please maana hivi viwanja vilinikaribisha jijini nina ya kushare pia....
fine niwahi huko...Tayari nshakutag
Aise hebu nipe ramani ya kufika huu uwanja nausikiaga tu ila sipajuiNgono inafanywa mchana kweupe maeneo ya uwanja wa fisi, madada poa wanavyumba vyao special kwa huduma hiyo..Wanatoa huduma zote muhimu kwanza condom unapewa bure ukimaliza shughuli unasafishwa vizuri na tissue paper kwa gharama ndogo tu ya kuanzia elfu 2 kwa bao moja., ila kwa usawa huu mgumu wa maisha lazima bei ishuke..
ya nini kujiita padri huku ukitumia maneno yasiyokuwa na staha kama kuwa...ba? Unaharibu proffesional za watu, au lengo lako huwa ni kuwadhalilisha watu hawa? Kama huwezi kutendea haki id yako, ni bora uibadilishe. Watu tunakuwa twasema padri mcharo muhuni, malaya nk. kumbe huna cha upadri!Kubabake walay... Mnanipa raha mshana jr , Shunie , Mjushi
Endeeleni kutiririka mazee, mie nimeishi hapo mitaa ya kwa Salama Chaurembo karibu na uwanja wa Mw'nyamala B.
Nimewatomba sana mabinti wa maza house mpaka nikapewa Notice na mjomba wao ndio nikahama.
Kwakweli kitu nachomiss Mw'mala ni "Cheap Life".
Huduma za kijamii ziko chini na zinapatikana kwa urahisi.
Hospitali na dispensary zipo jirani, Soko la Magengeni jirani, Usafiri Daladala za kumwaga.
Misikiti sasa (mnajua mie ni Muislamu) ukikata kona msikiti huu hapa.
Yah ni kweliMpaka wa mwananyamala na kinondoni ni wapi?? Kuna mtu humu kasema ni barabara ya kawawa.. kwahio nimemfuata huyo boss.
Usimchokoze hiyo ni kamusi ya matusi ndugu yanguya nini kujiita padri huku ukitumia maneno yasiyokuwa na staha kama kuwa...ba? Unaharibu proffesional za watu, au lengo lako huwa ni kuwadhalilisha watu hawa? Kama huwezi kutendea haki id yako, ni bora uibadilishe. Watu tunakuwa twasema padri mcharo muhuni, malaya nk. kumbe huna cha upadri!
Tena la kustaajabisha siyo Mkristu... Nadhani umenielewa...ya nini kujiita padri huku ukitumia maneno yasiyokuwa na staha kama kuwa...ba? Unaharibu proffesional za watu, au lengo lako huwa ni kuwadhalilisha watu hawa? Kama huwezi kutendea haki id yako, ni bora uibadilishe. Watu tunakuwa twasema padri mcharo muhuni, malaya nk. kumbe huna cha upadri!
Na ww uliwahi kulikalia?[emoji13] [emoji13]Mkuu hilo gogo ukikalia ukanyanyuka mwenzako anakimbilia nafasi, na ukirudi unalianzisha unataka sehemu yako.
Uzi wa mshana usingekamilika bila namba 7
Ukitaka roba za maana Njoo mwananyamala kisiwani......
Ova
...kwa mama zakaria MOJA hio
Ukamfanya nini huyo??[emoji23] [emoji23]Nilikuwaga na kadem hapo kwa mama zakaria kona karibu na godown la coca (distributor) japo home ilikuwa tabata ila nilipapenda pamechangamka mda wote
Ukamfanya nini huyo??[emoji23] [emoji23]
Rudi Tabata faasta[emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilishatemana nae mkuu. Sasa hv npo zangu tabata na warembo wa bima