Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Wakati nimepanga hapo mitaa ya Magengeni karibu na kwa Salama Chaurembo, ebana maza mwenye nyumba ana mabinti watatu.
Nimetomba mabinti zake wawili, nikabakiza mmoja tu sababu alikua bonge. Sipendagi mabonge.

Na nimewatomba kwelikweli. Mpaka mjomba wao alipogundua akanipa notice Nihame.
[emoji15] kumbe ndio wew mkuu???
 
Hujaitendea haki Mwananyamala,bila kuitaja Kwa Manjunju, kwa mama zakaria, Komakoma,ujiji na kisiwani.
Kuanzia Kwa manjunju hadi kwa mama zakaria ni maeneo hatari sana kwa wizi wa simu, some times wezi hupandia mwananyamala kisiwani "Kituo cha shule" ila wezi wakubwa wa simu sio wanaopanda dala dala ka =ma wale wa njia ya Tandale, ni vijana waliopo chini ambao wanavizia abiria wanaochat, na maeneo hayo kuna bumps so daladala lazima iende taratibu.

Komakoma hakuna wizi ila kuna mateja wanazagaa zagaa sana,na nyakat za usiku wale malaya wanaojiuza masai club husogea komakoma mida ya alfajiri katika harakat za kurud nyumbani, ni moja ya maeneo ambayo watu huwa hawalali,na daladala hupatikana muda wote zinaanzia Mwananyamala A kuja komakoma na kwenda Buguruni, Ubungo (Kwa usiku) na Kariakoo.
Mwananyamala Kisiwani,ambayo kijiografia inakwenda kupakana na Tandale sifa yake kuu ni wasichana wanaosasambua, hao ndio wamepinda na hawana soni hata kidogo, na hata wanawake wa maeneo mengine huwashangaa, hupenda kuvalia dera mnasio na kumwaga radhi kwenye sherehe, mwanamke anaweza kuikatikia chupa na akainyanya kwa kupitia uke au sehemu ya kunyea. Haya yapo mwananyamala.

Wengine wataongeza bro mshana jr
Umenikumbusha hiyo ya maeno hatari kwa wizi wa simu miaka kama mi4 iliyopita hivi mida ya sa 10 alfajiri tunarudi toka njenje tupo kwenye gari kwa mama zakaria tunamshusha rafiki yetu mmoja nimeshika simu nachat kioo nimeshusha hata mtu alipotokea sijamuona anataka kukwapua simu yangu nilichofanya niliidindosha chini ndio salama yangu bila hivi simu ilikua inaenda
 
Umenikumbusha hiyo ya maeno hatari kwa wizi wa simu miaka kama mi4 iliyopita hivi mida ya sa 10 alfajiri tunarudi toka njenje tupo kwenye gari kwa mama zakaria tunamshusha rafiki yetu mmoja nimeshika simu nachat kioo nimeshusha hata mtu alipotokea sijamuona anataka kukwapua simu yangu nilichofanya niliidindosha chini ndio salama yangu bila hivi simu ilikua inaenda
Hata hivyo hayo mambo yamepungua mno kama siyo kuisha kabisa sasa hivi wanaoibiwa ni wanyasa pia wezi wengi wamekufa kufa
 
Piga sana gemu kwa wahaya hapo kuna mama MTU mzima alikua Fundi haswa was mahaba ukikuta room take imefungu unazunguka unaweka poz ccm ukisubiri aliomo atoke kunje mkunjavyo halala miki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Picha ya kusukumizia uzi.

Hapa ndiyo Makaburini

IMG_20180120_164453.jpg
 
Dah kinachofuata inabidi nibadilishe avatar.

Huyo namjua, mwingine anayekesha yuko Msisiri, karibu na gesti ya Garden Rose (siyo Rose Garden)
Ahahahhh ubadili avatar kwa ajili gani tena
 
Kuna yule jamaa mwizi wa umeme pale A alifungua kabisa na kituo cha kuuzia token za luku... Yaani biashara haramu aliihalalisha kabisa... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]shikamoo Mwananyamala
Vishoka wote headquarters ni Mwananyamala
Kwa vishoka magomeni na kigogo ndo noma.. Sema labda hao vishoka wanatokea Mananyamala [emoji23]
 
Picha ya kusukumizia uzi.

Hapa ndiyo Makaburini

View attachment 680695
Makaburini kwa mwananyamala zipo sehem mbili maarufu.
1.Makaburi ya Mwananyamala KWA KOPA, ndo happ kwenye picha ambapo watu hupita na kutokea mwananyamala hospital
2.Mwananyamala Kwa Manjunju kuna mbuyu mkubwaaa na makaburi "ingawa kwa sasa yameshajaa".
Vibaka wengi wapo kwa MANJUNJU alikokua anaishi Mzigua90
 
Hata hivyo hayo mambo yamepungua mno kama siyo kuisha kabisa sasa hivi wanaoibiwa ni wanyasa pia wezi wengi wamekufa kufa
Kweli yameisha kuna siku nilikua A kwenye msiba tulikua tunasindikiza rafiki zetu tumepita mwinyijuma rd tunaelekea kisiwani kwa miguu yaan kumetulia kila mtu anapita anaendelea na mambo zake nikasema kweli mwananyamala kumebadirika
 
Back
Top Bottom