Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Hili lina ukweli kwa asilimia 99 maana hata mie ni wa mwananyamala na sipo bongo.. duuh uzi mtamu sana huu. Asante Mshana jr najisikia niko mitaa ya mwananyamala.
Sijakaa Mwananyamala zaidi ya kupita tu barabarani lakini uzi huu naufatilia kwa rula bila kuruka comment yoyote, unaweza kuwa uzi bora zaidi tangu mwaka huu uanze.
 
Ni kweli nyumba nyingi zimeuzwa pande zile na wenyeji wengi wameahama, kuna nyumba karibu na dispensary ya mashuda walikuwa wanauza chakula kwa ajili ya makonda na madereva wa daladala tu na pia humo humo wanauza bangi na madawa. Kweli mwananyamala imebadilika zama zile zimepotea kabisa. Tushacheza sana keram kwa meja matunda.
Meja matunda yupo mtafuna miraha
 
Mwananyamala pale kituoni karibu na baa ya MK Grand teja alikuwa anafungua pochi ya mama mmoja nikashindwa kujizuia ingawa najua niko mitaa yao. Kwa kuwa nilikuwa siti ya nyuma nikamstua kwa sauti sana yule mama akastuka. Mateja wakashuka hawana hofu kama wanashuka ngazi za majestic hall sinza au ngazi za bombadia. Walipofika dirishani ingawa nilifunga kioo mmoja akalivuta kohozi zito sana akalitema ktk kile kioo na vitisho vingi sana
 
Kipindi kilee natangaza biashara ya benki moja hapa dar, nikafika kinondoni karibu na jengo la ccm, nikakuta jamaa watatu wamekaa kwenye benchi, wawili wamevaa miwani myeusi kwa kuwaangalia kuna ishu walikuwa wametegeshea. ...bas nilivyofika hapo nikaanza kutoa advertisment ya biashara yangu, ghafla jamaa mmoja katika wale naona alikerwa na mazungumzo yangu. Alichomoa bastora na kunielekezea tumboni. ...aisee nilivyochomoka hapo sikuangalia nyuma
 
Kwa madanguro sasa. Unakuta nyumba nzuri unasema anaishi bosi flani parking magari kibao kumbe ni club bubu inakesha kuanzia asubui mpaka asubui gest baa club humuhumo. Halafu nahisi mwananyamala kila kibinti cha kike kinajua kuchuna au kujiuza ni suala la kuji activate tuu
 
Mpaka sasa hivi sijaona sehemu zimetajwa bei za simu.

Sijawahi kununua simu dukani.

Simu yangu ya kwanza ya gharama kabisa kununua ni G Tide nilinunua 40,000 kwa Inno.

Ya pili 50,000 ilikua ndiyo enzi za simu za kichina kubwa kama kiganja.

Ya tatu 40,000 nokia 6300.

Siku hizi simu za range kama Samsung Galaxy s4, A3, J7, Note 2,3, LG G1,G2, G3, HTC one M8, one m9, Huawei p7, 8, 9, Y5, Y6 ni 150 au chini na haizidi 200, ukinunua zaidi ya hapo tunakucheka. S5, Note 4, 5, ni 200 mwisho 250.

Simu ambazo hazina soko ni Nokia Lumia na Blackberry, BlackBerry Torch mwaka 2013 ilikua bila 300 hujainyanyua siku hizi 40,000 sijaona ikizidi 60,000.

Iphone 5 iwe C au S haizidi 200, 6 iwe plus au nini unakula kuanzia 200 haitazidi 300. Iphone 7 kupanda sizioni kabisa.

Itel sisemi.

Nilikuta humu mtu anauza Tecno C5 200k nikamwambia yesu atarudi atakukuta nayo, huku hiyo ni 40,000 mpaka 100,000 kutegemea na muonekano wake. C8, J8, C9 ni range ya 130 mpaka 150.

Tecno H6, J7, zinaanzia 40,000 haizidi 80,000. Y3, y4, 30,000.

Huawei 530 na 500 ni 40,000

aisee hadi nachoka.

Kipindi kile ilikua ukipost tu humu inakuja ile 'Sent by simu hiyo hiyo using jamiiforums mobile app' mi nilikua naangalia baadhi ya majibu ya kifedhuli ya watu halafu naangalia na thamani ya simu yake.

Hawafanani
 
Siku moja niko Chaga bite pale Makumbusho nikapigiwa simu nirudi haraka home kuna movie ya bure
Kufika nikaongozwa Kamanyola... Aisee niichokiona... Basi TU... Kuna mhuni alimtongoza house girl wangu halafu wakaenda kamanyola. Sasa eti jamaa akaacha pazia wazi wana wajifaidie pilau halisi
Mkuu mshana hio ni kweli kabisa wahauni walikuwa wana promse kabisa kuwa lazima niwape chabo leo WANA..sasa ole wake awazingue WANA wapo dirishani then deo awalipati kudadekii utajua kuwa wahuni awana ushikaji na mtu siku hio..**kuna huyu mmoja sasa yupo south wakuitwa jimmy yeye alikuwa ndio kamanda wa mademu kila siku dem mpya wahauni wamempa vyeo then anawapa wana deo hii nyumba anayoishi ni kwao yeye jimmy ndio kama baba mwenye nyumba pale mzee wake alifariki na mother wake yupo morogoro. kuna siku jimmy akaokota kademu mitaa ya msufini mchana tu ameopoa kale kademu kanajitia kageni Dar kabisa kimetoka pemba anaongea na lafudhi ya kipemba dah jimmy ajawai kupata mpemba akaona eeh leo nimepata nyama mpya mpya mbio mpaka kwa wahuni wake "jamaani eeeh leo deo la mpemba"" watu eeeh mpemba [emoji39] [emoji39] [emoji39] jimmy nomaaa sana mpaka mpemba oyoooooo"" bila ya kuchelewa mara Vuupu' jimmy geto na mpemba(feki) akafanya mambo yake kama kawa jimmy katoa deo..sasa jimmy huyu pia na yeye deo lipo ktk damu yake lazima amuache demu ndani japo alikuwa nae na yeye anajoin dirishani na masera wake wanamla deo dem ni basi tu mwenyewe nae anajisikia raha kuona shepu ya demu au just ajione tu anafanya nini dem akiwa alone geto ..jimmy akamwambia mpemba nakwenda kununua maji ya kunywa ya kiroba yale ya azam ilikuwa yanauzwa 50..** jimmy sasa yupo dirishani na masera wake kina bojo, boso, swea, mlela, kule ndani mtoto wa kipemba akaiendea chupi yake kwanza akainusa mara anajikunakuna chini mara anajitia kidole anatoa mara ananusa anakunja sura yake kabisa wahuni pale dirishan [emoji102] "eeh niaje hii huyu demu jini nini?? mpaka stimu zinakata dah [emoji15] jimmy mara anajisikia miwasho sehem za siri kumbe kale kapemba ni kamalaya kinyama nyama kina GONO sugu na pia sio mpemba kinatoka kwa mtogole tandale kinaitwa fatm MAGONO kinajulikana balaa tandale yote wahuni wanakipiga mande kila siku
 
Katika mchezo ambao ulikua unafanyika sana na sikua na bahati ya kutosha kuufanya ni kupiga demu fiesta
 
Ngoja nikupe matukio ya siku ya uchaguzi halafu utasema mwenyewe unahisi matokeo yalikuaje.

Afisa mtendaji akagundulika kua anawapigisha kura wazee na vilema kwa kuwatikia CCM hata kama hawataki, kuna mlemavu wa urefu alisimamia visigino akakuta jamaa anatiki CCm akaanzisha utata Afisa akapigika askari wakaingilia.

Kuna mama alikutwa na chupa ya chai imejaa kura zilizokua zimetikiwa tayari.

Askari walikua wamejazana na magari ya maji ya kuwasha wakihimiza watu wasikae eneo hilo kabisa.

Wasimamizi na ambao walikua wanapanga tukio ni makada wa chama na mmoja ni mtoto wa mgombea.

Of course CCM tulishinda
Hongereni kwa kuiba
 
Ni sehemu ya kipekee make vyumba vibaya ila bei mbaya
Ni sehemu ambayo vijana wengi hawajulikani kazi zao ila macheni ya bei mbaya shingoni,peter kazi zao kuzunguka na magari tu
 
Mkuu mshana hio ni kweli kabisa wahauni walikuwa wana promse kabisa kuwa lazima niwape chabo leo WANA..sasa ole wake awazingue WANA wapo dirishani then deo awalipati kudadekii utajua kuwa wahuni awana ushikaji na mtu siku hio..**kuna huyu mmoja sasa yupo south wakuitwa jimmy yeye alikuwa ndio kamanda wa mademu kila siku dem mpya wahauni wamempa vyeo then anawapa wana deo hii nyumba anayoishi ni kwao yeye jimmy ndio kama baba mwenye nyumba pale mzee wake alifariki na mother wake yupo morogoro. kuna siku jimmy akaokota kademu mitaa ya msufini mchana tu ameopoa kale kademu kanajitia kageni Dar kabisa kimetoka pemba anaongea na lafudhi ya kipemba dah jimmy ajawai kupata mpemba akaona eeh leo nimepata nyama mpya mpya mbio mpaka kwa wahuni wake "jamaani eeeh leo deo la mpemba"" watu eeeh mpemba [emoji39] [emoji39] [emoji39] jimmy nomaaa sana mpaka mpemba oyoooooo"" bila ya kuchelewa mara Vuupu' jimmy geto na mpemba(feki) akafanya mambo yake kama kawa jimmy katoa deo..sasa jimmy huyu pia na yeye deo lipo ktk damu yake lazima amuache demu ndani japo alikuwa nae na yeye anajoin dirishani na masera wake wanamla deo dem ni basi tu mwenyewe nae anajisikia raha kuona shepu ya demu au just ajione tu anafanya nini dem akiwa alone geto ..jimmy akamwambia mpemba nakwenda kununua maji ya kunywa ya kiroba yale ya azam ilikuwa yanauzwa 50..** jimmy sasa yupo dirishani na masera wake kina bojo, boso, swea, mlela, kule ndani mtoto wa kipemba akaiendea chupi yake kwanza akainusa mara anajikunakuna chini mara anajitia kidole anatoa mara ananusa anakunja sura yake kabisa wahuni pale dirishan [emoji102] "eeh niaje hii huyu demu jini nini?? mpaka stimu zinakata dah [emoji15] jimmy mara anajisikia miwasho sehem za siri kumbe kale kapemba ni kamalaya kinyama nyama kina GONO sugu na pia sio mpemba kinatoka kwa mtogole tandale kinaitwa fatm MAGONO kinajulikana balaa tandale yote wahuni wanakipiga mande kila siku
Muhun alipatikana
 
Back
Top Bottom