Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Vicky ndo wa tano (Micaela )Vicky kashika namba ngapi??
HeheheheReport ya matokeo ya mtoto nimeipokea hapa kufungua ndani nakuta ni barua ya michango ya walimu na majina yao wamechangiana hapa.
Wasalimie sana,.Vicky ndo wa tano (Micaela )
GeniusHuyo mwanao Bwakila
Nawakimbiza kwa Bibi yao wakatulieWasalimie sana,
ππππNa mwanangu junior yeye lipoti kapoteza na hajui kawa wa ngapi
Mbaya zaidi mtoto anakujia na homework ya kifaransa akiamini baba anajua zaidi.. huwa najipokelesha simu natoka nikiongea narudi usiku wa manane na kuondoka mapema kabla hajaamka!β¦Hehehehe
Mimi suala la homework linanikeraga Sana tunalipa watufundishie watoto wao wanaleta maswali magumu
πππππYaani unakuwa umesogeza mbele msala.. Watakutia hatiani soon..Mbaya zaidi mtoto anakujia na homework ya kifaransa akiamini baba anajua zaidi.. huwa najipokelesha simu natoka nikiongea narudi usiku wa manane na kuondoka mapema kabla hajaamka!β¦
Komaanao.Nawakimbiza kwa Bibi yao wakatulie