Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Mwanangu kawa wa kwanza kati ya watoto 92. Hii shule ni ya kata. Mwaka jana ilitoa four na zero tu.
Nataka mwanangu aje avunje rekodi, atoe gundu kwenye hii shule, hainaga one,two au three, wao ni four na zero tu.
Ukipata four ya 26 wewe ndio genius.
Mpeleke tuition

Mnunulie vitabu

Jaribu kumsapoti
 
Huyu wakwangu juzi aliniomba buku ya kitabu cha matokeo mwl wao aliwaagiza, nikampa. leo naulizia matokeo yako wapi anasema ile hela kapoteza baada ya kumbana sana anasema alinunua big boom za hela yote.
Hahaha
 
Huyu wakwangu juzi aliniomba buku ya kitabu cha matokeo mwl wao aliwaagiza, nikampa. leo naulizia matokeo yako wapi anasema ile hela kapoteza baada ya kumbana sana anasema alinunua big boom za hela yote.
😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watoto ndo wanarudi likizo

Swalehe hapa karudi kawa wa 34 namwuliza imekuwaje umeporomoka toka namba moja ananambia

Baba kwani elfu moja na elfu kumi ipi kubwa nkamjibu elfu kumi

Akanambia Basi sawa mzee , Mimi ndo namba kubwa hapo kuliko wote [emoji16] na kuliko pacha wake Micaela (yeye kawa wa tano )nmeshindwa kumjibu chochote maana Kuna homework alileta akakosa zote nlifanya nae kwenda shuleni wakamwambia wewe na baba yako wote wajinga [emoji26][emoji23]

Nmewaacha na ugomvi hapa yeye na dada ake waamue nani ana namba kubwa [emoji2365]

Wewe umekutana na kituko gani ?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hapo pa H/Work nilishawahi kumkosesha pia swali moja wa kwangu,alinilaumu sana,yeye alikuwa sahihi ila hakuwa na uhakika. Mimi nikampa alternative kumbe ndiyo nimepuyanga.Tangu siku hiyo,akiomba usaidizi inabidi nimuombe anipe muda nijifue kwanza kimya kama sina uhakika.Sitaki kurudia tena lile kosa.
 
Mwalimu aliomba Elf 45 mwezi uliopita kwaajili ya Uniform ya mtoto (Huyo aliosimama chini).
20210605_234702.jpg

Haki ya mungu hatoiona pepo ya mungu.
 
Mwanangu kawa wa kwanza kati ya watoto 92. Hii shule ni ya kata. Mwaka jana ilitoa four na zero tu.
Nataka mwanangu aje avunje rekodi, atoe gundu kwenye hii shule, hainaga one,two au three, wao ni four na zero tu.
Ukipata four ya 26 wewe ndio genius.
Yuko kidato cha ngapi. Hakikisha anasoma kadri uwezavyo, mimi mwenyewe nimesoma shule ya kata one zinahesabika kama mbili kila matokeo, two kama tano hivi, three kumi na kitu, four kama ishirini na ngapi na zero zisizohesabika.

Kuna chalii yangu aliongoza kwa two ya 18 shule yao ya kata ambayo haikuwahi pata one. Akamfundisha sana mdogo wake mwaka jana akalamba one ya 12 alafu zikafatia Div. two
 
Baba mdogo ana mwanae yuko darasa la pili. Yule dogo alifanya mitihani ya masomo 8 kati ya jumla ya maswali yote alikosa moja tu. Masomo yote ana 100 kasoro Science ana 96

Yule dogo sio tu ana akili. Ana spirit ya kusoma kama baba yake alivyokuwa. Na malezi wanayopewa natamani nikiwa na watoto nimtembelee bamdogo anipe tuition ya malezi kwanza
 
Watoto ndo wanarudi likizo

Swalehe hapa karudi kawa wa 34 namwuliza imekuwaje umeporomoka toka namba moja ananambia

Baba kwani elfu moja na elfu kumi ipi kubwa nkamjibu elfu kumi

Akanambia Basi sawa mzee , Mimi ndo namba kubwa hapo kuliko wote [emoji16] na kuliko pacha wake Micaela (yeye kawa wa tano )nmeshindwa kumjibu chochote maana Kuna homework alileta akakosa zote nlifanya nae kwenda shuleni wakamwambia wewe na baba yako wote wajinga [emoji26][emoji23]

Nmewaacha na ugomvi hapa yeye na dada ake waamue nani ana namba kubwa [emoji2365]

Wewe umekutana na kituko gani ?
Swalehe na Micaela, sarakasi hazitaisha hapa!
 
Huyu wakwangu juzi aliniomba buku ya kitabu cha matokeo mwl wao aliwaagiza, nikampa. leo naulizia matokeo yako wapi anasema ile hela kapoteza baada ya kumbana sana anasema alinunua big boom za hela yote.
Hahahahahah
 
Kuna dogo ye kafungua report yake, kabadili namba halafu uso mkavu hashtuki Wala Nini, 😅na hajafanywa kitu

Sie enzi hizo ufungue report kabla ya mzazi, adhabu yake Ni kuchapwa mbele ya shule nzima
 
Baba mdogo ana mwanae yuko darasa la pili. Yule dogo alifanya mitihani ya masomo 8 kati ya jumla ya maswali yote alikosa moja tu. Masomo yote ana 100 kasoro Science ana 96

Yule dogo sio tu ana akili. Ana spirit ya kusoma kama baba yake alivyokuwa. Na malezi wanayopewa natamani nikiwa na watoto nimtembelee bamdogo anipe tuition ya malezi kwanza
Noma sana

Tumpeleke harvard akikua aisee
 
Back
Top Bottom