Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Vituko vya watoto na ripoti za matokeo

Unamfahamu

Toya da body
Cherokee dass
Beauty Dior
Abigail lust
Jackiline boing boing
Cotton candi



Kama unamfahamu yeyote kati hawa itakua ume
 
Sisi tunakula cartoons tu hapa.
Tutaanza kuulizana matokeo na rank za darasani tukifika P5.
Namkubali sana huyu mrembo wangu.
Aisee!! Nimepigwa surprize leo.
P2. Toka awe Prep1 anakuwaga #1&2 kwa kila mtihani wanaofanya..
I wasn't concerned na kuwa wa kwanza au pili, nilichokuwa najali ni anajua kila concept ya anachofundishwa..
Daaah! Leo anakuja hapa amekuwa wa 9..
Aisee nimejikuta sijali tena kama anajua concept au nini, why awe wa 9? Anajitetea but i have A plus all subjects-- Najikuta simuelewi!
Sema dogo carroons zimemuelemea..
 
Aisee!! Nimepigwa surprize leo.
P2. Toka awe Prep1 anakuwaga #1&2 kwa kila mtihani wanaofanya..
I wasn't concerned na kuwa wa kwanza au pili, nilichokuwa najali ni anajua kila concept ya anachofundishwa..
Daaah! Leo anakuja hapa amekuwa wa 9..
Aisee nimejikuta sijali tena kama anajua concept au nini, why awe wa 9? Anajitetea but i have A plus all subjects-- Najikuta simuelewi!
Sema dogo carroons zimemuelemea..
Mpunguzie ratiba ya runinga
 
Mwanangu mihula yote anashikaga mkia sishangai sana maana hata mimi nimetoka hukohuko ila kwenye kuweka vichongeo vyenye vioo chini ya sketi za wasichana nilikuwa maridadi sana
 
Mbaya zaidi mtoto anakujia na homework ya kifaransa akiamini baba anajua zaidi.. huwa najipokelesha simu natoka nikiongea narudi usiku wa manane na kuondoka mapema kabla hajaamka!…
Nimecheka
 
Huyu ni mtoto au mtu mzima
Watoto ndo wanarudi likizo

Swalehe hapa karudi kawa wa 34 namwuliza imekuwaje umeporomoka toka namba moja ananambia

Baba kwani elfu moja na elfu kumi ipi kubwa nkamjibu elfu kumi

Akanambia Basi sawa mzee , Mimi ndo namba kubwa hapo kuliko wote 😁 na kuliko pacha wake Micaela (yeye kawa wa tano )nmeshindwa kumjibu chochote maana Kuna homework alileta akakosa zote nlifanya nae kwenda shuleni wakamwambia wewe na baba yako wote wajinga 😥😂

Nmewaacha na ugomvi hapa yeye na dada ake waamue nani ana namba kubwa 🤦🏾‍♂️

Wewe umekutana na kituko gani ?
 
Back
Top Bottom