Vyote ni namna hiyo, ni biashara haramu.Kuna kituo cha watoto yatima kipo pale bukoba mjini kinaitwa nusuru yatima orphanage center...kile kituo kimejaa upigaji..misaada inayopelekwa pale inawanufaisha watu baki wanaojiita viongozi na wala haiwanufaishi watoto yatima....
Point Yangu Iko wazi kabisa, sikubaliani na hoja yako kwamba "Yatima" ni zao la uasherati na uzinzi.Wewe kasome vizuri post namba moja, ulichokijibu sijui umekitoa wapi
😂😂 umeshusha nondo sana...na umeonyesha hekima na busara katika dini inavyotakiwa..mimi FaizaFoxy huwa namfananisha na wale waislamu wafuga ndevu na kukata suruali kila kitu kwao huwa wanapenda kukiamua kwa jazba bila kutumia hekima na busara.....Point Yangu Iko wazi kabisa, sikubaliani na hoja yako kwamba "Yatima" ni zao la uasherati na uzinzi.
Qur-ani inatuhimiza kulinda haki za yatima na inatukataza kumdhalilisha na kumdharau, na inatuonesha kuwa kumdharau yatima ni dalili ya kukadhibisha siku ya malipo.
Anasema ALLAH (SW) :
{ فَأَمَّا الْيَتِيمَ فَلاَ تَقْهَرْ }الضحى 9
“ Basi usimuonee yatima”.
Na amesema vile vile :
{ أَرَأَيْتَ الَّذِي يُكَذِّبُ بِالدِّينِ * فَذَلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ }الماعون 1 – 2
“ Jee umemuona yule anaekadhibisha dini ? Huyo ni yule anaemsukuma yatima”.
Na zimekuja hadithi nyingi za Mtume (saw) zinazohimiza kuwatazama mayatima, na zikawabashiria kheri nyingi wawatunzao mayatima kwa wema ya kuwa watakuwa pamoja na Mtume (saw) huko peponi.
Amesema Mtume (saw) :
(( أَنَا وَكَافِلُ الْيَتِيمِ فِي الْجَنَّةِ هَكَذَا ، وَأَشَارَ بِأَصْبُعِهِ السَّبَّابَةِ وَ الْوُسْطَى وَفَرَّجَ بَيْنَهُمَا ))
“ Mimi na mwenye kumtazama yatima huko peponi tuko hivi, akiashiria kwa vidole vyake cha shahada na cha kati na kuvipambanua baina yake”.
Amesema vile vile :
(( كَافِلُ الْيَتِيْمِ لَهُ أَوْ لِغَيْرِهِ أَنَا وَهُوَ كَهَاتَيْنِ فِي الْجَنَّةِ ))
“Mwenye kumtazama yatima wake au wa mwenzake basi mimi na yeye tutakuwa pamoja peponi kama hivi vidole viwili ” .
Na amesema :
(( مَنْ قَبَضَ يَتِيْمًا مِنْ بَيْنِ الْمُسْلِمِيْنَ إِلَى طَعَامِهِ وَشَرَابِهِ أَدْخَلَهُ اللهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ أَنْ يَعْمَلَ ذَنْبًا لاَ يُغْفَرُ لَهُ ))
“ Atakaemchukua yatima miongoni mwa waislamu kwa kumlisha na kumnywesha, basi bila ya shaka ALLAH atamuingiza peponi, isipokuwa awe amefanya dhambi zisosameheka ”.
Na pia amesema :
(( خَيْرُ بَيْتٍ فِي الْمُسْلِمِينَ بَيْتٌ فِيهِ يَتِيْمٌ يُحْسَنُ إِلَيْهِ ، وَشَرُّ بَيْتٍ فِي الْمُسْلِمِينَ بَيْتٌ فِيْهِ يَتِيْمٌ يُسَاءُ إِلَيْهِ ))
“ Nyumba ilio bora kwa Waislamu ni nyumba yenye yatima anaefanyiwa wema, na nyumba yenye shari kwa Waislamu ni nyumba yenye yatima anaefanyiwa uovu ”.
Wewe wacha uongo na kujaribu kutia maneno yako kinywani mwangu. Wapi nimeqndika "yatima ni zao la uasherati" kama utakavyo nwewe? Unachokisoma hukielewi.Point Yangu Iko wazi kabisa, sikubaliani na hoja yako kwamba "Yatima" ni zao la uasherati na uzinzi.
Qur-ani inatuhimiza kulinda haki za yatima na inatukataza kumdhalilisha na kumdharau, na inatuonesha kuwa kumdharau yatima ni dalili ya kukadhibisha siku ya malipo.
Anasema ALLAH (SW) :
{ فَأَمَّا الْيَتِيمَ فَلاَ تَقْهَرْ }الضحى 9
“ Basi usimuonee yatima”.
Na amesema vile vile :
{ أَرَأَيْتَ الَّذِي يُكَذِّبُ بِالدِّينِ * فَذَلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ }الماعون 1 – 2
“ Jee umemuona yule anaekadhibisha dini ? Huyo ni yule anaemsukuma yatima”.
Na zimekuja hadithi nyingi za Mtume (saw) zinazohimiza kuwatazama mayatima, na zikawabashiria kheri nyingi wawatunzao mayatima kwa wema ya kuwa watakuwa pamoja na Mtume (saw) huko peponi.
Amesema Mtume (saw) :
(( أَنَا وَكَافِلُ الْيَتِيمِ فِي الْجَنَّةِ هَكَذَا ، وَأَشَارَ بِأَصْبُعِهِ السَّبَّابَةِ وَ الْوُسْطَى وَفَرَّجَ بَيْنَهُمَا ))
“ Mimi na mwenye kumtazama yatima huko peponi tuko hivi, akiashiria kwa vidole vyake cha shahada na cha kati na kuvipambanua baina yake”.
Amesema vile vile :
(( كَافِلُ الْيَتِيْمِ لَهُ أَوْ لِغَيْرِهِ أَنَا وَهُوَ كَهَاتَيْنِ فِي الْجَنَّةِ ))
“Mwenye kumtazama yatima wake au wa mwenzake basi mimi na yeye tutakuwa pamoja peponi kama hivi vidole viwili ” .
Na amesema :
(( مَنْ قَبَضَ يَتِيْمًا مِنْ بَيْنِ الْمُسْلِمِيْنَ إِلَى طَعَامِهِ وَشَرَابِهِ أَدْخَلَهُ اللهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ أَنْ يَعْمَلَ ذَنْبًا لاَ يُغْفَرُ لَهُ ))
“ Atakaemchukua yatima miongoni mwa waislamu kwa kumlisha na kumnywesha, basi bila ya shaka ALLAH atamuingiza peponi, isipokuwa awe amefanya dhambi zisosameheka ”.
Na pia amesema :
(( خَيْرُ بَيْتٍ فِي الْمُسْلِمِينَ بَيْتٌ فِيهِ يَتِيْمٌ يُحْسَنُ إِلَيْهِ ، وَشَرُّ بَيْتٍ فِي الْمُسْلِمِينَ بَيْتٌ فِيْهِ يَتِيْمٌ يُسَاءُ إِلَيْهِ ))
“ Nyumba ilio bora kwa Waislamu ni nyumba yenye yatima anaefanyiwa wema, na nyumba yenye shari kwa Waislamu ni nyumba yenye yatima anaefanyiwa uovu ”.
Kutumia maneno ya watoto wa zinaa/uasherati sidhani kama ni kauli nzuri,Hata bila ya kuchunguza kwa kina, ukitazama kijuujuu tu utaelewa kuwa vituo vya kulelea Yatima ni biashara ya kujipatia kipato wanaoendesha vituo hivyo.
Vituo vyote vya Yatima vina asilimia 1 au 0 ya yatima kweli. Vingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Pia utakuta humo watoto wa familia masikini zilizorubuniwa kuwa watoto wao watalelewa vizuri na kupelekwa shule. Wapo na wale wa wazazi waliogombana au kutorokana wakamwachia ulezi mzazi mmoja, anaposhindwa kulea peke yake, njia ya mkato ni kumpeleka mtoto au watoto kwenye kituo cha "yatima".
Kwa kuwa vituo vya "yatima" biashara yao ni kujipatia kipato kupitia huruma za watu wanaopeleka misaada na sadaka zao huko, vituo hivyo havikatai mtoto wa aina yoyote vile, mradi wao watoto wawepo ili biashara yao ifane.
Wanaoendesha vituo hivyo, hawajali lolote kuhusu hao watoto, wapo tayari kuwauza wakati wowote kwa wale waliokosa bahati ya kuzaa au hata kwa watu wenye kuharibu watoto (paedophiles).
Jamii, hususan serikali inatakiwa ichunguze kwa kina vituo vya "tatima" vyote, haijalishi ni vya kidini au binafsi. Vyote havifai kabisa kuwepo.
Nashauri wabunge wapeleke muswada bungeni, kama inabidi hivi vituo viwepo basi vitungiwe sheria zitazokua na manufaa na zitazowalinda hao watoto.
Tujadili.
Amekudanganya na ukadanganyika, hana nondo wala haelewi anachokibandika. Maudhui ni tofauti na aliyobandika.😂😂 umeshusha nondo sana...na umeonyesha hekima na busara katika dini inavyotakiwa..mimi FaizaFoxy huwa namfananisha na wale waislamu wafuga ndevu na kukata suruali kila kitu kwao huwa wanapenda kukiamua kwa jazba bila kutumia hekima na busara.....
Vingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Wewe wacha uongo na kujaribu kutia maneno yako kinywani mwangu. Wapi nimeqndika "yatima ni zao la uasherati" kama utakavyo nwewe? Unachokisoma hukielewi.
Hilo bandiko refu ulilobandika halikusaidii kitu kama unachokisoma hulielewi.
Umeongea ukweli.Hata bila ya kuchunguza kwa kina, ukitazama kijuujuu tu utaelewa kuwa vituo vya kulelea Yatima ni biashara ya kujipatia kipato wanaoendesha vituo hivyo.
Vituo vyote vya Yatima vina asilimia 1 au 0 ya yatima kweli. Vingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Pia utakuta humo watoto wa familia masikini zilizorubuniwa kuwa watoto wao watalelewa vizuri na kupelekwa shule. Wapo na wale wa wazazi waliogombana au kutorokana wakamwachia ulezi mzazi mmoja, anaposhindwa kulea peke yake, njia ya mkato ni kumpeleka mtoto au watoto kwenye kituo cha "yatima".
Kwa kuwa vituo vya "yatima" biashara yao ni kujipatia kipato kupitia huruma za watu wanaopeleka misaada na sadaka zao huko, vituo hivyo havikatai mtoto wa aina yoyote vile, mradi wao watoto wawepo ili biashara yao ifane.
Wanaoendesha vituo hivyo, hawajali lolote kuhusu hao watoto, wapo tayari kuwauza wakati wowote kwa wale waliokosa bahati ya kuzaa au hata kwa watu wenye kuharibu watoto (paedophiles).
Jamii, hususan serikali inatakiwa ichunguze kwa kina vituo vya "tatima" vyote, haijalishi ni vya kidini au binafsi. Vyote havifai kabisa kuwepo.
Nashauri wabunge wapeleke muswada bungeni, kama inabidi hivi vituo viwepo basi vitungiwe sheria zitazokua na manufaa na zitazowalinda hao watoto.
Tujadili.
Kupatikana kwa njia haramu simply means ni zao la .....acha ubishiVingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Mimi naziheshimu sana hizo aya kutoka kitabu kitukufu.....mtu yeyote anaezitumia maneno ya mungu kuwaeleza watu jambo ni bora zaidi kuliko yule anaetumia mtazamo wake binafsi......Amekudanganya na ukadanganyika, hana nondo wala haelewi anachokibandika. Maudhui ni tofauti na aliyobandika.
Anadanya wajinga kama wewe.
Pole sana, MUNGU ni Baba wa YatimaMimi binafsi nimezaliwa nikajikuta yatima chini ya mwaka mmoja wazazi wangu wote walikufa, maisha nilioishi kipindi hiko yalikua magumu sana sana, nilitamani wakati fulani hata aheri nisingezaliwa! Sikua na furaha wala amani wala tumaini, upweke niliokua nao mpaka ninapoandika hapa umeniathiri na matokeo yake nayaona leo.
Barikiwa sana Sheikh wanguMimi naziheshimu sana hizo aya kutoka kitabu kitukufu.....mtu yeyote anaezitumia maneno ya mungu kuwaeleza watu jambo ni bora zaidi kuliko yule anaetumia mtazamo wake binafsi......
Faiza atutake radhi aache ubishi wakeUkweli ndugu @FaizaFoxy pamoja na makosa ya hao wasimamizi wa hivi vituo lakini uwepo wao ni wa muhimu zaidi huo uliiita ni biashara ya utumwa.
Hapo unaleta fikra za huruma za kijinga.Faiza kwa %75 hivi mada yako ina makosa.
Lau ungekua umepitia maisha ya uyatima usingeongea hivi
Au ungepitia hio ulioitaja kuzaliwa nje ya hiyo hio uliotaja ndoa usinge andika hii mada.
Kwenye kituo wanaweza kuwepo watoto 100 lakini akawepo mmoja kati ya hao mia ambae atamshukuru Mungu kwa dhati kwaajili ya uwepo wa hiko kituo.
Katika jamii hakuna kitu kinacho fanyika moja kwa moja kikiwa perfect na hakuna kitu kinachofanyika moja kwa moja bila ya faida.
Umetoa hitimisho la kwamba bunge litumie sheria ya kuthibiti, au serikali ivifute!
Binafsi niliwahi kua kwenye moja wapo ya vituo hivyo kama mfanyakazi kwa miaka kama 5 hakuna hata siku moja niliona hata mtendaji wa kata amewahi kuja pale usipokuwa kipindi kile cha Corona kuhimiza kunawa mikono.
Sio kwa mba serikali hawajui uwepo wa hivi vituo, wanajua sana lakini havipo kwenye hesabu zao!
Ikitokea vikafungwa vyote kama ulivyo shauri hao walio yatima kweli hata kama mmoja umewahi kufikiria hatma yake?
Mimi binafsi nimezaliwa nikajikuta yatima chini ya mwaka mmoja wazazi wangu wote walikufa, maisha nilioishi kipindi hiko yalikua magumu sana sana, nilitamani wakati fulani hata aheri nisingezaliwa! Sikua na furaha wala amani wala tumaini, upweke niliokua nao mpaka ninapoandika hapa umeniathiri na matokeo yake nayaona leo.
Sasa kama ningebahatika kupata kuwepo kwenye kituo cha yatima unadhani nisinge mshukuru Mungu badala ya kulaumu na kukata tamaa, ingawa hata sasa namshukuru sana Mungu.
Ukweli ndugu FaizaFoxy pamoja na makosa ya hao wasimamizi wa hivi vituo lakini uwepo wao ni wa muhimu zaidi huo uliiita ni biashara ya utumwa.
Mimi mbona nina fuga ndevu na kukata suruali mbona sipo hivyo? na watu kibao nimewashuhudia wenye sifa hizo na hawapo hivyo bali wewe umekariri .😂😂 umeshusha nondo sana...na umeonyesha hekima na busara katika dini inavyotakiwa..mimi FaizaFoxy huwa namfananisha na wale waislamu wafuga ndevu na kukata suruali kila kitu kwao huwa wanapenda kukiamua kwa jazba bila kutumia hekima na busara.....
Siku mtakaposikia biashara za viungo zimehamia huko ndipo mtakapostuka.
Nafahamu, zako ni "laana za umasikini" - courtesy ROBERT HERIEL.
Huko ndio ungeathirika zaidi. Shukuru Mungu (kama unamuamini Mungu) hujakulia hukoFaiza kwa %75 hivi mada yako ina makosa.
Lau ungekua umepitia maisha ya uyatima usingeongea hivi
Au ungepitia hio ulioitaja kuzaliwa nje ya hiyo hio uliotaja ndoa usinge andika hii mada.
Kwenye kituo wanaweza kuwepo watoto 100 lakini akawepo mmoja kati ya hao mia ambae atamshukuru Mungu kwa dhati kwaajili ya uwepo wa hiko kituo.
Katika jamii hakuna kitu kinacho fanyika moja kwa moja kikiwa perfect na hakuna kitu kinachofanyika moja kwa moja bila ya faida.
Umetoa hitimisho la kwamba bunge litumie sheria ya kuthibiti, au serikali ivifute!
Binafsi niliwahi kua kwenye moja wapo ya vituo hivyo kama mfanyakazi kwa miaka kama 5 hakuna hata siku moja niliona hata mtendaji wa kata amewahi kuja pale usipokuwa kipindi kile cha Corona kuhimiza kunawa mikono.
Sio kwa mba serikali hawajui uwepo wa hivi vituo, wanajua sana lakini havipo kwenye hesabu zao!
Ikitokea vikafungwa vyote kama ulivyo shauri hao walio yatima kweli hata kama mmoja umewahi kufikiria hatma yake?
Mimi binafsi nimezaliwa nikajikuta yatima chini ya mwaka mmoja wazazi wangu wote walikufa, maisha nilioishi kipindi hiko yalikua magumu sana sana, nilitamani wakati fulani hata aheri nisingezaliwa! Sikua na furaha wala amani wala tumaini, upweke niliokua nao mpaka ninapoandika hapa umeniathiri na matokeo yake nayaona leo.
Sasa kama ningebahatika kupata kuwepo kwenye kituo cha yatima unadhani nisinge mshukuru Mungu badala ya kulaumu na kukata tamaa, ingawa hata sasa namshukuru sana Mungu.
Ukweli ndugu FaizaFoxy pamoja na makosa ya hao wasimamizi wa hivi vituo lakini uwepo wao ni wa muhimu zaidi huo uliiita ni biashara ya utumwa.
Wewe haupo hivyo japo wengi wao wako hivyo....wao wanajiita waalqaidaMimi mbona nina fuga ndevu na kukata suruali mbona sipo hivyo? na watu kibao nimewashuhudia wenye sifa hizo na hawapo hivyo bali wewe umekariri .