let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Gud, if you weren't there, then how did you know that you ain't wedlock child?.Who cares? I was not raised in an orphanage. Were you?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gud, if you weren't there, then how did you know that you ain't wedlock child?.Who cares? I was not raised in an orphanage. Were you?
Acha ubishi weweAlhamduliLlah I was raised by my dad and mom.
You are totally missing the point, the point is not who fathered who, go re read post #1.
Nimekujibu pale juu, ukajikausha!Wewe ndiyo kabisaa, huelewi kilichiandikwa wala unachokiandika.
I don't need to reread your thread because I'm not expecting anything sensible from you.AlhamduliLlah I was raised by my dad and mom.
You are totally missing the point, the point is not who fathered who, go re read post #1.
Unawadhulumu sana watu wa Sunnah kwa kuwafananisha na FaizaFoxy ambaye ni mpinga Sunnah maarufu hapa Jf.😂😂 umeshusha nondo sana...na umeonyesha hekima na busara katika dini inavyotakiwa..mimi FaizaFoxy huwa namfananisha na wale waislamu wafuga ndevu na kukata suruali kila kitu kwao huwa wanapenda kukiamua kwa jazba bila kutumia hekima na busara.....
Mtu mwenyewe ambaye anamfananisha na watu wa Sunnah, anapinga Sunnah kabisa mtu huyo.Mimi mbona nina fuga ndevu na kukata suruali mbona sipo hivyo? na watu kibao nimewashuhudia wenye sifa hizo na hawapo hivyo bali wewe umekariri .
Hata bila ya kuchunguza kwa kina, ukitazama kijuujuu tu utaelewa kuwa vituo vya kulelea Yatima ni biashara ya kujipatia kipato wanaoendesha vituo hivyo.
Vituo vyote vya Yatima vina asilimia 1 au 0 ya yatima kweli. Vingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Pia utakuta humo watoto wa familia masikini zilizorubuniwa kuwa watoto wao watalelewa vizuri na kupelekwa shule. Wapo na wale wa wazazi waliogombana au kutorokana wakamwachia ulezi mzazi mmoja, anaposhindwa kulea peke yake, njia ya mkato ni kumpeleka mtoto au watoto kwenye kituo cha "yatima".
Kwa kuwa vituo vya "yatima" biashara yao ni kujipatia kipato kupitia huruma za watu wanaopeleka misaada na sadaka zao huko, vituo hivyo havikatai mtoto wa aina yoyote vile, mradi wao watoto wawepo ili biashara yao ifane.
Wanaoendesha vituo hivyo, hawajali lolote kuhusu hao watoto, wapo tayari kuwauza wakati wowote kwa wale waliokosa bahati ya kuzaa au hata kwa watu wenye kuharibu watoto (paedophiles).
Jamii, hususan serikali inatakiwa ichunguze kwa kina vituo vya "tatima" vyote, haijalishi ni vya kidini au binafsi. Vyote havifai kabisa kuwepo.
Nashauri wabunge wapeleke muswada bungeni, kama inabidi hivi vituo viwepo basi vitungiwe sheria zitazokua na manufaa na zitazowalinda hao watoto.
Tujadili.
hiki kibibi kina matatizo ya akiliVingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Mpuuzi sana wewe, imani yako isikufanye ukose utu kwa mtoto asie na kosa. Toa hukumu yako kwa mzazi na si mtoto asie na hatia
Unakubali allah ndio muumbaji halafu wewe huyohuyo unaita wanadamu wenzako haramu, kwanini aliyewaumba asiwe haramu pia !?.Na wewe usiye na imani unamsoma anaefikiria kama kuku halafu yanakuingia kisawasawa mpaka unajibu.
Jifikirie u nani.
Amerudia Teena. Mtoto wa haramMtoto wa haramu' ni yule anaepatikana nje ya ndoa. Elewa kuwa hapo ina maanisha baba na mama yake walifanya haramu, uzinzi au uasherati nje ya ndoa halali. Waliofanya haramu ni wazazi sio mtoto aliyepatikana.
Mada ni vituo vya "yatima" sio uharamu na uhalali wa watoto isipokua nimeona nikuweke sawa tu.
Kabibi kanazeeka vibaya .....I don't need to reread your thread because I'm not expecting anything sensible from you.
May foolishness and unguarded tongue not send you to eternity in the lake of fire.
Sounding illogical everywhere.. do you aware that you prophet wasn't raised by his own parents... According to your agnorence he as well he was wedlock child.😂😂
Wicked woman on the beat
Uzee umekafika vibaya aka kabibi, nikikumbuka na ile thread yake kwamba waislamu watanzania warudishiwe Ikulu ili iwe madrasa na nikiunganisha na achokiandika hapa nahitishisha kwamba Uzee kwa wengine uja na magonjwa ya akili😂😂😂.Kabibi kanazeeka vibaya .....
Babu zako na bibi zako walizaliwa kutoka kwa wanawake/wanaume wa madanguro na ndoa zisizo na idadi, leo hii mtumwa mmoja wa dini unakuja kutoa hukumu kuwa waliozaliwa nje ya ndoa(udini) kuwa ni wanaharamu??Ndio maana wanaitwa " wa haramu" hao ni wa uasherati na uzinzi na ndio waliojazwa vituo vya "yatima" na "watoto wa mitaani".
Wewe wazazi wako walikuzaa nje ya ndoa? Umelelewa kituo cha "yatima".
Ni akili zake mwenyewe tu huyu FaizaBabu zako na bibi zako walizaliwa kutoka kwa wanawake/wanaume wa madanguro na ndoa zisizo na idadi, leo hii mtumwa mmoja wa dini unakuja kutoa hukumu kuwa waliozaliwa nje ya ndoa(udini) kuwa ni wanaharamu??
Ama kweli nimeamn hizi dini ni takataka kabisa, hazina utu zaidi ya ugaidi na mafundisho potofu
Unaweza ukawa na hoja nzuri, ila ukakosa maneno yanayofaa kuiwasilisha. Badala yake, ukajikuta unaongea upumbavu, ujinga na ushenzi uliovuka mipaka kwa binaadam yeyote aliestaarabika!Who cares? I was not raised in an orphanage. Were you?