FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
"Mpuuzi" mimi su anaezaa watoto wa uzinzi na uasherati akawa haramu?Vingi vimejaa watoto waliopatikana kwa njia haramu (watoto wa zinaa na uasherati).
Mpuuzi sana wewe, imani yako isikufanye ukose utu kwa mtoto asie na kosa. Toa hukumu yako kwa mzazi na si mtoto asie na hatia