Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Kufuatia kuondoka kwa Xavi pale Barcelona ambapo anaelekea Uarabuni kuchuma hela ya mafuta, Dunia ya Soka imepoteza mmoja kati ya viungo bora zaidi kuwahi kutokea katika soka.

Ifutayo ni list yangu ya Viungo bora zaidi kuwahi kuwashuhudia katika soka.
1.Xavi Hernandez
2.Zinedine Zidane
3.Andrea Pirlo
4.Paul Scholes
5.Deco De Souza.

Kwa upande wako, ni viungo gani uliwakubali zaidi?
 
my champion Mgerumani..
FGN233-2.png
 
Usingemtaja maestro Pirlo fundi wa haswa haswa fundi na nusu,ningekutukana mkuu.Huyu bwana hata umfunge kitambaa machoni atakupigia pasi kwa usahihi akisikia sauti yako tuu.
 
Kufuatia kuondoka kwa Xavi pale Barcelona ambapo anaelekea Uarabuni kuchuma hela ya mafuta, Dunia ya Soka imepoteza mmoja kati ya viungo bora zaidi kuwahi kutokea katika soka.

Ifutayo ni list yangu ya Viungo bora zaidi kuwahi kuwashuhudia katika soka.
1.Xavi Hernandez
2.Zinedine Zidane
3.Andrea Pirlo
4.Paul Scholes
5.Deco De Souza.

Kwa upande wako, ni viungo gani uliwakubali zaidi?

  1. Khamis Tobias Gaga " Gagarino " ( RIP )..........Simba Sports Club
  2. Method Mogella " Fundi " ( RIP )..........Simba Sports Club
  3. Hussein Marsha " Injinia ".............Simba Sports Club
  4. Seleman Matola " Mzambia " / " Veron "............Simba Sports Club
  5. Patrick Tabu Mutesa Mafisango " Petit "..............Simba Sports Club
Utanuna Sana Mwaka Ila Hao Kwangu Ndiyo Viungo Bora Zaidi Kuwahi Kutokea Si Tu Afrika Ya Mashariki Bali Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.
 
Sijawah ona kama huyu.....Redondo..... Hata Gary nevel anamjua
 
Hyo list ongeza Redondo na Mendieta
 
  1. Khamis Tobias Gaga " Gagarino " ( RIP )..........Simba Sports Club
  2. Method Mogella " Fundi " ( RIP )..........Simba Sports Club
  3. Hussein Marsha " Injinia ".............Simba Sports Club
  4. Seleman Matola " Mzambia " / " Veron "............Simba Sports Club
  5. Patrick Tabu Mutesa Mafisango " Petit "..............Simba Sports Club
Utanuna Sana Mwaka Ila Hao Kwangu Ndiyo Viungo Bora Zaidi Kuwahi Kutokea Si Tu Afrika Ya Mashariki Bali Afrika Na Dunia Kwa Ujumla.

umemtaja hussein marsha alikuwa pamba kisha simba.

ukasahau method mogella alikuwa simba kisha yanga.

Athumani china kiboko ya hamis gaga unamkumbuka?
 
Back
Top Bottom