Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

BREAKING NEWS: VIUNGO VYA BINADAMU VYANASWA VIKISAFIRISHWA

Tunaomba radhi kwa picha kama zinatisha.


Hivi ndivyo viungo vya binadamu vilivyokutwa kwenye mfuko usiku huu jijini dar es salaam!


Kwa taarifa zilizotufikia ni kwamba kuna gari zimenaswa likiwa limebeba shehena ya viungo vya binadamu maeneo ya bunju, dar es salaam.


Chanzo chatu ambacho ni whatsap kinasema kuwa viungo hivyo vilikuwa vimebebwa kwenye gari kama takataka vikiwa kwenye maroba madogo madogo na kutupwa kwenye jalala la takataka na dereva kufuata viungo vingine!


Hata hivyo kuna chanzo kingine kinadai kuwa miili hiyo ilikuwa inatumiwa na wafunzi madaktari wa chuo cha IMTU chilichoko Tanki Bovu Dar es es salaam.


Mmoja ya Kiungo cha Mguu


Baadhi ya Mifuko ambamo Maiti izo zilikuwa zimewekwa


Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo


Taarifa kamili itatolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es salaam.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    190 KB · Views: 895
  • image.jpg
    image.jpg
    124.2 KB · Views: 891
  • image.jpg
    image.jpg
    156.3 KB · Views: 848
Serikali ya kipuuzi inaongozwa na wapuuzi ndio mana kila mtu anaamua lake. Unadhani kwenye nchi makini upuuzi ka huu utatokea? Poor ccm mnaua watu afunasema ni guinea pigs
Kwa jinsi unavyoweka baadhi ya mabandiko humu nadhani una matatizo makubwa... I checked your started threads, iko shida

umehamisha hata basic needs za mtu ziamuliwe na serikali, usafi kufuata masharti ya kitalam etc. hayana vyam

wewe ni tatizo
 
Ni maiti mbili tu zilizokuwa na vichwa, nyingine zote hazina vichwa. Kwa mujibu wa askari polisi walizochukua kuzipeleka muhimbili usiku wa leo, maiti zote zikiwemo zile zilizokuwa zinavuja damu hazitoi harufu. Nyingi zilikuwa zimekaushwa na zimekatwatwa vipande vipande. Kwa wale tunaofikiri zimetoka vyuo vya kufundisha madaktari, wana JF madaktari watueleze kama kweli miili ya kujifunzia hukatwakatwa vipande?

Mimi siyo daktari lakini picha ambazo nimeziona hapo juu zinaonyesha glove za hospitali pamoja na pamba/gauze na vipande vya miili. Yawezekana wamekata kata vipande hivyo ili kupunguza ushahidi.
 
Tanzania Ni Nchi Ya Amani,Jeshi La Polisi Bado Linafanya Utafiti Ili Kuona kama linaweza ku...
 
Kwa jinsi unavyoweka baadhi ya mabandiko humu nadhani una matatizo makubwa... I checked your started thread, iko shida

umehamisha hata basic needs za mtu ziamuliwe na serikali, usafi kufuata masharti ya kitalam etc. hayana vyam

wewe ni tatizo

Msamehe bure huyo Jerrymsigwa.

Umri wake umeshaenda na maisha ameshayakosea kila kitu yeye anaisingizia CCM.

Ni kawaida ya binadamu akishakosea mahali ni lazima atafute cha kusingizia.

Mpuuzie.
 
Last edited by a moderator:
Hili nalo tumethubutu tumeweza tunssonga mbele kwa kasi kweli kweli. Ni imani yetu kuwa tulio la namna hii halitakuwa Habari tena. Kama kawa.
 
Serikali lazima itoe kauli juu ya hili. La sivyo hivi ni vifo vya siri na serikali iwajibike.
 
itakuwa bunju ya GAZA,,, watu 100 sio mchezo lazima ingekuwa issue ya kitaifa

Siyo Bunju ya Gaza bali ni Gaza ya Bunju, ila ni kwakua tanuru la kuchoma viungo hivyo hapa Muhimbili liliharibika so the only options ikawa kuvitupa jalalani
 
Ninavyojua mwili ww binadamu,hauwezi kutumika kama muhusika hajaridhia au jamaa zake.Hata kama kutakuwa na idhaa ya wahusika,mbona miili hiyo Ni mingi sana❓,Ni lini utamaduni huu wa watu kuridhia miili Yao kutumika imeshika Kasi namna hii❓Pamoja na hayo yote,huu Ni utu❓,Ni lini tutakuwa na utamaduni wa kuwajibika❓,nini maana ya ubinadamu sasa ❓Aaagh‼
 
Back
Top Bottom