Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Confirmed

Haya ni masalia/Cadaver baada ya wanafunzi kuyatumia na kushindwa kuya incinerate (kuyachoma kwenye tanuru), kwa habari za uhakika ni kwamba haya masalia yametoka chuo kikuu cha IMTU kilichopo Mbezi Beach Dar, hawa Jamaa walipeleka haya masalia Muhas/Muhimbili kwa ajili ya kuwa incinerated lakini hawakuwa na hela hivyo Muhas hawakuteketeza haya masalia.

Ndipo sasa wakaamua kuja kuyatupa Bunju.

This is very un-ethical na udhalilishaji wa taalum, hatua kali zichukuliwe.

Hisia zangu ziliniambia hivyo.., hawa jamaa walitegemea nani aje kuyazoa sasa.., coz hizo cadaver zingeoza na kuzua tafrani! (By the way leo wote tumejifunza vocabulary mpya ya 'CADAVER').., tena mtu akiniudhi simuiti tena mbwa..., sasa hivi nakuita 'Cadaver' tu.., imekaa poa sana.., tena rahisi kweli kutamka.
 
Habari Wakuu.

Kwa habari zilizothibitika ni kwamba masalia ya viungo vya binadamu vilivyotupwa maeneo ya Bunju yametoka Chuo cha Udakatari IMTU kilichopo Mbezi Beach Dar baada ya wanafunzi kumaliza kuyatumia kwa mazoezi ya Practical (Cadaver).

Imekuwaje vikatupwa Bunju?

Kwa kawaida taka hatari kama hizi huwa zina mfumo maalum wa kuteketezwa kwenye tanuru (kuwa incinerated).


Kwa hiyo taka hizi walizipeleka Muhimbili kwa ajili ya kuteketezwa lakini hawakuwa na fedha za kulipia hivyo Muhimbili wakashindwa kuziteketeza kwenye tanuru maalum.

Baada ya hapo ndipo wakaamua kuja kumwaga maeneo ya Bunju.

My Take : Serikali sasa iamke kutoka usingizini sasa na ichukue hatua za haraka ikiwemo kuwachukulia hatua kale wale wote waliohusika na huu uzembe kwani ni hatari kwa mazingira na afya za watu.
 
Hayo ni mabaki ya teaching AIDS aina ya CADAVER ,Ni mfano wa umbo la mwanadam kwa kila kitu lakini ni man-made na huwa kama plastic.Wanafunzi wanafanya mafunzo kwa vitendo na kusoma Blood-system na muscles za mwili.Kinacho kuwa tatizo ni kwamba njia waliyotumia kuyahifadhi baada ya kuwa used ndo imeleta utata.Walitakiwa watumie hata kemikali kuyateketeza kuliko kufunga kwenge mifuko ya rambo na kupeleka dampo.

Poleni kwa mshtuko lakini asanteni wanachi mliotaka kujua undani wa swala hilo.
 
Kuna kitu tunasahaulishwa kwa gharama kubwa sana.
Rudisheni hela zetu za Escrow.
 
Kuna watu wanasema hii miili imetoka kadava muhimbili.
Hainiingii akilini. Kwanini wasifanye ivyo miaka yote waje wafanye ivyo now. Na je kadava si huwa wanakausha maiti. Hizi nyingi ni fresh na je kadava wanajifunza pia kuchuna ngozi ya binadamu na kukatakata viungo kama ndio watakuwa wauwaji sio waokoaji basi.

My take kuna haja ya sisi watanzania kuacha kuchukulia vitu easy. Ndio sababu hata perfomance ya serikali ni poor coz they know citizen cannot act upon anything but they will talk and 4get as usual.

This is serious case and bad image ever the world and our kids.
 
Tabarnak! Hii nchi kweli kiboko. Wanga walishachukua vyao, ndio serikali inashtuka.
 
Mpaka watu wameshtukia that means ndio kawaida yao sio leo tu.
 
Confirmed

Haya ni masalia/Cadaver baada ya wanafunzi kuyatumia na kushindwa kuya incinerate (kuyachoma kwenye tanuru), kwa habari za uhakika ni kwamba haya masalia yametoka chuo kikuu cha IMTU kilichopo Mbezi Beach Dar, hawa Jamaa walipeleka haya masalia Muhas/Muhimbili kwa ajili ya kuwa incinerated lakini hawakuwa na hela hivyo Muhas hawakuteketeza haya masalia.

Ndipo sasa wakaamua kuja kuyatupa Bunju.

This is very un-ethical na udhalilishaji wa taalum, hatua kali zichukuliwe.

Source,,,,!!
 
kuna watu wanasema hii miili imetoka kadava muhimbili.
Hainiingii akilini. Kwanini wasifanye ivyo miaka yote waje wafanye ivyo now. Na je kadava si huwa wanakausha maiti. Hizi nyingi ni fresh na je kadava wanajifunza pia kuchuna ngozi ya binadamu na kukatakata viungo kama ndio watakuwa wauwaji sio waokoaji basi.

My take kuna haja ya sisi watanzania kuacha kuchukulia vitu easy. Ndio sababu hata perfomance ya serikali ni poor coz they know citizen cannot act upon anything but they will talk and 4get as usual.

This is serious case and bad image ever the world and our kids.

hakuna fresh hapo, zote zimekaushwa
 
Naomba kujulishwa. ...hivi hivyo viungo ni feki au orijino??!! Kama orijino vimetoka wapi......??
 
Aaaah wapi....
Try again, hizo kamba nimekata.
Ni kweli vyuo vya tiba ya binaadam huwa vinanunua maiti (kwa utaratibu maalum lakini) kutoka either manispaa, au other where, ni utaratibu wa kawaida kabisa katika field hiyo. let me mention just that one for today.
Miili hiyo hununuliwa kwa ajili ya mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi.
Lakini kunakuwa na udhibiti mkubwa Sana kwenye issue hii, hili la utupwaji holela haliwezekani kamwe, na baadaye litzusha ubishani mkubwa sana katika medical field, na tuone. Hapa ni suala la uhai wa watu, isije mamlaka yoyote ikathubutu kutengeneza fununu, kuzipa nguvu na hatimaye wazipe fununu hizo umbo la ukweli, ili kuzubaisha watu.
Mimi ubongo Wang umegoma kabisa kukubaliana name hizo story za kupunguza mass hysteria (panic).
 
Back
Top Bottom