Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

wanadai tukio hili lilitokea usiku lakini mbona elimu ndogo kabisa inaonesha hizi pICHA ZILIPIGWA MCHANA ,.oh mimi simo hapoo
 
Tumuulize Nanihii, Yule Gaidi Wa Kuwateka Watu, Anafuga Sana Madevu, Jina Limenitoka Kidogo
 
Hili jambo linatisha sana ila kwa upande mwingine inawezekana kabisa kuwa ni mkakati wa makusudi kuelekea kuanza kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba kwa minajili ya kuhamisha mawazo na akili za wananchi walio wengi...
 
habari hii hainiingii akilini,mbona hizi picha zimepigwa mchana jamani au mimi chongoo?
 
Haingiii akilini eti IMTU walishindwa kulipa ndipo wakaamua kwenda kutupa jalalani viungo vya binadamu? hapana hapana bado sikubaliani na hili. Sidhani kama thamani ya binadamu imefikia hatua hii ya kutupwa kwenye jalala.
 
Jamani tunapochangia tuwe waelewa, kwa kusema kuwa vimetoka kwa wanafunzi wa IMTU ni ngumu sn maana kuna ethics zake kuhusiana na miili hiyo(cadaver ethics) ya namna ya kuhifadhi na kuheshimu hiyo miili (disected bodies) so hapo ni polisi na pia kurudisha ishu hiyo hospitali kwa ajili ya uchunguzi (forensic)
 
IMTU HAIPO TANGIBOVU BALI IPO katikati ya manEO YA JOGOO NA INTERCHICK
 

we umetumwa wewe izo maiti hazina ndugu majaribio na miili ya watu wachawi
 
Haingiii akilini eti IMTU walishindwa kulipa ndipo wakaamua kwenda kutupa jalalani viungo vya binadamu? hapana hapana bado sikubaliani na hili. Sidhani kama thamani ya binadamu imefikia hatua hii ya kutupwa kwenye jalala.

Haikuingii akilini inakuingia wapi sasa? ni kitu cha kawaida mahospitalini mkuu.
 
ndugu tukio limetokea usiku na ss hivi ni asubuhi je huo mchana unatoka wapiii,mwisho wa siku tusubiri uhalisia zaid kutoka kwa wahusika
 

Hii siyo breaking news ni makafara ya CCM tushayazoea
 
Humu hakuna mtu wa Muhimbili au IMTU atujuze? Kwa taasisi kubwa kama hizi hawawezi kufanya kitendo cha kinyama kama hiki. Haya mabaki yalistahili kuchomwa au kuzikwa/fukia sio kutupa tena mahali pa wazi kiasi hiki!!!!!!
 
ndugu tukio limetokea usiku na ss hivi ni asubuhi je huo mchana unatoka wapiii,mwisho wa siku tusubiri uhalisia zaid kutoka kwa wahusika

Mkuu tukio limetokea Jana mchana na taarifa zimefika mitandaoni Usiku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…