Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Hili jambo linatisha sana ila kwa upande mwingine inawezekana kabisa kuwa ni mkakati wa makusudi kuelekea kuanza kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba kwa minajili ya kuhamisha mawazo na akili za wananchi walio wengi...

Hata mi nimefikiria hvo mana Watanzania kwa kubebwa na upepo na kuacha ku.discuss vitu vya muhimu hi si bure kuna kitu
 
wewe unayesema kifungwe hao wanafunzi utawasomesha nyumbani kwako.au una lab yenye cadaver??usiripoke tu pia tumia akili sio matamvua kufikiria
 
Hili jambo linaakisi mambo mengi sana, kwa tafakari ya kina.
 
Huwa hio miili ikishatumiwa kwa ajil ya kusomea inatakiw ichomwe, sasa imtu hawana sehemu ya kuchomea huwa wanachomea Muhimbili but nasikia walishndwa kulipia garama za uchomaji sasa chuon kukawa na ukaguzi wa gafla ndio wakapata kiwewe hadi wameenda kutupa uko.

Nukuu ya mwanafunzi wa IMTU.

"for a while our university administration imekua na matatizo..iliwahi kutokea miaka ya nyuma scenario kama hiyo ambapo mwanafunzi alieonekana na mkono mtaani of which hairuhusiwi hata kutoka na groves inje ya hicho chumba..sasa semester one ilimaliza kutumia hizo dead body on march zikatakiwa zitupwe..kwakua kifaa kilikua kibovu waliomba MuHAS wawasaidie ambapo inasemekana walisema nao kifaa(according to the guy anayehusika) chao kina shida wakaomba hindu mandal wakatakiwa kutoa 7m..ikacheleweshwa kutolewa..

Leo umoja wa vyuo vya madaktari Afrika mashariki ulikuja for inspection kwakua hazikutakiwa kuonekana wakaamua kufanya hivyo of which is illegal..

On friday nilikua mwenyewe ofisini and i heard one of teachers anaongelea kuzitoa hizo dead bodies"
 
Poor management' with poor decision making!!
 
Tunashahuku kujua watu hao waliuawa vip? na wap? ili tuache kujifalij kuwa Tz
Ni chi ya aman.
 
Hivi benki kuu walishatoa tamko rasmi kuhusiana na Ile kitu ya FBME?

Maana nahisi hii sinema ya mabaki ya miili imeingia sokoni tayari..........
 
Nukuu ya mwanafunzi wa IMTU.

"for a while our university administration imekua na matatizo..iliwahi kutokea miaka ya nyuma scenario kama hiyo ambapo mwanafunzi alieonekana na mkono mtaani of which hairuhusiwi hata kutoka na groves inje ya hicho chumba..sasa semester one ilimaliza kutumia hizo dead body on march zikatakiwa zitupwe..kwakua kifaa kilikua kibovu waliomba MuHAS wawasaidie ambapo inasemekana walisema nao kifaa(according to the guy anayehusika) chao kina shida wakaomba hindu mandal wakatakiwa kutoa 7m..ikacheleweshwa kutolewa..

Leo umoja wa vyuo vya madaktari Afrika mashariki ulikuja for inspection kwakua hazikutakiwa kuonekana wakaamua kufanya hivyo of which is illegal..

On friday nilikua mwenyewe ofisini and i heard one of teachers anaongelea kuzitoa hizo dead bodies"
 
Hivi mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kuhusu hii ishu?
 
Tunashahuku kujua watu hao waliuawa vip? na wap? ili tuache kujifalij kuwa Tz
Ni chi ya aman.

tumia akili yako japo midogo, zile ni human remaining body's zilipaswa kutekezwa hospital baada ya wao kumaliza matumizi yao na viungo vile vingine vya madereva wa bodaboda vingine waliokatwa miguu kwa ugonjwa wa kisukari, tunachosubiri kujuwa ni kwa nini yatumike majalala ya kawaida kwa human remaining body's?
 

Kaka sijakurupuka. Mimi pia nimesoma MD enzi ya UDSM. Unaona sasa yanayoibuka... Kama ulishawahi kuingia chumba cha cadaver ungegundua uwingi wa gloves na zile nyembe. Na style ya ukataji. Tukiwa shule tuliambiwa cadavers wanatakiwa wawe treated kwa heshima maana ndio mahali pekee mfu anapomfundisha aliye hai (Mortui vivos docent - The dead teaches the living), lakini watu hawafanyi hivyo...
 

Taasisi zinazotuhumiwa ni MUHAS, Kairuki na IMTU lakini IMTU ndo inaonkana kuhusika moja kwa moja. Kwa kutumia wanafunzi wa vyuo husika unaweza kujua chuo husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…