Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo


Lakini hospital ya muhmbl wamekataa kuhuska na hlo tukio.what is needed n uvumilvu wetu il tuweze kujua which is which. .
 

Kama n hvo hii ishu itazmwa Kmya kmya
 
Kwq hyo imethibitika kwamba ni miili ya watu waliopata ajali

Au unajaribu ku assume na waliuwawa je?? Vp kuhusu waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha??.Hali inatisha Tanzania cyo inchi ya amani ila tumeklemishwa kwamba ni ya aman.Angalia sasa propaganda zitakazoletwa na vyombo vya usalama kesi itapigwa danadana
Mwishowe utasikia tumeshakamata watu kadhaa wanaohusika na kesi hii muendelezo wako ni filam tosha
Huku wanaoiba kuku wanafuhukumiwa aisee

Jitahidi kuoga kura watanzania wenzang ni haki yako ya msingi
Usiouuzie then mwsho wa cku
Mnalalamika be careful usiwe mbumbumbu miingoni mwa mambumbumbu epuka kuburuzwa ni haki yako kutambua upo kwenye position gani.

Nina imani humu wapo waliopotelewa na ndugu zao hali kadhalika na waliouwawa katika mazingira ya kutatanishwa Tanzanians wake up enough is enough....
 

Unaambiwa bora ukutane na Mnyama lakini sio Binadam...


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Big up JF. Nimependa jinsi mjadala huu ulivyoendeshwa. Hiki ni kisima cha elimu. Kwa jinsi mabaki hayo ya miili ya binadamu yanavyoonekana, ni kweli yametoka vyuo vya udaktari. Hii inaonyesha wanataaluma ya udaktari wako makini mno, angalia mazingira yao ya kazi, gharama kubwa wanazotumia kumtengeneza daktari. Tupo katika soko la ushindani, nadhani chuo husika ilichukua hatua hii hatari ili kulinda status yake baada ya kuona mambo mengine yako sawa.
Serikali isaidie vyuo vikuu hasa masomo ya sayansi-tiba ya binadamu ili kupunguza gharama za uendeshaji. Utashi wa kisiasa unahitajika ili tutoe wataalam wenye viwango vinavyokubalika kimataifa. IMTU-Tanzania ni kati ya vyuo vinavyotambuliwa na WHO.
 
Hiyo miili ya kufanyiwa majaribio huwa inapatikana wapi?

Ni wale ambao wanafariki mahospitalini alafu ndugu hawajitokezi, au wale ambao wanafariki kwenye ajari na kuharibika vibaya miili yao hawapewi ndugu. nakubaliana na mtoa mada itakuwa kwa ajili ya mafunzo kwani kuna ukaguzi wa hali ya juu katika mahospitalini unafanyika hivi sasa. naitaka serikari ya CCM iongeza bajeti katika hospitali zake ziweze kuharibu dead bodies. kama walikuwa hawana pesa za kuharibu dead bodies basi walitakiwa wakaifiche baada ya ukaguzi wairudishe. na siyo kama walivyofanya
 
Huwa wanatoa wapi hii miili ya kufanyia practical?


 
pasi kujua wapi we mpaka unapakia mafurushi yote hayo na yana damu, laana ya pesa tuliyonayo watanzania.....
Usishangae chikutentema. Hayo ni sehemu tu mazingira ya anayokutana nayo daktari wa binadamu katika masomo yake ya miaka 5+1. Ukifika kazini,bado huwezi kutekeleza kikamilifu yale uliyosoma. Madaktari wakidai mazingira bora ya kazi,inakuwa nongwa, wananchi wanataka kuwapiga mawe. Picha za miili hiyo,tayari watu wanataharuki; ukiingia kwenye chumba chenyewe.....
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mm pia ni shuhuda na nmeeda kuangalia kwa macho yangu ni jana tu usiku nmetoka zangu mitaa saa 6 kasoro hivi umati wa watu wengi wamemshika dereva aeleze vzu ndipo ktk kujitetea asiuawe kaeleza wampeleke polisi atoe taarifa kamili ila ni kweli nmeona hiyo mizoga ,kama ni kweli wanafunzi wanatumia kama njia ya masomo haiwezekani mizoga zaidi ya 100 wakati maiti moja waweza somea hata miezi mitatu hapo kuna jingine nyuma ya pazia uchunguzi ufanyike tunahitaji majibu,na kwann wakatupe kule usiku?kwanin wasichome kutumia acid?kwann wasipeleke muhimbili pale kuna sehem ya kuchomea?na mbona zingine zilikuwa zinatoka damu?haiwezekani nasema hii nchi hii ya tanzania ina mambo ya ajabu sana mungu turehem tu
 
Kuna chuo cha Tiba kinaitwa IMTUipo tegeta ndio wametupa hizo mabaki ya miili ya binadamu ambayo inatumika ktk mafunzo but sio sahihi.
 
Kuna chuo cha Tiba kinaitwa IMTU kipo tegeta ndio wametupa hayo mabaki ya miili ya binadamu ambayo inatumika ktk mafunzo but sio sahihi.
 
Je hao watu / miili waliwatoa wapi?
Na kama walifukua maiti ni kwanini wasiwarudishe kwenye makaburi yao?
Chuo cha kuweza kufanya kitu kama hicho hakifai;
kama kufungwa na kifungwe ili wakajipange upya.


Taasisi zinazotuhumiwa ni MUHAS, Kairuki na IMTU lakini IMTU ndo inaonkana kuhusika moja kwa moja. Kwa kutumia wanafunzi wa vyuo husika unaweza kujua chuo husika.
 
Jamani hiyo habr nyngne iliyounganishwa mbona,inatuchanganya!?
Amesema gari ilikuwa Toyota hilux pickup
Kwenye picha tunaona Suzuki Carrie.
Sasa tu ipi ni kipi.
@ mashuhuda
 
swali ni kuwa hadi maiti ifikie wao kuitumia kwa kazi hii inatakiwa iwe na sifa gani mf haina mwenyewe au wanachukua maiti zozote tu au wanawaomba wanandugu nifahamisheni.

ikijulikana hosp yoyote imetupa viungo hivyo namna hiyo ichukuliwa hatua za kisheria. kwa wasioelewa hayo mambo yao ya hosp itawasumbua sana. si jambo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…