Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
tumia akili yako japo midogo, zile ni human remaining body's zilipaswa kutekezwa hospital baada ya wao kumaliza matumizi yao na viungo vile vingine vya madereva wa bodaboda vingine waliokatwa miguu kwa ugonjwa wa kisukari, tunachosubiri kujuwa ni kwa nini yatumike majalala ya kawaida kwa human remaining body's?
Lakini hospital ya muhmbl wamekataa kuhuska na hlo tukio.what is needed n uvumilvu wetu il tuweze kujua which is which. .

