Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Hili nalo litapita kimyakimya kama yalivyopita mengine.
 

Unasema wahanga wa bodaboda na kisukari hukatwa viungo, Je! hivyo vichwa vilikuwa ni vyawagonjwa gani?
 
Ni kinyume na haki za binadamu,awajibike mtu asiwajibike ni ishara kuwa hata binadamu hai hana dhamani tanzania
 
hapakuwepo na kiungo cha albino kweli ?
Bwashe!! Umetisha kweli. Umeshafikiria kupiga dili. Wenzako tunashangaa jinsi binadamu wenzetu walivyodhalilishwa baada ya miili yao kutumika kusomeshea madaktari, wewe umeona kuna fursa ya kupata mapene kwa Krismasi? Ufanye biashara ya kuuza viungo vya binadamu wenzako kwa ushirikina? We kweli intarehamwe!!
 
  1. The Interahamwe (Kinyarwanda, meaning "those who stand/work/fight/attack together" ) is a Hutu paramilitary organization. The militia enjoyed the backing of the Hutu-led government leading up to, during, and after the Rwandan Genocide.

    To be honest!, Now we have a similar situation here in Tanzania where this ill, corrupted, and infidel government trying to scare people to seek true democracy. they have little grip to stay on power before they slip away!

    God has judgement with them!
 
Duuuu hatari!isije. Kuwa hosp zetu hazina maeneo ya kuteketeza uchafu wa hosp.maana ktk hali ya kawaida viungo vya watu mia si mchezo.ngoja tuone
 

hizo ni cadaver mkuu,tunachuna ngozi,tunakata viungo....in short tunajifunza system zote....it all helps in saving life unapokuwa daktari.unapokuja kwangu unasema tumbo linauma mahala fulani etc mi tayari picha ya cadaver niliyopasua nikiwa chuo inakuja kichwani na inanisaidia kujua hapo unapoumwa kuna nini na kimekaaje na nikusaidiaje
 
Vyomnpo vya ulinzi na usalama wametoka kwemye misingi yao ya utendaji kazi wanapambana na vyama vya upinzani na kuomba rushwa.
 
Unasema wahanga wa bodaboda na kisukari hukatwa viungo, Je! hivyo vichwa vilikuwa ni vyawagonjwa gani?
Kuna watu wengine hujitolea miili yao itumike kwa ajili ya sayansi pale watakapokufa, huenda ndio vichwa vyao hivyo.
 
umenena vema kabisa kabisa!

QUOTE=Petro E. Mselewa;10129821]Hili suala si dogo. Linahusu ubinaadamu wetu. Ile ni miili ya ndugu,jamaa na marafiki zetu.Hata kama ilikuwa ikitumika kisayansi,bado haikupoteza thamani yake kama ni miili ya
binaadamu na hivyo heshima,staha na taratibu zilipaswa kufuatwa. Majibu kuhusu wapi imetoka miili ile ya Bunju hapa hayatakuwa na uzito bila ya kwanza kukubali kuwa kulikuwa na makosa juu ya kushughulika na miili ile.

Kwa majibu yoyote, hali ile haivumiliki. Iwe imetokea IMTU au kwingineko, yupo mtu au wapo watu wa kuwajibika. Hata kama ilikuwa ikitumika kisayansi,zipo taratibu za kushughulikia miili ile ikiwa ni pamoja na namna ya kuiteketeza.Mifuko ya rambo si namna ya kuiteketeza hata kama mimi si mwanasayansi. Kuitupa si jambo linalokubalika. Kwanza,kuitupa kiholela vile,kulihatarisha amani.Yangekosa mabomu ya Polisi,muda huu yangezungumzwa mengine.

Nitoe rai kwa wahusika wote wa sakata la jana la miili ya Bunju kujipima na kuwajibika. Tasnia yoyote ina miiko yake. Ya sayansi jana ilikiukwa. Yupo wa kuwajibika. Atambuliwe au ajitambue na kuwajibika haraka iwezekanavyo.[/QUOTE]
 

so .......,!!???
 
 
Taarifa za upelelezi zinaonesha kuwa kabla ya viungo kutupwa pale vilikuwa chuo na hospital ya IMTU!
 

So stupid and utter nonsense, hapa Interahamwe inakujakuja vipi?Tatito la propaganda zilizofanywa na RPF mpaka wakaonekana kama kilikuwa kikundi cha kigaidi kama Boko Haram ama Alishababu.Kumbuka Interahamwe lilikuwa tu jina la kuhamasisha maana hakukuwa na jinsi maana walikuwa wanapambana na wavamizi.Sasa tell me wewe hapa Interahamwe limekujakuja vipi kwenye hii issue ya watu waliokufa Dar na kupakiwa kwenye mifuko ya plastic nayo ndiyo Interahamwe
 
Mkuu sio maiti zile,wala sio viungo halisi vya binadam.Ni teaching aids zinaitwa cadaver!.Yaan unatengenezwa mwil wa mtu kwa plastic ili kufundishia masomo ya udaktar katika vyuo.Hakukuwa na kiungo halis.

Una idea ya taaluma ya udaktari hata kidogo tu? Yaani hata angalau ule upumbavu Wa udaktari tu? Chuo gani kinachotumia plastic hicho? Plastic inatoa damu? Si umesikia watu wanasema vipande vingine vilikuwa vibichi!! Sasa hayo ni maplastik gani hayo?
 

Ila kweli kama ni teaching aids kwa nini hawakuwashirikisha polisi ili kuweka mazingira bora ya kuihifadhi hiyo miili? Kama sisi tu pale SUA cadaver tunazihifadhi kwenye decomposition pits iweje hawa Wa binadamu wanashindwa kuwa na mazingira bora ya kuhifadhi miili ya binadamu? Sasa naanza kuamini kuwa madaktari Wa mifugo ni bora kuliko Wa binadamu! Mnakosaje utu kiasi hicho?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…