Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo


ni kweli hukatwakatwa, hizi ni cadavers zitakuwa zimetoka kwenye vyuo hapo Dar.....???? wahindi
 

kikawaida baada ya mafunzo viungo vilivyo baki vinakua incinerated....pengine kuna chuo hapo Dar hakuna incinerAtor
 

Maiti zinazotumika kufundishia yaani cadaver hukatwa vipande vipande katika process yakujifunza muscles za mwili huo lakini kwenye swala la maiti hizo kuvuja damu nina mashaka kwamba hizo hazijatoka katika vyuo vya udaktari sababu cadaver huwa damu inakua imeganda kabisa na hazivuji damu maana zinakua zimekaa mda mrefu maana kigezo moja wapo cha maiti kutumika kama cadaver ni inatakiwa ikae mortuary sii chini ya wiki mbili bila kutambuliwa..wiki mbili zikipita ndio itaruhusiwa kutumika kujifunzia kwahyo swala la damu kuvuja linaleta mashaka
 
kuna uwezekano mkubwa hayo mabaki yametoka chuo cha IMTU coz ndo kipo jirani na maeneo ya bunju!! kwa daktari au mwanafunzi wa udaktar nadhan ameshatambua kabisa kwamba hzo ni cadaver
 
Hii inaonesha uzembe wa hali ya juu kabisa. Chuo kitakachobainika kiwajibike kwa hili. Hii ni kuonyesha ni namna gani taasisi za afya zimekua na uzembe hata katika kujali afya za watu. Kwa kawaida, hii miili(Cadaver) hutumika kujifunzia wanafunzi wa udaktari wa mwaka wa kwanza kwa somo liitwalo Anatomy na mabaki yote huchomwa. Kwa kawaida, hadi mwisho wa course miili huwa imekatwakatwa vipande kwani kira sehemu ya miili huwa imefukiwa. Na hii huwa mara nyingi ni miili ya watu wasiojulikana au wamekosa ndugu.
 

Tunadhani tu, ngoja tusikie uchunguzi utasemaje, isije ikawa mambo ya kishirikina ya kula nyama za watu!

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Jaman hata mimi nimezipata izo newz kutoka ktk blog ya jestina ni kweli ilo tukio limetokeaa
 
Mie nimepiga picha mwenyewe nashindwa kuziuppload

jamani hizo ni cadava zinazotumikaga vyuoni kufundishia first year. sema hicho chuo husika wameshindwa kuzidispose/incinerate ili zisilete shida. ukiangalia hizo nyama ni namna ambavyo huwa zinatenganishwa ili kujifunza misuli, mishipa ya damu, mifupa nk. Sema tanzania yetu watakuja na kauli za uongo uongo ili kuwaficha chuo kilichohusika. hawa wanatakiwa wachukuliwe hatua kali na dar kuna vyuo vitatu tuu Muhas, IMTU na Kairuki
 

Jamani tusalini sana. Mmesikia kilichotokea jioni hii huko Bunju. Bodaboda wamefanikiwa kuikatama Susuz Carry iliyokuwa na miili ya watu zaidi ya 20 idadi kubwa ikiwa ni wanawake. Wamegawanywa vipande vinne na miili yote haina ngozi. Kwa mujibu wa reporter wetu aliyopo kituo cha Usalama Bunju anasema inasadikika miili hiyo imetoka maeneo ya Inter chick ila dereva ni wa Bunju hivyo wanasubiri uongozi Wa Juu Wa Polisi ufike eneo la tukio. Eeh Mungu tunusuru Watoto wako🙏
 
nilielezwa na jamaa yangu nikadhani utani hadi nikamtukana..kumbe kweli.
 
mi mtu inawaza hela tu bila kujari utu yaani mtu anapewa gari akawamwage binadam wenzie dampo? Hivi kweli ni hapa Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…