Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mabaki ya teaching AIDS aina ya CADAVER ,Ni mfano wa umbo la mwanadam kwa kila kitu lakini ni man-made na huwa kama plastic.Wanafunzi wanafanya mafunzo kwa vitendo na kusoma Blood-system na muscles za mwili.Kinacho kuwa tatizo ni kwamba njia waliyotumia kuyahifadhi baada ya kuwa used ndo imeleta utata.Walitakiwa watumie hata kemikali kuyateketeza kuliko kufunga kwenge mifuko ya rambo na kupeleka dampo.
Poleni kwa mshtuko lakini asanteni wanachi mliotaka kujua undani wa swala hilo.
muda mrefu ni muda upi
Usishangae chikutentema. Hayo ni sehemu tu mazingira ya anayokutana nayo daktari wa binadamu katika masomo yake ya miaka 5+1. Ukifika kazini,bado huwezi kutekeleza kikamilifu yale uliyosoma. Madaktari wakidai mazingira bora ya kazi,inakuwa nongwa, wananchi wanataka kuwapiga mawe. Picha za miili hiyo,tayari watu wanataharuki; ukiingia kwenye chumba chenyewe.....
du watazania ni zaidi ya waisraeli/mayahudi kwa sasa,, watu tunahangaika kuwasomea dua marehemu wetu ili wakae kwa amani kule barzak wakisubiri hukumu siku ya kiama kumbe watolewa ngozi na kutupwa au kuchomwa... mhhhSiyo Bunju ya Gaza bali ni Gaza ya Bunju, ila ni kwakua tanuru la kuchoma viungo hivyo hapa Muhimbili liliharibika so the only options ikawa kuvitupa jalalani
Je hao watu / miili waliwatoa wapi?
Na kama walifukua maiti ni kwanini wasiwarudishe kwenye makaburi yao?
Chuo cha kuweza kufanya kitu kama hicho hakifai;
kama kufungwa na kifungwe ili wakajipange upya.
Je hao watu / miili waliwatoa wapi?
Na kama walifukua maiti ni kwanini wasiwarudishe kwenye makaburi yao?
Chuo cha kuweza kufanya kitu kama hicho hakifai;
kama kufungwa na kifungwe ili wakajipange upya.
vkwahiyo nyinyi ndio mliodikia mwai kibaki kafa mkaleta uzushi wenu humu? ujinga mtupu.
nyinyi ndio mliosababisha Tanzania iwe ranked in top 10 poor iq's population.
Ina maana hakuna wanafunzi wengine watakaosoma masomo hayo !!! Maana katika shule na vyuo vingine tena katika nchi masikini kama Tanzania teaching aids zilizoachwa na Wakoloni bado zinatumika!!! Iweje hizo teaching aids tena kwa ajili ya masomo ya udaktari zitupwe, halafu nyingine zikiwa bado mbichi kama zinatoa damu.
Hii ni HATARI kabisa. Vyovyote vile ila maiti za watu mia na hakukuwa na taarifa zozote eidha za kupotea watu au za mauaji? Hii kweli ni kitendawili. Labda walikuwaga wanakusanya maiti moja moja. Na je katika hizo maiti sijui kama kuna ambazo zinaonyesha zilijeruiwa ingawa kwenye picha zipo zinazoonekana kukwanguka ngozi kutokana na ukavu. Tusubiri taarifa za uchunguzi zitasemaje. Ila vyovyote vile, hii HAIKUBALIKI kabisa na wahusika WAPEWE ADHABU KALI.
Mkuu sio maiti zile,wala sio viungo halisi vya binadam.Ni teaching aids zinaitwa cadaver!.Yaan unatengenezwa mwil wa mtu kwa plastic ili kufundishia masomo ya udaktar katika vyuo.Hakukuwa na kiungo halis.
Smart you!!!!!Mbona nimwjaribu ku google maana ya cadaver ni maiti iliyoifadhiwa kwa lengo la kutumika kwa mafunzo na sio plastic kama unavyotaka kutuaminisha mkuu
v
vipi bado kauli yako no Hii Hui?