Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya pili duniani?? Unauhakika??
Ndio.nina uhakika tena kwa asilimia 100
Sio sawa kua na asilimia 100. Hata kwa Africa bado sio ya pili, unless u support na source ya information yako.
Ya kwanza ipi?
Ya kwanza ipi?
Umesema duniani ndio maana na kukatalia. Vivutio ulivyotaja hapo ni vya aina moja, natural. Tourist attraction zipo natural, caltural, metropolitan and e. t. c. Utalii sio mbuga za wanyama tu, I repeat, ukisema duniani you are very wrong
Umesema duniani ndio maana na kukatalia. Vivutio ulivyotaja hapo ni vya aina moja, natural. Tourist attraction zipo natural, caltural, metropolitan and e. t. c. Utalii sio mbuga za wanyama tu, I repeat, ukisema duniani you are very wrong
nchi ya kwanza kwa vivutio vya utalii duniani ni Brazil ya pili ni shamba la bibi Tanzania
Ya kwanza ipi?
nchi ya kwanza kwa vivutio vya utalii duniani ni Brazil ya pili ni shamba la bibi Tanzania
Tanzania ni nchi ya pili duniani kwa vivutio vya utali. Ina milima na mabonde mistu mbuga na wanyama wengi wa kutosho lkn pamoja na vivutio vyote hivyo watalii akuna wa nje mpaka wa ndani tatizo ni nini tumelogwa?
we mi nilishafanya maamuzi mapema ila sisi tuliofanya uamuzi mapema tuko wachache sanakwanini maliasili hazna faida kwa raia wa kawaida ? Wanao neemeka ni raia wageni.
Jibu lako, ww fanya maamuz stahili ktk uchaguz 2015.
Sio sawa kua na asilimia 100. Hata kwa Africa bado sio ya pili, unless u support na source ya information yako.


Tanzania ni nchi ya pili duniani kwa vivutio vya utali. Ina milima na mabonde mistu mbuga na wanyama wengi wa kutosho lkn pamoja na vivutio vyote hivyo watalii akuna wa nje mpaka wa ndani tatizo ni nini tumelogwa?