Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

Vivutio vya utalii Tanzania na faida za utalii wa ndani

Ndugu Mtoa mada rekebisha kidogo huenda ulitaka kuandika ni ya pili Duniani kwa kutorosha Vivutio vya utalii.

===================================================================================================

WIZI WA WANYAMA HAI WAITAFUNA TANZANIA
Kesi ya wizi wa wanyama hai: Mashahidi waeleza namna Twiga hai walivyotoroshewa nje
"Mashahidi wawili wa upande wa mashtaka, wameieleza mahakama namna wanyamahai, wakiwamo twiga wanne, walivyosafirishwa kwenda Doha nchini Qatar kwa kutumia ndege ya jeshi.

Mashahidi hao, akiwamo mmoja wa madereva wa lori, walitoa ushahidi wao juzi wakiongozwa na jopo la mawakili watatu wa Serikali, Evetha Mushi, Pius Hilla na Stella Majaliwa.

Shahidi wa sita, Davis Kimei aliyekuwa dereva wa lori aina ya Mitsubish Fusso, alieleza namna alivyosafirisha wanyama hao toka Arusha hadi Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (Kia).

Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Simon Kobelo shahidi huyo alidai Novemba 25, 2010 alikodishwa kubeba wanyama hao na watu watatu, wakiwemo wawili wenye asili ya kiasia hadi uwanja wa Kia kwa ujira wa Sh150,000.

“Baada ya kuelewana tulikwenda hadi kwenye nyumba moja eneo la Kwamrefu, Arusha na humo ndani nilikuta vijana wengi ambao walikuwa wakitengeneza mabox yaliyokuwa na Twiga na Swala,” alisema.

Shahidi huyo alidai baada ya kuwapakia wanyama hao, msafara wa malori manne ulielekea Kia na kufika saa 8:00 usiku na kuelekea moja kwa moja uwanjani ambapo walikuta ndege kubwa ya jeshi imeegeshwa.

“Maboksi yale yalishushwa na kupakiwa katika ndege hiyo usiku ule wa manane,” alisema.

Shahidi wa saba, alidai siku ya tukio saa 4:00 usiku aliwasikia wafanyakazi wawili uwanjani hapo, wakisema kuna wanyama wangesafirishwa usiku huo.

“Nilimdokeza mkuu wa upelelezi… Nilipokuwa nyumbani bosi wangu alinipigia simu na kuniambia ile taarifa niliyompa ilikuwa ni ya kweli kuna ndege ya Serikali inasafirisha wanyamapori,” alisema.

Shahidi huyo alidai kuwa saa 6:00 usiku alirudi kazini na ilipofika saa 8:30 usiku lilikuja basi aina ya Toyota

[View attachment 203744


View attachment 203745


Chungulia na hii Serikali inavyoavuliwa nguo na nchi za nje kuhusu Meno ya Tembo.

Madudu zaidi meno ya tembo - Kitaifa - mwananchi.co.tz

===================================================================================================

HOJA YANGU:

Hiyo taarifa inayoonyesha kuwa Tanzania ni ya pili kwa vivutio vya Utalii huenda imeandaliwa na Serikali ya Tanzania katika kujikosha na tuhuma zote hizi.

Taarifa ya IKULU huwa inapikwa tu kuficha ukweli lakini mwisho wa siku kitaeleweka.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Asavali ya wewe
 
Tanzania ni nchi ya pili duniani kwa vivutio vya utali. Ina milima na mabonde mistu mbuga na wanyama wengi wa kutosho lkn pamoja na vivutio vyote hivyo watalii akuna wa nje mpaka wa ndani tatizo ni nini tumelogwa?

Ndio.nina uhakika tena kwa asilimia 100

umesikia wapi?.. Dr nagu ktka taarifa yake amesema ni nchi ya tano wewe unasema ya pili ukiitwa chaumbea si ni haki yako kabisa acha kukurupuka.
 
Ndugu Mtoa mada rekebisha kidogo huenda ulitaka kuandika ni ya pili Duniani kwa kutorosha Vivutio vya utalii.

===================================================================================================

WIZI WA WANYAMA HAI WAITAFUNA TANZANIA
Kesi ya wizi wa wanyama hai: Mashahidi waeleza namna Twiga hai walivyotoroshewa nje
"Mashahidi wawili wa upande wa mashtaka, wameieleza mahakama namna wanyamahai, wakiwamo twiga wanne, walivyosafirishwa kwenda Doha nchini Qatar kwa kutumia ndege ya jeshi.

Mashahidi hao, akiwamo mmoja wa madereva wa lori, walitoa ushahidi wao juzi wakiongozwa na jopo la mawakili watatu wa Serikali, Evetha Mushi, Pius Hilla na Stella Majaliwa.

Shahidi wa sita, Davis Kimei aliyekuwa dereva wa lori aina ya Mitsubish Fusso, alieleza namna alivyosafirisha wanyama hao toka Arusha hadi Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (Kia).

Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Simon Kobelo shahidi huyo alidai Novemba 25, 2010 alikodishwa kubeba wanyama hao na watu watatu, wakiwemo wawili wenye asili ya kiasia hadi uwanja wa Kia kwa ujira wa Sh150,000.

“Baada ya kuelewana tulikwenda hadi kwenye nyumba moja eneo la Kwamrefu, Arusha na humo ndani nilikuta vijana wengi ambao walikuwa wakitengeneza mabox yaliyokuwa na Twiga na Swala,” alisema.

Shahidi huyo alidai baada ya kuwapakia wanyama hao, msafara wa malori manne ulielekea Kia na kufika saa 8:00 usiku na kuelekea moja kwa moja uwanjani ambapo walikuta ndege kubwa ya jeshi imeegeshwa.

“Maboksi yale yalishushwa na kupakiwa katika ndege hiyo usiku ule wa manane,” alisema.

Shahidi wa saba, alidai siku ya tukio saa 4:00 usiku aliwasikia wafanyakazi wawili uwanjani hapo, wakisema kuna wanyama wangesafirishwa usiku huo.

“Nilimdokeza mkuu wa upelelezi… Nilipokuwa nyumbani bosi wangu alinipigia simu na kuniambia ile taarifa niliyompa ilikuwa ni ya kweli kuna ndege ya Serikali inasafirisha wanyamapori,” alisema.

Shahidi huyo alidai kuwa saa 6:00 usiku alirudi kazini na ilipofika saa 8:30 usiku lilikuja basi aina ya Toyota Coaster ambapo walishuka watu wenye sare za jeshi wenye asili ya kiarabu.

Washtakiwa katika kesi hiyo inayovuta hisia za Watanzania wengi ni Kamran Ahmed, Hawa Mang’unyuka, Michael Mrutu na Patrick Paul na kesi hiyo itaendelea kusikilizwa Agosti 13 na 14.

Baadhi ya picha za Doha zoo nchini Qatar.

[View attachment 203744


View attachment 203745


Chungulia na hii Serikali inavyoavuliwa nguo na nchi za nje kuhusu Meno ya Tembo.

Madudu zaidi meno ya tembo - Kitaifa - mwananchi.co.tz

===================================================================================================

HOJA YANGU:

Hiyo taarifa inayoonyesha kuwa Tanzania ni ya pili kwa vivutio vya Utalii huenda imeandaliwa na Serikali ya Tanzania katika kujikosha na tuhuma zote hizi.

Taarifa ya IKULU huwa inapikwa tu kuficha ukweli lakini mwisho wa siku kitaeleweka.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Mh! hizi data (source) yake ni wapi? unajua idadi ya watalii wanakuja Tz. kwa mwaka ukilinganisha na Kenya ikoje? na hata kama una vivutio vingi wakati hakuna watalii ina maana gani?

Uwe unakula kwanza kabla ya kutumia 'ile kitu'.

huyo mtoa mada ni wale wanaosikia maneno vijiweni wanakurupuka bila kufuatilia .
 
Toka enzi za Hayati Nyerere inafahamika kuwa Taqnzania ni nchi yenye wanyama Twiga ambao ni adimu Duniani. na ndio maana ilikuwa inapoonekana ndege yenye picha ya Twiga kwenye mbawa zake moja kwa moja tulikuwa hatuulizi ni ndege gani ile kwani tunajua ni Air Tanzania.

Lakini kutokana na uroho wa Viongozi wetu hawa Wanyama Tanzania itafikia wakati watapotea wote kama wanavyopotea Tembo. Yaani hawa Viongozi Waroho watamani hata Mlima Kilimanjaro kungelikuwa na uwezo wa Ku uuza nje basi wangelifanya hivyo.

Kizazi cha watoto wetu watasoma ktika Historia na kuona picha za Twiga na Tembo tu. Viongozi waroho watawamaliza wote, mwisho wa siku sisi Watanzania ndio tutakuwa Watalii kaika nchi za wenzetu kuangalia Twiga na Tembo.

Na Wazungu hawatakuja tena Tanzania kwani kutakuwa hakuna vivutio tena.

Ni wakati umefika kwa Watanzania kuamka kwa kulinda maliasili na vivutio vyetu kwa maslahi ya Taifa na kizazi cha Watoto wetu.


MUNGU IBARIKiTANZANIA, MUNGU WALAANI MAFISADI NA WENYE UROHo TUNAOMBA WAFE LEO ILI WATUACHIE TANZANIA YETU IKIWA BADO INAPENDEZA........AMEN


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
!
!
steven wassira, anna makinda, pinda na komba hizi ni species ambazo huwezi kuzikuta mahali popote duniani, popote. Tulideserve namba moja, majaji hawakuwa fea kwa kweli. Sokwe bungeni tena waziri, only in Tanzania na bado eti wa pili. Nimemaind mno.
 
Pia ni nchi ya kwa kuongoza kwa wizi wa fedha
 
sitaki niamini hilo zaidi sie wa tz tumekuwa mabingwa ktk kujisifia ili hali uhalisi sio hata soko la samaki tu ferry tunasema ndilo kubwa na bora kusini jangwa la sahara nenda holili ofosi za tra za kenya ni bora acha na wansoko bora kabisa ila za tz zilizinduliwa na waziri na kusifiwa kuna kila kitu. jiulize sawa tuna vivutio sasa je hao wanaovitembelea wangapi kwa mwaka kulinganisha na nchi japo ya kumi tu je hicho wanachotoa kiko wapi sioni hoja hapa zaidi ya siasa
 
Binafsi nilijaribu kufanya research ili niandike kitabu cha vivutio vya kitalii ambavyo havijawa promoted niliishia kusikia kuna
1.msitu unao ongea same
2.ukirusha jiwe kwenye ziwa chala(kilimanjaro) halitakaa lirudi chini
3.kuna sehemu iringa pakuvuka ukijaribu kuvuka panapanuka na unazama
4.kaburi ambalo umeme haupiti iringa
kama unajua vingine na maajabu mengine ndani ya nchi yetu pendwa endela kuvitupia..
 
Alafu nimeona sehem ameandika kwamba alifanya research ili aweze kuandika kitabu.
Sasa sijui hata hicho kitabu angekiandikaje kwa style yake hiyo
Mkuu ushimen kama umewahi kusoma kitabu hata kimoja utajua kuwa kitabu hakichapishi bila editing tena zaidi ya moja na watu tofauti na mwandishi.
 
Stori za mapango ya amboni kwamba ukipotea haurudi
Pia kuna nyoka ana madini kwenye mlima fulani
Viko vingi sna
 
maisha ya watanzania tu ni vivutio vya utalii,mshahara laki 2 mtot anasoma internatinal school
 
Binafsi nilijaribu kufanya research ili niandike kitabu cha vivutio vya kitalii ambavyo havijawa promoted niliishia kusikia kuna
1.msitu unao ongea same
2.ukirusha jiwe kwenye ziwa chala(kilimanjaro) halitakaa lirudi chini
3.kuna sehemu iringa pakuvuka ukijaribu kuvuka panapanuka na unazama
4.kaburi ambalo umeme haupiti iringa
kama unajua vingine na maajabu mengine ndani ya nchi yetu pendwa endela kuvitupia..
Namba moja nimewahu sikia, wanasema ni msitu wa shengena.
 
Kuna story pia kuhusu bwawa la nyumba ya mungu kuwa kuna joka kubwa ndo latoa yale maji.
 
Kuwepo kwa Kura ya "Siriwazi" kwa mara ya kwanza Duniani ni kivutio pia
 
Kuna mtu ana jipu kubwa sana mwilini mwake lakini la kwake hafanyi mpango wa kulitumbua anatumbua madogo ya wenzake.
 
Back
Top Bottom