NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Itafeli kama BRN, KILIMO KWANZA NS NHIF!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kaya ya watu 2,3,4,5 nai watalingana uchangiaji n watu 6?Hivi karibuni, Rais Samia Suluhu alisema serikali itapeleka mswaada wa Bima ya Afya bungeni ili uweze kujadiliwa. Wakati mchakato huo unaendelea Serikali kupitia Wizara ya Afya imependekeza viwango vya kulipia kwenye Bima.
Prof. Makubi amesema uchangiaji unaopendekezwa ni Sh. 340,000 kwa kaya ya watu 6 na Sh. 84,000 kwa mtu mmoja asiye na familia kwa mwaka.Kiwango hiki ukilinganisha na gharama za matibabu ni ndogo na serikali bado itafidia gharama nyingine.
"Sheria hii ya Bima ya Afya kwa wote inaenda kuwakomboa wananchi, inaenda kuhakikisha kila mwananchi, Mtanzania anakuwa na Bima ya afya, kwa sasa hivi takribani 15% tu ya wananchi wanabima za afya mbalimbali, inawaacha 85% ya Watanzania kutokuwa na uhakika wa kutibiwa".
Prof. Makubi amebainisha kuwa kwa wananchi watakaotambuliwa kutokuwa na uwezo wataendelea kupatiwa huduma kwa utaratibu utakaowekwa na Serikali kwa kila mtu kuwa na kadi yake ya Bima ya Afya.
NashangaaRaia wanaoshindwa kununua chumvi wataweza kulipa laki 3 unusu kwa mkupuo ?
Swala la bima ni sawa likiwekwa lazima ila sasa hawa jamaa walishakosea hesabu tokea zamani.Inasikitisha sana viongozi wanaposhindwa kujua hali za wananchi wao. Tunayo maelfu ya kaya zisizoweza kumudu milo miwili kwa siku, unawaambia walipe hiyo pesa wataitoa wapi?
Na kwanini swala la bima ya afya liwe lazima?
Wanasiasa wetu wakiondoka duniani wanachokutana nacho kitakuwa kitisho kikubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaenda hospitalini, unapimwa malaria,unagundulika unayo dawa hakuna "Nenda duka la madawa, dawa zimeisha bado serikali haijaleta" .......MWEWE huyooo anaruka......
njoo na alternative.Raia wanaoshindwa kununua chumvi wataweza kulipa laki 3 unusu kwa mkupuo ?
Bima kwa wote ni siasa na ni ngumu sana kufanikiwa, kama kutoa tu vitambulisho vya nida serekali imeshindwa unategemea nin ni siasa tu na si kingineHata mimi nawaza hivyo, kama tu ya watoto imewatoa jasho hii ndio itakuwa balaa kabisa.
Ni lazima italemewa halafu waanze zile style ya kuna shida ya network
Wanasikiliza sasa ?njoo na alternative.
Laki 3 na arobaini? Mamilion ya familia hawataweKiwango kidogo sana, itageuka kuwa mzigo kwa serikali labda afya za raia ziimarike.
Unisikieeeee, unapozuru wengiiiiiine.......Usinipite mwokozi
Imeshafail kabla haijaanzaLaki 3 na arobaini? Mamilion ya familia hawatawe
eza. Ummy hili aliangalie kwa jicho la Pili.
Swala fikirishiRaia wanaoshindwa kununua chumvi wataweza kulipa laki 3 unusu kwa mkupuo ?
Ni ngumu kutekeleza free health care kwasababu matibabu ni gharama. Ila angalau kwa bima ya 84,000 kwa mwaka itasaidia kupungaza mzigo wa gharama kwa raiaInasikitisha sana viongozi wanaposhindwa kujua hali za wananchi wao. Tunayo maelfu ya kaya zisizoweza kumudu milo miwili kwa siku, unawaambia walipe hiyo pesa wataitoa wapi?
Na kwanini swala la bima ya afya liwe lazima?
Wanasiasa wetu wakiondoka duniani wanachokutana nacho kitakuwa kitisho kikubwa.
Kulipa kwa mwezi hakuna aliyezuiliwa. Issue ni kuwa kuna watu hata ungeweka utaratibu gani hawana uwezo wa kulipa.Sasa hili watu wa kipato cha chini wamudu wangeweka hiwe inalipwa kwa awamu au kwa mwezi
Hakuna ugumu. Tatizo ni unaweka vitu gani kama vipaumbele vyako.Ni ngumu kutekeleza free health care kwasababu matibabu ni gharama. Ila angalau kwa bima ya 84,000 kwa mwaka itasaidia kupungaza mzigo wa gharama kwa raia
Unataka nani akutibia hata kama ni familiar hainakipatoInasikitisha sana viongozi wanaposhindwa kujua hali za wananchi wao. Tunayo maelfu ya kaya zisizoweza kumudu milo miwili kwa siku, unawaambia walipe hiyo pesa wataitoa wapi?
Na kwanini swala la bima ya afya liwe lazima?
Wanasiasa wetu wakiondoka duniani wanachokutana nacho kitakuwa kitisho kikubwa.
Sijakupata, jaribu kuandika vizuri ueleweke.Unataka nani akutibia hata kama ni familiar hainakipato
Matibabu duniania kote ni gharam na ukifanya bure ndo utanyanyapaliwa mpaka ukome. Lazima utoe pesa ndo utibiwe .sasa kama huna hela nani unategemea akutibuSijakupata, jaribu kuandika vizuri ueleweke.
Kuna pahala nimeandika kuwa sio gharama?Matibabu duniania kote ni gharam na ukifanya bure ndo utanyanyapaliwa mpaka ukome. Lazima utoe pesa ndo utibiwe .sasa kama huna hela nani unategemea akutibu