Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Yaani hii inaonesha Bado hatujajua level ya umaskini iliyopo vijijiniRaia wanaoshindwa kununua chumvi wataweza kulipa laki 3 unusu kwa mkupuo?
Mungu atusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hii inaonesha Bado hatujajua level ya umaskini iliyopo vijijiniRaia wanaoshindwa kununua chumvi wataweza kulipa laki 3 unusu kwa mkupuo?
Hivi mmesahau ile bima ya afya ya CHF ambayo ilikuwa unalipa 35,000/= kwa kaya ya watu 6? Tatizo lake ni kwamba mpaka uende kituo cha afya au hospital ya wilaya na huduma nyingi hupati hadi ulipieKwahiyo wangefanya hiwe elfu ishirini au
Ko unashauri nin kifanyike? Hapo inabidi labda uje na mada ya kuwakwamua hao watu ila sio kupiga kelele kusema ni gharama kubwa wakati ukiangalia kwa undani utaona hizo gharama ni za chini mno tena sanaaKulipa kwa mwezi hakuna aliyezuiliwa. Issue ni kuwa kuna watu hata ungeweka utaratibu gani hawana uwezo wa kulipa.
Nyie ndio wale wa kuzaliwa na vijiko vya dhahabuUnataka nani akutibia hata kama ni familiar hainakipato
Sometimes unabaki kushangaa akili za watu kama wew anKuna raia ameomba hayo mambo ya Bima au wenyewe serikali imetaka
Nafikiri ni sahihi lakin serikali ijiandae kuxidiwa .vilevile kwa garama hiyo people wata affordHivi karibuni, Rais Samia Suluhu alisema serikali itapeleka mswaada wa Bima ya Afya bungeni ili uweze kujadiliwa. Wakati mchakato huo unaendelea Serikali kupitia Wizara ya Afya imependekeza viwango vya kulipia kwenye Bima.
Prof. Makubi amesema uchangiaji unaopendekezwa ni Sh. 340,000 kwa kaya ya watu 6 na Sh. 84,000 kwa mtu mmoja asiye na familia kwa mwaka.Kiwango hiki ukilinganisha na gharama za matibabu ni ndogo na serikali bado itafidia gharama nyingine.
"Sheria hii ya Bima ya Afya kwa wote inaenda kuwakomboa wananchi, inaenda kuhakikisha kila mwananchi, Mtanzania anakuwa na Bima ya afya, kwa sasa hivi takribani 15% tu ya wananchi wanabima za afya mbalimbali, inawaacha 85% ya Watanzania kutokuwa na uhakika wa kutibiwa".
Prof. Makubi amebainisha kuwa kwa wananchi watakaotambuliwa kutokuwa na uwezo wataendelea kupatiwa huduma kwa utaratibu utakaowekwa na Serikali kwa kila mtu kuwa na kadi yake ya Bima ya Afya.
Tuuze ma V8 yoooteee nchi nzima na utolewe mwongozo wa kupiga marufuku matumizi ya hayo magari serikalini. Badala yake turudi kwenye RAV4, TOYOTA Hilux double cabin, Toyota Corolla & carina etc kulingana na ofisi husika na mazingira ya kazi.Malipo ya wabunge yapunguzwe by 30 to 40 % na baadhi ya vikao vifanyike kwa mtandao wakiwa majimboni mwa kwani wote walipewa tablets. Fedha zootee watakazo pata hapa zipelekwe kwenye hii bima ya afya kwa kila mtu. Hata hivyo kuchangia ni lazima kwa kila Mtanzania, ila viwango viangaliwe na kupunguzwa,huku serikali
Tuuze ma V8 yoooteee nchi nzima na utolewe mwongozo wa kupiga marufuku matumizi ya hayo magari serikalini. Badala yake turudi kwenye RAV4, TOYOTA Hilux double cabin, Toyota Corolla & carina etc kulingana na ofisi husika na mazingira ya kazi.Malipo ya wabunge yapunguzwe by 30 to 40 % na baadhi ya vikao vifanyike kwa mtandao wakiwa majimboni mwa kwani wote walipewa tablets. Fedha zootee watakazo pata hapa zipelekwe kwenye hii bima ya afya kwa kila mtu. Hata hivyo kuchangia ni lazima kwa kila Mtanzania, ila viwango viangaliwe na kupunguzwa,huku serikali ikitoa ruzuku kwenye huo mfuko.
Hivi unajua gharama za kuingiza madawa nchini na kuyasambaza kwenye mahospital na vituo vya afya?. Na una takwimu ya viwanda vingapi vya kutengeneza madawa ya binadamu nchini mwetu?. Sahau hilo na hakuna kitu kama hivyo istoshe kwa gharama hizo kuhusu bima serikali imejitahidi, swali ni kwamba utekelezaji na kumudu itawezekana??. Wewe kuhudumia wananchi si mchezo.Serekali irudishe ada kwa shule za secondary na itoe huduma za afya bure Ni Bora Mara Mia kuliko kijitibu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tukubar tukatae huwezi tumia bima mara zote ukiumwa maana saa nyingine umesafir umeacha bima unajikuta unaingia dispensary au duka la madawa kwa cash.Mfano majuzi nilikuwa wilaya ya Uvinza, Kigoma huko, yaani mazingira yenyewe niliyoyaona huduma ya Bima ya afya ambapo unapata huduma zote kama Benjamin Mkapa Hospital ni mtihani mkubwa
PointSerekali irudishe ada kwa shule za secondary na itoe huduma za afya bure Ni Bora Mara Mia kuliko kijitibu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ujinga Mtu sisi tunakamuliwa tozo kibao then tutalipa Kodi TRAHivi unajua gharama za kuingiza madawa nchini na kuyasambaza kwenye mahospital na vituo vya afya?. Na una takwimu ya viwanda vingapi vya kutengeneza madawa ya binadamu nchini mwetu?. Sahau hilo na hakuna kitu kama hivyo istoshe kwa gharama hizo kuhusu bima serikali imejitahidi, swali ni kwamba utekelezaji na kumudu itawezekana??. Wewe kuhudumia wananchi si mchezo.