Viwango vilivyopendekezwa na Serikali, Bima ya Afya kwa Wote

Kwa hiyo kaya ya watu 2,3,4,5 nai watalingana uchangiaji n watu 6?

Hivi ni kweki hicho kiwango watu wote wanaweza kukilipa?

Hivi huko serikalini kuna watu au maroboti yanayoweka hivi viwango?
 
Swala la bima ni sawa likiwekwa lazima ila sasa hawa jamaa walishakosea hesabu tokea zamani.
 
Unaenda hospitalini, unapimwa malaria,unagundulika unayo dawa hakuna "Nenda duka la madawa, dawa zimeisha bado serikali haijaleta" .......MWEWE huyooo anaruka......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mimi nawaza hivyo, kama tu ya watoto imewatoa jasho hii ndio itakuwa balaa kabisa.
Ni lazima italemewa halafu waanze zile style ya kuna shida ya network
Bima kwa wote ni siasa na ni ngumu sana kufanikiwa, kama kutoa tu vitambulisho vya nida serekali imeshindwa unategemea nin ni siasa tu na si kingine
 
Ni ngumu kutekeleza free health care kwasababu matibabu ni gharama. Ila angalau kwa bima ya 84,000 kwa mwaka itasaidia kupungaza mzigo wa gharama kwa raia
 
Sasa hili watu wa kipato cha chini wamudu wangeweka hiwe inalipwa kwa awamu au kwa mwezi
 
Ni ngumu kutekeleza free health care kwasababu matibabu ni gharama. Ila angalau kwa bima ya 84,000 kwa mwaka itasaidia kupungaza mzigo wa gharama kwa raia
Hakuna ugumu. Tatizo ni unaweka vitu gani kama vipaumbele vyako.

Huwezi kutanguliza ma V8 na kulipana posho ukawa na bakaa ya kuhudumia mambo mengine muhimu.

Once the cake is eaten, it's gone.
 
Unataka nani akutibia hata kama ni familiar hainakipato
 
Sijakupata, jaribu kuandika vizuri ueleweke.
Matibabu duniania kote ni gharam na ukifanya bure ndo utanyanyapaliwa mpaka ukome. Lazima utoe pesa ndo utibiwe .sasa kama huna hela nani unategemea akutibu
 
Matibabu duniania kote ni gharam na ukifanya bure ndo utanyanyapaliwa mpaka ukome. Lazima utoe pesa ndo utibiwe .sasa kama huna hela nani unategemea akutibu
Kuna pahala nimeandika kuwa sio gharama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…