Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Hao F1 ndio walimu wa hesabu au?
F1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.

Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.

Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.

Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.
 
F1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.

Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.

Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.

Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.
Duh kwahio ili kufika F1 lazma upige kazi 16 years 😅 kama ulianza kazi na miaka 30 basi utafikia hapo ukiwa 46?
 
F1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.

Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.

Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.

Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.
Rekebisha hapo kwenye 940,000 hiyo ni E siyo F mkuu
 
Waache tu wanashonaga Hadi sare kupokea mwenge kwa huohuo mshahara.

ila mi nawakubali wanaishi kwa akili nyingi sana hapo utakuta aliekaa kazin miaka 5 tu tayari ameshajenga na anamishemishe zingine (kwa mikoani lakin)
ila kwa dar kwa mshahara huo maendeleo yako yatabaki ni kumiliki gari tu
Huo mshahara unaweza kufanya maendeleo ukiwa mikoani.
 
Duh kwahio ili kufika F1 lazma upige kazi 16 years [emoji28] kama ulianza kazi na miaka 30 basi utafikia hapo ukiwa 46?
Mkuu mpaka upate hiyo bahati,hakuna alietuchelewesha kama mwenda zake.Mfano mm mpaka sasa nilitakiwa niwe F lakini ndoo nipo D sasa fikiria mdaa niliokaa kazini na salary ya D uone tunavyo pambana na maisha magumu kweli kweli.Hujengi na huku unasomesha ndugu weee acha tu.
 
Pesa huwa haitoshi hata wakapewa bilion bila akili sawa na bure
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Hujatoa kodi ya nyumba na usafiri wa kila siku kwenda kazini.
Hapo Wazazi kijijini bado hawajakuambia shida zao, mara michango ya harusi,misiba,mavazi, dharura,n.k.Bado hujadaiwa Scheme of work, Lesson plan,hujaambiwa tunga mitihani,mara usahihishe na kupanga matokeo.Muda wa kufanya mishe zako unabaki kiduchu sana,huku mwanasiasa anakukoromea kuwa hakikisha mnafaulisha hivyo fundisheni hadi muda wa ziada.
 
Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved.


  • TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-​
  • TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-​
  • TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/-​
  • TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-​
B1 = Basic 419,000
  • Cwt = 8,390.​
  • Pension = 20,950.​
  • Income = 46,090.​
  • Insur = 12,570​
  • Take home = 331,000​

C1 = Basic 530,000
  • Cwt = 10,600.​
  • Pension = 26,500.​
  • Income = 58,300.​
  • Insurance = 15,900​
  • Take home = 418,700​

D1= Basic 716,000
  • Cwt = 14,320.​
  • Pension = 35,800.​
  • Income = 78,760.​
  • Insurance = 21,400​
  • Take home = 565,640​

E1 = Basic 940,000
  • Cwt = 18,800.​
  • Pension = 47,000.​
  • Income = 103,400.​
  • Insurance = 28,200​
  • Take home = 742,600​

F1 = Basic 1,235,000
  • Cwt = 24,700.​
  • Pension = 61,750.​
  • Income = 135,850.​
  • Insurance = 37,050​
  • Take home = 975,650.

Kazi ni kwako ndugu mwalimu.
Naomba unielimishe mkuu. TGTS I ndio daraja lipi hilo? Just curious
 
Hapa natofautiana na wewe mkuu. Legal Officer anayeanza kazi kwa local government anaanza na TGS E. Usipotoshe umma.
Pia kwa kawaida watumishi wenye shahada ya kwanza ukiachana na wale wa kwenye mashirika ya umma isipokuwa kwa baadhi ya kada kama afya huanza na daraja TGS D.
Hata kama ni hivyo:

TGS E ni Tsh 751,000.

Hapo umesoma sheria miaka 4 na mwaka 1 tena school of law.

Mwalimu ( Arts ) kasoma miguu juu miaka 3 tu, anakunja Tsh 716,000 Gross.

Na Mwalimu ( sayansi ) anaanza na TGTS D3 Ambayo 750,000 sawa tu na hiyo TGS E.

Narudia walimu hawana mishahara midogo
 
Back
Top Bottom