tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Hebu tubandikie ya kada hizi please!Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama tu mbweha.