Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama tu mbweha.
Hebu tubandikie ya kada hizi please!
 
Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved.


  • TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-​
  • TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-​
  • TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/-​
  • TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-​
B1 = Basic 419,000
  • Cwt = 8,390.​
  • Pension = 20,950.​
  • Income = 46,090.​
  • Insur = 12,570​
  • Take home = 331,000​

C1 = Basic 530,000
  • Cwt = 10,600.​
  • Pension = 26,500.​
  • Income = 58,300.​
  • Insurance = 15,900​
  • Take home = 418,700​

D1= Basic 716,000
  • Cwt = 14,320.​
  • Pension = 35,800.​
  • Income = 78,760.​
  • Insurance = 21,400​
  • Take home = 565,640​

E1 = Basic 940,000
  • Cwt = 18,800.​
  • Pension = 47,000.​
  • Income = 103,400.​
  • Insurance = 28,200​
  • Take home = 742,600​

F1 = Basic 1,235,000
  • Cwt = 24,700.​
  • Pension = 61,750.​
  • Income = 135,850.​
  • Insurance = 37,050​
  • Take home = 975,650.

Kazi ni kwako ndugu mwalimu.
Tatizo watz wengi ni mbumbumbu hamjui kitu huo ni mshahara mkubwa sana na ndio viwango vya kada mbali mbali zinazo ajiriwa na serikali!!!
Kumbuka B ni mwalimu wa certificate
C1 ni mwalimu wa diploma anaeanza kazi
D ni mwalimu wa degree anaeanza kazi
Kumbuka kila mwaka kuna increments ( magu) alizizuia ila ni sheria pia baada ya kila miaka 4 wanapanda daraja!!!
Mfano mwalimu wa diploma aliyeanza kaz 2005 kwa sasa yupo tgts G ambayo ni 1600000/ million moja na laki sita hiyo ni gross !!! Tena angeenza vizuri angekuwa said ya G!!
Mimi sio mwalimu nikikuwa mwalimu sasa nipo idara ya mipango !! Nasema hiyo mishahara sio midogo kama watu mnavyipotosha watu!!!
Hebu weka mshahara wa
Msom wa degree was
Sociology
Mchumi
Mifugo
Human resources
Accounts
Sheria wslioajiriwa na serikali ipoje!!!
Acheni kupotosha watu wewe weka mshahara wako hapo tuone!!!mnatisha watu ili muonekane nyie mmetoboa maisha kumbe mavi matupu,!!
Huo ni mshahara mzuri na walimu wanatoboa maisha humo humo kikubwa serikali iongeze madaraja on time!!!
 
No
Tatizo watz wengi ni mbumbumbu hamjui kitu huo ni mshahara mkubwa sana na ndio viwango vya kada mbali mbali zinazo ajiriwa na serikali!!!
Kumbuka B ni mwalimu wa certificate
C1 ni mwalimu wa diploma anaeanza kazi
D ni mwalimu wa degree anaeanza kazi
Kumbuka kila mwaka kuna increments ( magu) alizizuia ila ni sheria pia baada ya kila miaka 4 wanapanda daraja!!!
Mfano mwalimu wa diploma aliyeanza kaz 2005 kwa sasa yupo tgts G ambayo ni 1600000/ million moja na laki sita hiyo ni gross !!! Tena angeenza vizuri angekuwa said ya G!!
Mimi sio mwalimu nikikuwa mwalimu sasa nipo idara ya mipango !! Nasema hiyo mishahara sio midogo kama watu mnavyipotosha watu!!!
Hebu weka mshahara wa
Msom wa degree was
Sociology
Mchumi
Mifugo
Human resources
Accounts
Sheria wslioajiriwa na serikali ipoje!!!
Acheni kupotosha watu wewe weka mshahara wako hapo tuone!!!mnatisha watu ili muonekane nyie mmetoboa maisha kumbe mavi matupu,!!
Huo ni mshahara mzuri na walimu wanatoboa maisha humo humo kikubwa serikali iongeze madaraja on time!!!
Watu wengi wanaishi kwa hisia tu, na kujiliza liza bila sababu za msingi.
 
Mkuu una akili mingi sana duniani hakuna mshahara unaotosha ila unatakiwa uishi kwa malengo utashashangaa anaelipwa 500k lakin anaishi vizuri kuliko anaelipwa 900k , hii ni sababu vijana tukipata ajira huwa tunawaza starehe wengine walikua hawana tabia ya kunywa pombe ndo anaenda kujifunzia huko starehe zinakua nyingi kuliko mikakati ya kujijenga kiuchumi
Unakuta wenzako wanasubiri mishahara wewe wala hauwazi kabisa!!kwa siku unaingiza faida ya 80000/= hadi 100000/= tena unawashangaa wanavohaha!!!
 
Gross ya hao wengine wote, Degree wanaanza na Tsh 710,000 wakati Mwalimu anaanza na Tsh 716,000.

Tena sasa hivi, Mwalimu wa Sayansi anaanza na Tsh 750,000.
Siyo kweli. Kati ya hao Kuna wanaoanza na Tsh.961000/=
 
Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved

  • TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-​
  • TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-​
  • TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/-​
  • TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-​
B1 = Basic 419,000
  • Cwt = 8,390.​
  • Pension = 20,950.​
  • Income = 46,090.​
  • Insur = 12,570​
  • Take home = 331,000​
C1 = Basic 530,000
  • Cwt = 10,600.​
  • Pension = 26,500.​
  • Income = 58,300.​
  • Insurance = 15,900​
  • Take home = 418,700​
D1= Basic 716,000
  • Cwt = 14,320.​
  • Pension = 35,800.​
  • Income = 78,760.​
  • Insurance = 21,400​
  • Take home = 565,640​
E1 = Basic 940,000
  • Cwt = 18,800.​
  • Pension = 47,000.​
  • Income = 103,400.​
  • Insurance = 28,200​
  • Take home = 742,600​
F1 = Basic 1,235,000
  • Cwt = 24,700.​
  • Pension = 61,750.​
  • Income = 135,850.​
  • Insurance = 37,050​
  • Take home = 975,650.
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Insurance mnayokatwa ni ya kitu gani?
 
Hiyo 751800 ni take home na si basic,basic ni 940000.Shida wapi?
Shida ipo. Ulitakiwa useme ni take home na si basic.Msingi wa hoja ya mtoa mada ni Basic salary na si take home. Ndiyo maana hata pale juu ameandika viwango vya basic.Ukishasema mshahara wa TGTS Flani ni so and so automatically hapo unazungumzia basic salary.
 
Kada ya ualimu mateso ni kazi pamoja na kutokuwepo kwa posho.
 
Back
Top Bottom