Mtimkavuorg
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 655
- 527
Vipi salary tayari jamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha hapo E1 Ni 751000Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved.
B1 = Basic 419,000
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/- TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/- TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/- TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-
Cwt = 8,390. Pension = 20,950. Income = 46,090. Insur = 12,570 Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600. Pension = 26,500. Income = 58,300. Insurance = 15,900 Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320. Pension = 35,800. Income = 78,760. Insurance = 21,400 Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800. Pension = 47,000. Income = 103,400. Insurance = 28,200 Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700. Pension = 61,750. Income = 135,850. Insurance = 37,050 Take home = 975,650.
Kazi ni kwako ndugu mwalimu.
BadoVipi salary tayari jamani?
Duh kwahio ili kufika F1 lazma upige kazi 16 years 😅 kama ulianza kazi na miaka 30 basi utafikia hapo ukiwa 46?
Si kweliRekebisha hapo E1 Ni 751000
Ukweli ni upi?Si kweli
Hakuna kitu kama hicho. Hakuna Mwalimu anaeshona sare ya mwenge. Sema tu wewe una chuki dhidi ya Walimu. Hebu tutajie mwalimu mmoja tu unaemfahamu ambaye ulimkuta siku moja anashona sare ya mwenge mkuuWaache tu wanashonaga Hadi sare kupokea mwenge kwa huohuo mshahara.
ila mi nawakubali wanaishi kwa akili nyingi sana hapo utakuta aliekaa kazin miaka 5 tu tayari ameshajenga na anamishemishe zingine (kwa mikoani lakin)
ila kwa dar kwa mshahara huo maendeleo yako yatabaki ni kumiliki gari tu
Huo mshahara unaweza kufanya maendeleo ukiwa mikoani.
E1 haiko kwenye kiwango hicho ulichopotosha hapo juu Mkuu.Ukweli ni upi?
Tupe ukweli wa E1E1 haiko kwenye kiwango hicho ulichopotosha hapo juu Mkuu.
Hapa kuna watu wanachanganya TGTS na TGS.E1 haiko kwenye kiwango hicho ulichopotosha hapo juu Mkuu.
BadoVipi salary tayari jamani?
Kwahiyo kama hautoshi unatakiwa uuache ili upate unaotosha ??Vipi Kama una kibanda Cha urithi na pikipiki ndogo,,mshaara huo unatosha???jibu bado hapana
Ndio maana nikamrekebisha mtoa uzi kuwa hapo kwenye TGTS E1 Si 742000 ni 751800.Then kuna mtu akabisha.Hapa kuna watu wanachanganya TGTS na TGS.
Walimu wana Scale zao ambazo ni TGTS
Ndiyo maana na mimi nikakwambia umekosea Chief. Hiyo ni D siyo E.Kumbuka TGTS E inaanzia na mia tisa na kidogoNdio maana nikamrekebisha mtoa uzi kuwa hapo kwenye TGTS E1 Si 742000 ni 751800.Then kuna mtu akabisha.
Sio gari tuuu wana mpaka machine za kusaga magari magest nk!!! Amini nakwambia !!! Jamaa yangu ni teacher kasjiriwa 2016 ana machine mbili za kusaga! Coaster moja!!! Ana mpango wa kujenga gest namanga arusha yeye yupo dar!!!! Huwa ananichosha sanaHalafu unategemea utaendesha gari siku 1?
Jidanganye mkuuTGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
Ndugu mwalim kumbe yale mashati ya vitenge mnayovaa sare mnapoenda kwenye mkesha wa mwenge huwa mnapewa mgao na serekali?Hakuna kitu kama hicho. Hakuna Mwalimu anaeshona sare ya mwenge. Sema tu wewe una chuki dhidi ya Walimu. Hebu tutajie mwalimu mmoja tu unaemfahamu ambaye ulimkuta siku moja anashona sare ya mwenge mkuu
Hiyo 751800 ni take home na si basic,basic ni 940000.Shida wapi?Ndiyo maana na mimi nikakwambia umekosea Chief. Hiyo ni D siyo E.Kumbuka TGTS E inaanzia na mia tisa na kidogo
Mkuu una akili mingi sana duniani hakuna mshahara unaotosha ila unatakiwa uishi kwa malengo utashashangaa anaelipwa 500k lakin anaishi vizuri kuliko anaelipwa 900k , hii ni sababu vijana tukipata ajira huwa tunawaza starehe wengine walikua hawana tabia ya kunywa pombe ndo anaenda kujifunzia huko starehe zinakua nyingi kuliko mikakati ya kujijenga kiuchumiTGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
Hayo ni makato yako binafsi, si kila aliye daraja hili anakatwa hayo makato.Kwenye makato kuanzia D1 kwa wanaonza kazi wanakutana na makato ya HESLB 15% ambapo kwa D1 anakatwa 107,000 na E1 anakatwa 141,000