Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 209
Unaonekana una hoja ila umeandika kwa dharau apo ndipo umeharibuHapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.