Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Unaonekana una hoja ila umeandika kwa dharau apo ndipo umeharibu
 
Wadau naomba ufafanuzi kidogo, kuna mwalimu yuko daraja F Ila income tax anakatwa 172000/= na hapo yaonesha anatakiwa akatwe 135000/= je huyu mtu alalamike wapi ili kupata stahiki yake? [emoji120]
 
Unaonekana una hoja ila umeandika kwa dharau apo ndipo umeharibu
Sijaandika kwa dharau, ila Walimu wanajiliza liza bila sababu mpaka wanakera.

Kuna kada wakikuonesha mishahara yao mpaka unawahurumia, lakino hawalalamiki kama walimu.

Kuna watumishi wa mahakama tena wana Diploma kabisa lakini wanalipwa TGS B.
 
Iy
Hata kama ni hivyo:

TGS E ni Tsh 751,000.

Hapo umesoma sheria miaka 4 na mwaka 1 tena school of law.

Mwalimu ( Arts ) kasoma miguu juu miaka 3 tu, anakunja Tsh 716,000 Gross.

Na Mwalimu ( sayansi ) anaanza na TGTS D3 Ambayo 750,000 sawa tu na hiyo TGS E.

Narudia walimu hawana mishahara midogo
Iyo ya walimu wa sayansi imeanza lini tena wakuu ??
 
Sijaandika kwa dharau, ila Walimu wanajiliza liza bila sababu mpaka wanakera.

Kuna kada wakikuonesha mishahara yao mpaka unawahurumia, lakino hawalalamiki kama walimu.

Kuna watumishi wa mahakama tena wana Diploma kabisa lakini wanalipwa TGS B.
Sawa mkuu ,tuombe mamlaka husika zisikie kilio cha wafanyakaz hususan kwenye mishahara
 
Kwa wanao ajiriwa kwa sasa au watagusa mpaka walio ajiriwa zaman ??
Nadhani ndio scale zilizopo sasa hivi, na walipo kazini wanatakiwa kurekebishiwa.

Maana yake kwa Doploma wa Sayansi, ukipanda Daraja unatakiwa kwenda kwenye TGTS D3 na siyo TGTS D kama ilivyo kwa Arts.

Diploma, Badala ya TGTS C1( Tsh 530,000 ) kwa Sayansi unapaswa kulipwa TGTS C3 ( Tsh 545,000 )
 
TGTS E1=940000/= Basic Nimepanda juzi tu kwa Mama samia!!!
Msiseme tuna maisha magumu!ugumu wa maisha unaanzia kichwani mwako mwenyewe!!sema jpm ndio alitutesa sana kwa miaka hii sita!tunamshukuru Mungu:-
Mwaka wangu wa saba huu kwenye job:-Nyumba tatu,frem nne za biashara,glossary,ukumbi wa mikutano na Kuonyesha mpira live!Mashamba ya miti eka tano huko njombe!!!Duka la nyumbani hapa anauza mama watoto!!Baba wa watoto mbili Tatu loading... Please wait!!na mwakani mama ataongeza mishahara aliahidi mei mosi mwaka huu!!AKILI !AKILI!AKILI!!!WATUMISHI WENGI AKILI HAMUNA KABISA KAZI POMBE NA MIKASI TU!NAWAONA HAPA KIJIWENI FULL VITUKO!!!
Mama ametufuta machozi yule mwamba(jpm)alitufanya watumishi tukose tumaini.
 
Labda kada zingine kuna raha.Mtu ni mwalimu anafunga shule mara 4 kwa mwaka,ana likizo na anatoka kazini saa 8.30 mchana na hana Kazi ya pressure,hiyo ni Kazi nzuri Sana.

Nadhani sijaandika tuu mazingira ya kazi
 
Back
Top Bottom