Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti hutakiwi kulalamika popote. Ila nadhani kwa sasa hivi haiwezekani hii
Hata wakati ule masharti ya 1/3 yalikuwepo kama kawaida.

Lakini mie nilighushi pay slip ya kukopea bank B, halafu ndiyo nikawaachia wanyang'anyane mpaka watakaporidhika kuwa wamemaliza kunifyeka.

Tena wakati ule kukopeshwa ilikuwa si zaidi ya miaka3, ni muda mfupi tu adha ikaisha.

Mi sikujali kwa sababu nilikuwa nina njia zingine za kuniingizia kipato cha pesa ya kula.

Nikawa nimejifunga mabomu kwa faida, nyumba ninayo na mshahara ninao na maisha yakaendelea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
acha uongo
 
TJS ni scale za serikali ??

Mimi ninachojua TJS ni scale za Mahakama na wengi ni njaa tu.
Naona unahama tena mkuu. Kuna kada umetaja hapo juu na ukasema kwa mwalimu hazioni ndani. Sasa Mimi nimekueleza wapo wanaotumia TJS na wanaanza na Tsh.961000/= je hapo mwalimu amewazidi! Swala la njaa limetoka wapi mkuu wangu!
 
Naona unahama tena mkuu. Kuna kada umetaja hapo juu na ukasema kwa mwalimu hazioni ndani. Sasa Mimi nimekueleza wapo wanaotumia TJS na wanaanza na Tsh.961000/= je hapo mwalimu amewazidi! Swala la njaa limetoka wapi mkuu wangu!
Kada gani kijana. Mbona unakuwa kama taahira.

Sema ni kada ipi?
 
Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Mkuu nakubaliana nawewe kwa asilimia 100, Mimi ni mwalimu nimejaribu kufuatilia viwango vya mishahara kwa kada tofauti katika nchi yetu, ukiangalia kwa watumishi wa umma ,mwalimu anaweza shika namba tatu kwa kuwa na kiwango kikubwa Cha mshahara.

Tatizo letu sisi walimu tumezoea kulia lia na kutaka huruma na msaada kila sehemu
 
Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved

  • TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-​
  • TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-​
  • TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/-​
  • TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-​
B1 = Basic 419,000
  • Cwt = 8,390.​
  • Pension = 20,950.​
  • Income = 46,090.​
  • Insur = 12,570​
  • Take home = 331,000​
C1 = Basic 530,000
  • Cwt = 10,600.​
  • Pension = 26,500.​
  • Income = 58,300.​
  • Insurance = 15,900​
  • Take home = 418,700​
D1= Basic 716,000
  • Cwt = 14,320.​
  • Pension = 35,800.​
  • Income = 78,760.​
  • Insurance = 21,400​
  • Take home = 565,640​
E1 = Basic 940,000
  • Cwt = 18,800.​
  • Pension = 47,000.​
  • Income = 103,400.​
  • Insurance = 28,200​
  • Take home = 742,600​
F1 = Basic 1,235,000
  • Cwt = 24,700.​
  • Pension = 61,750.​
  • Income = 135,850.​
  • Insurance = 37,050​
  • Take home = 975,650.
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Iko chini sana najiuliza wazazi wetu waliweza Vipi kutulisha na kutusomesha au kuna posho nyingine walikuwa wanapata?
 
Hiyo faida hata mwalimu akitaka kyingiza anaingiza tu.

Ni suala ka akili tu. Kuwa mtumishi haiana maana kwamba umefunhwa mikono usifanye mishe ya pembeni.
Ualimu ni kazi sana,kikipato sio poa,unavyoongea na kugeneralize mambo ya walimu sio sawa. Usigeneralize walimu wapo taNzania nzima, kunasehemu ndani vijijini ambako hata wewe huwezi ishi na hakuna fursa.
 
Sisi wa Tume ya madini tumekaa pembeni tunawazoom tu juu ya mbishano wa nani anapokea hela nyingi na nani ana unafuu...


Kila mtu ashinde mechi zake

ulipwe 700k ,ulpwe 1600k utajua ww as long as your living your life.
 
Ualimu ni kazi sana,kikipato sio poa,unavyoongea na kugeneralize mambo ya walimu sio sawa. Usigeneralize walimu wapo taNzania nzima, kunasehemu ndani vijijini ambako hata wewe huwezi ishi na hakuna fursa.
Kazi ipi ni rahisi na yenye Malipo mazuri ?
 
Halafu mtoto awe hanunui vsheti, Kila siku bakora.
Haa Atapata Tabu Sana Kipigo Chake Ni Cha Mbwa Ko~Ko
Tena Wanawahimiza Wanafunzi Kesho Uje Na Tshs 100
Ya Kununua Ubuyu Usipokuja Nayo Sasa
 
Back
Top Bottom