House4Sale Viwanja bei ya ofa vikindu kwa laki saba tu

House4Sale Viwanja bei ya ofa vikindu kwa laki saba tu

OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA

FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment (awamu) utaanza na nusu yake nyingine ndani ya miezi 3.

Viwanja vinapatikana Vikindu, Vianzi karibu na kiwanda cha Plastiki, viwanja vimepimwa, mazingira mazuri yanayovutia kwa makazi, huduma za kijamii kama maji, umeme, Shule na Zahanati viko karibu.

Ukubwa wa viwanja ni Futi 50 X 40 na unaweza kuunganisha zaidi ya viwanja viwili na kuendelea.

Usafiri wa kufika Vikindu ni Uhakika 💯. Kuna Magari ya moja kwa moja kutokea /Kwenda Kariakoo, Temeke, Kigamboni, Kivukoni, Buza, Mbagala n.k Njoo mpaka Vikindu.

Vikindu iko mbele ya Mbagala.

0762815104

Ukiwauliza Wakongwe wa Dar watakwambia majuzi Bunju, Goba, Mbezi kulikuwa ni mapori. Sasa hivi bei ya viwanja maeneo hayo hazishikiki. Chukua kiwanja Vikindu, baadae utajipongeza.

0762815104

View attachment 2019967

View attachment 2019968

View attachment 2019969
Sasa bei ni laki saba au nane?
 
Vikindu iko sehemu gani?
Near Lindi!
swali lako limenikumbusha mtu alikosa kazi kwa mzungu baada ya secretary kujibu vibaya swali aliloulizwa na mzungu kuwa mbagala iko wapi sasa badala ya secretary kumwelekeza ni njia ya kwenda Lindi yeye akajibu near Lindi mzungu akamtema jamaa kwa sababu gharama za usafiri wa kumpitia kuja ofisini zitakuwa kubwa sana.
 
1m=3.28084foot
x1? =50foot
x2? =40foot

x1=15.23m
x2=12.19m

x1X x2=185.68 square meters
NB:Ongeza ukubwa wa viwanja vyako mkuu,ni vidogo mno,sijui hata kama utaweza kupanda hata mwembe
Kwa hesabu hizo ndiyo maana bei imekuwa ndogo! Halafu vipimo vya foot huwa sivipendi kabisa. Angeweka vipimo tulivyovizoea vya mita
 
Wewe ndo utaongeza. Mtu Akifika site ataleta mrejesho mzuri. Aisee usitegemee Dar na maeneo jirani kupata kiwanja cha meter 20/20 (Sqm 400) kwa bei chini ya 1.5M kinachoelezea. Huu mradi ni dhahabu. Kumbuka Vikindu unaweza kwenda sehemu nyingi Dar kwa urahisi.

By the way tuna Viwanja Goba pia tumepima kwa squre meter. Na sqm moja ni sh 45,000
1m=3.28084foot
x1? =50foot
x2? =40foot

x1=15.23m
x2=12.19m

x1X x2=185.68 square meters
NB:Ongeza ukubwa wa viwanja vyako mkuu,ni vidogo mno,sijui hata kama utaweza kupanda hata mwembe
 
Kaka Dar na maeneo jirani unataka kiwanja cha sqm 400 kwa laki saba? Ukivipata hata kama ni heka nipigie, sisi tutanunua mara mbili yake. Uzuri eneo unaongeza kulingana na uwezo wako. Acha wenye uwezo mdogo pia wajenge. Kulipa kodi kila mwezi inachosha.
 
Back
Top Bottom