Sasa bei ni laki saba au nane?OK HII HAIJAWAHI KUTOKEA, NI OFA BABU KUBWAA
FUNGA MWAKA KWA KUMILIKI KIWANJA CHA MAKAZI KWA BEI NAFUU. Karibu kwenye mradi wetu mpya wa viwanja kwa bei ya LAKI SABA TU (700,000/=). Hii ni bei kwa wateja watakaolipia kwa Cash. Na LAKI NANE TU (800,000/=) kwa wateja watakaolipia kwa installment (awamu) utaanza na nusu yake nyingine ndani ya miezi 3.
Viwanja vinapatikana Vikindu, Vianzi karibu na kiwanda cha Plastiki, viwanja vimepimwa, mazingira mazuri yanayovutia kwa makazi, huduma za kijamii kama maji, umeme, Shule na Zahanati viko karibu.
Ukubwa wa viwanja ni Futi 50 X 40 na unaweza kuunganisha zaidi ya viwanja viwili na kuendelea.
Usafiri wa kufika Vikindu ni Uhakika 💯. Kuna Magari ya moja kwa moja kutokea /Kwenda Kariakoo, Temeke, Kigamboni, Kivukoni, Buza, Mbagala n.k Njoo mpaka Vikindu.
Vikindu iko mbele ya Mbagala.
0762815104
Ukiwauliza Wakongwe wa Dar watakwambia majuzi Bunju, Goba, Mbezi kulikuwa ni mapori. Sasa hivi bei ya viwanja maeneo hayo hazishikiki. Chukua kiwanja Vikindu, baadae utajipongeza.
0762815104
View attachment 2019967
View attachment 2019968
View attachment 2019969
1m=3.28084foot
x1? =50foot
x2? =40foot
x1=15.23m
x2=12.19m
x1X x2=185.68 square meters
NB:Ongeza ukubwa wa viwanja vyako mkuu,ni vidogo mno,sijui hata kama utaweza kupanda hata mwembe
HahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNaona jamaa anauza majaruba ya mpunga...
Laki 7 cash, laki 8 installmentSasa bei ni laki saba au nane?
Near Lindi!Vikindu iko sehemu gani?
Kwa hesabu hizo ndiyo maana bei imekuwa ndogo! Halafu vipimo vya foot huwa sivipendi kabisa. Angeweka vipimo tulivyovizoea vya mita1m=3.28084foot
x1? =50foot
x2? =40foot
x1=15.23m
x2=12.19m
x1X x2=185.68 square meters
NB:Ongeza ukubwa wa viwanja vyako mkuu,ni vidogo mno,sijui hata kama utaweza kupanda hata mwembe
Wanaweka hv ili kuwahadaa wasiojua waone ni vipimo vikubwa kumbe ukiconvert unajenga chumba na sebule tuKwa hesabu hizo ndiyo maana bei imekuwa ndogo! Halafu vipimo vya foot huwa sivipendi kabisa. Angeweka vipimo tulivyovizoea vya mita
Kutoka Mbagala kwa daladala ni sh 400. Wilaya ya mkuranga.Vikindu iko sehemu gani?
3Kmmkuu jibu na hili swali
1m=3.28084foot
x1? =50foot
x2? =40foot
x1=15.23m
x2=12.19m
x1X x2=185.68 square meters
NB:Ongeza ukubwa wa viwanja vyako mkuu,ni vidogo mno,sijui hata kama utaweza kupanda hata mwembe
[emoji23][emoji23][emoji23]Je, Panafaa kwa Ufugaji wa Nguruwe?
Vikindu iko sehemu gani?
Asante sanaVikindu ipo Mkuranga
Ni wilaya ya mkuranga.. ukitoka kongowe, unaingia mwandege(kwenye kiwanda cha bakhresa) kisha ndio vikindu yenyewe, sidhani kama zinazidi kilometa 10 tok mbagala.Vikindu iko sehemu gani?