House4Sale Viwanja bei ya ofa vikindu kwa laki saba tu

1m=3.28084foot
x1? =50foot
x2? =40foot

x1=15.23m
x2=12.19m

x1X x2=185.68 square meters
NB:Ongeza ukubwa wa viwanja vyako mkuu,ni vidogo mno,sijui hata kama utaweza kupanda hata mwembe
Wajanja wanakimbia kutumia mita, akitumia futi inaonekana eneo kubwa, kumbe sivyo.
 
30ร—30 mnaizaje
 
mradi upo km ngapi kutoka stendi ya vikindu?
 
Ofa ya muda mfupi ya viwanja umerudi tena. kwa ๐‹๐€๐Š๐ˆ N๐€NE ๐ญ๐ฎ. ๐ŸŽ„

Viko ๐•๐ˆ๐Š๐ˆ๐๐ƒ๐”.
Ni mbele ya Mbagala.

Kama ulikosa awamu ya kwanza na ya pili hii Usikose. Watu wanavishambulia sanaa.

Huu mwaka usiishe huna hata kiwanja.

Viwanja kila siku vinapanda bei, leo unapopadharau kesho ni mji mkubwa na bei hazishikiki.

Sasa kuna hivi viwanja vya Vikindu, Vikindu iko mbele ya Mbagala na ni kabla ya kisemvule na usafiri upo wa moja kwa moja kutokea Kariakoo, Mbagala, Posta, kivukoni, Nk.

Viwanja ni laki nane tu vya futi 50/40. Njoo upate kulingana na urefu wa kamba yako unaweza kuchukua zaidi ya kimoja. Vimepimwa, kuna barabara za mitaa na huduma zote za kijamii zipo.

Ofa ya muda hii. Mauziano serikali ya mtaa Document safi.

Njoo ulipie kabla barabara ya mwendokasi ya Mbagala haijakamilika vikapanda bei sanaa.

Piga 0623961223.
 
Vikindu sehem gani?
Barabara ya vianzi au magodani?
 
Hiyo namba nilipiga ikapokelewa muhusika akasema nisubiri hapo vikindu lakini nimekaa muda mrefu nikapiga tena imeitaaaaaaa mpakaaaa
 
Kweli?
Hiyo namba nilipiga ikapokelewa muhusika akasema nisubiri hapo vikindu lakini nimekaa muda mrefu nikapiga tena imeitaaaaaaa mpakaaaa
Samahani sana mbona sikumbuki hii. Tupigie tena tupo team hivyo lazima atakuwepo wa kuupokea 0623961223
Hiyo namba nilipiga ikapokelewa muhusika akasema nisubiri hapo vikindu lakini nimekaa muda mrefu nikapiga tena imeitaaaaaaa mpakaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ