Plot4Sale Viwanja na Makazi Arusha

Plot4Sale Viwanja na Makazi Arusha

Una stress mno, dalali unawaza uchawi? Punguza desperations utakufa mapema
Wewe ndio utakufa mapema sana maana mchimba kaburi huanza yeye. Mchawi niwewe na maneno yako , na unahangaika na watu huwajui siuhangaike na maisha yako??
 
Nyie ndio mnaharibu miji.....Unapopima kiwanja 10× 10 huo si uchafu......? Huduma za kijamii unazipataje??? Miundp mbinu ya Barbara???

Wizara inapambana kuondoa upimaji wa 20× 20 nyie mnaongelea 10×,10
Mkuu Tedo sema wewe... anakwambia wivu!!
 
Wewe ndio utakufa mapema sana maana mchimba kaburi huanza yeye. Mchawi niwewe na maneno yako , na unahangaika na watu huwajui siuhangaike na maisha yako??
Dada ubaya wangu nini? Stress zinaua.
 
Nyie ndio mnaharibu miji.....Unapopima kiwanja 10× 10 huo si uchafu......? Huduma za kijamii unazipataje??? Miundp mbinu ya Barbara???

Wizara inapambana kuondoa upimaji wa 20× 20 nyie mnaongelea 10×,10
Sijui shida zenu nini?? Sasa ngoja niwaache na shida zenu nyie hampo serious nendeni kwenye post zingine bana acha wanaouza wauze
 
Nyie ndio mnaharibu miji.....Unapopima kiwanja 10× 10 huo si uchafu......? Huduma za kijamii unazipataje??? Miundp mbinu ya Barbara???

Wizara inapambana kuondoa upimaji wa 20× 20 nyie mnaongelea 10×,10
Sisi ndio tunapima au nyie ndio mnataka mpimiwe hamna hela
 
Back
Top Bottom