dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
- Thread starter
- #41
Kwenda zako muda wako ungekua na thamani hiyo ungekuwa dalali wewe, afu jiangalie mtoto wa kiume kupenda mitelemko utapoteza malinda bure, huoni hata aibu kusema hela ya udalali milioni 10, umerogwa wewe??? Yani shida zako umalizie kwa mtu anayenunua kiwanja kisa umewekwa mtu kati? mm madalali siwapendi kabisa hasa dalali uchwara kama wewe, ukute hauko registered, wala huna hiyo taaluma ya udalali, kwa mtu mwenye firm yake hawezi kuwa na tamaa za kimbweha kama zako.
Wewe MATAKO unajitambua Kweli?
Kuna kitu inaitwa 'Biashara Huria' unakifahamu?
Nirudie kusema ambacho huwa nawaeleza 'failures' wa Maisha kama wewe marakwamara hasa hapa JF:
-Ukiona unatumika Miguvu mingi Sana kupata 'Fwedha',
Ni kuwa Maarifa/Elimu yako katika kutafuta Pesa ni Butu, Haikusaidii.
Sasa suluhisho la tatizo lako SI kuchukia kila anaeelekea kukipigia Bao kimafanikio,
Usipoangalia utafikiria hata kuwa Mchawi.
Wivu wa Kike.