Navigator21
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 298
- 324
Pumbavu wewe kamuuzie Magufuli wako!nvestorsonly, #investors
Huge surveyed plots for sell in Dodoma town along the ring road ( Ring road soon).
6,500,000 TSH for one acre, there are more than 20 Acres, come and pick yours
+255 693 084 522 Airtel
+255 753 236 012 Vodacom
#VIWANJA,
#plotsforsale
#homeforsale
#dodoma
#Magufuli5Tena
#diamondplatnumz
#nunua
#INAUZWAView attachment 1607188
Ameshapoteza wateja hapo!Sasa tangazo la kuuza viwanja linahusikaje na Magufuli Tena!!!akili nyingine shida sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] msinifanyie hivyo wakuuAmeshapoteza wateja hapo!
Dalali umefeli [emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3] msinifanyie hivyo wakuu
Kaedit Tangazo. Wewe umelicopy tu bila kuangalia? Magufuli5Tena & Diamond ndani ya Tangazo la biashara😊[emoji3][emoji3][emoji3] msinifanyie hivyo wakuu
Mkuu naona uko informed hivi hiyo barabara inapitia karibu na chuo cha Mipango na kutokea Nane nane ama hii ni nyingine. Maana maeneo hayo karibu na Kanisa la Walokole (Mwisho wa Lami ) wameweka alama za uthamini lakini kwa sasa wamepotea kabisa. Kama ni hiyo naomba nijuzeHivi ring road hii inayojengwa ipo huku Ng'ong'ona? mimi navyojua ringroad inaunganisha Nala Hadi ihumwa nyuma Hadi chamwino nyuma inakuja tokea njia ya DSM na inajengwa ili kuzuia msongamano ndani ya barabara za Dodoma ili magar yote yanayotokea njia ya mwanza hayatapita mjini yatapita nyuma kwa nyuma Hadi kukutana na njia ya DSM mbele huko. Au ring road unayoongelea ni ipi?
Sawa boss [emoji846]Kaedit Tangazo. Wewe umelicopy tu bila kuangalia? Magufuli5Tena & Diamond ndani ya Tangazo la biashara[emoji4]
Harafu kawaambie watu huko viwanja vilipo ni wapi? Nala?
Ngoja niedit [emoji16][emoji16][emoji16]Dalali umefeli [emoji2][emoji2]
Upande huo wa huko mipango siyo yenyewe, yenyewe inapitia veyula, mtumba, kikombo, chamwino, matumbulu, udom, ng'ong'ona, nala. Yaani kifupi inazunguka mji mzima wa dodomaMkuu naona uko informed hivi hiyo barabara inapitia karibu na chuo cha Mipango na kutokea Nane nane ama hii ni nyingine. Maana maeneo hayo karibu na Kanisa la Walokole (Mwisho wa Lami ) wameweka alama za uthamini lakini kwa sasa wamepotea kabisa. Kama ni hiyo naomba nijuze
Nisamehe kaka nimetubu [emoji2][emoji2][emoji2]Pumbavu wewe kamuuzie Magufuli wako!
Toka mjini KM 14Embu weka maelezo ya kutosha basi...Hiyo ring road ndio ipo umbali gani toka mjini, ni ktk kitongoji gani? Mbona viwanja vingi vionekanavyo ni vya sqm 1400?
Hapana siyo hivyo, hivi ni vya wananchi wenyewe vya urasimishajiBila shaka ni hivi vya kampuni ya LUICO walivyonunua kwa wananchi mwanzoni
Nakaziaungesubiri uchaguzi upite mku
ungesubiri uchagui upite mkuu manake hiyo Ring Road inaweza bakia kuwa ndoto mkuu
Dah, kaka! [emoji1][emoji1][emoji1]
Shida njaa mkuu [emoji39]