Plot4Sale Viwanja vinauzwa Dodoma Mjini

Ukubwa wa kiwanja SQM 600
Kipo Miganga north block C
Bei yake Milioni 7 tu
Miganga ipo karibu kabisa na Chidachi ilipo shule ya St. Marry, kiwanja kipo sehemu iliyojengeka vizuri na huduma za kijamii kama maji na umeme vipo karibu.
Umbali kutokea kilipo kituo cha police Dodoma ni KM 6.7 tu.

Mawasiliano ya simu 0693084522


 
Hiyo Ni njia ya kwenda udom ?
 
Mawasiliano: 0693084522

Viwanja vipo umbali wa KM 12 Kutokea bungeni

Viwanja vimepimwa na vinaukubwa wa SQM 800 kila kimoja jumla vipo 17 bei milioni 3,500,000 kila kimoja

Huduma za kijamii hazipo mbali na kiwanja, mfano maji ndiyo yamepakana na eneo vinapoanzia viwanja kabisa

Viwanja vipo umbali wa mita 700 kutokea hospital ya benjamin mkapa, na viwanja 9 vimetazama barabara ya mita 40 unayoelekea Mapinduzi

Tunaposema SQM 800 tumamaanisha ni marefu mita 38 kwa mapana mita 22.5

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…