Yaa huu ndo uwekezaji vijana wadogo wanatakiwa kufanya mapema hata kwa kugongea mshiko kwa wazazi wao badala ya kuwaza tu simu za macho matatu.Vijana wa sasa wenye hela wangenunua sasa...kwenye 50s zao wanauza bei Ndefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaa huu ndo uwekezaji vijana wadogo wanatakiwa kufanya mapema hata kwa kugongea mshiko kwa wazazi wao badala ya kuwaza tu simu za macho matatu.Vijana wa sasa wenye hela wangenunua sasa...kwenye 50s zao wanauza bei Ndefu
Tunakupa nafasi ya kupaona physically lakin kabla ya kununua utadhibitisha mwenyew...so ondoa hofu kabisa..Mmewalipa wenye mashamba yao au mnapima tu na kutangaza kuuza viwanja?
Hayo maeneo kesi zake zinataka kufanana na za Bagamoyo Mapinga.
Na vijana wengi mjini daslaamu wanazipata sana hiz million 2 3 hadi tano..Yaa huu ndo uwekezaji vijana wadogo wanatakiwa kufanya mapema hata kwa kugongea mshiko kwa wazazi wao badala ya kuwaza tu simu za macho matatu.
Kabisa ni pazuri kwa uwekezaji wa muda mrefu...
Sasa ukinunua kiwanja million mbili sasa hiv...baadae patachangamka utauza hata milion 30 baadae...
Vijana tuwekeze sasa...
MhhNa vijana wengi mjini daslaamu wanazipata sana hiz million 2 3 hadi tano..
Lakin wanaishia kununua buckets kidimbwi..
Just imagine viwanja 2 million
Huu utafiti umeufanyia wapi mkuu? Na lini?Mnaojenga Kigamboni, miaka ishiri ijayo mtalia.
Kigamboni ni tambarare, ardhi ikisha jaa nyumba, maji yakashindwa kuzama ardhini, sasa dhahama ya mafuriko ndio itawakumba.
Fuateni agizo la waziri wa ardhi. Safety ya Kigamboni iko kwenye kumilikisha wakazi viwanja vya low density.
Pia kwa sasa wizara iangalie uwezekano wa kupiga marufuku nyumba za Dar kuwekewa paving blocks.
Paving blocks zinablock maji ya mvua yasizame ardhini hivyo kusababisha mafuriko ya mara kwa mara Dar.
Kama mtu anaweka paving, basi asiweke eneo linalozidi 30sq meter kwa ajili ya maegesho ya gari. Eneo linalobaki lipandwe nyasi.
Hii kwa mtu wa mipango ya baadaye maana huu umbali ni kutoka tegeta mpaka vikindu au mbezi africana to bagamoyo round about45km
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh,hukawii kukuta kibao cha unaingia Rufii
Kama ni umbali huo unanunuwa shamba siyo kiwanja.
Sisi viwanja vyetu ni mradi...na tuna database ya viwanja vyote vilivyouzwa...Kama ni umbali huo unanunuwa shamba siyo kiwanja.
Ukuwaji wa mji wa Kigamboni ulihujumiwa na Magufuli alichukizwa na miradi iliyokuwa inaendelea Kigamboni.
Angalia hata Avic town GSM kaigeuza kuwa kambi ya Yanga malengo ya mradi yamebuma serikali kuhamia Dodoma.
Kama unawaandalia watoto urithi wa ardhi basi unaweza kununuwa huko ukajenga mapagala ya kulinda kiwanja kisiuzwe tena na wajanja maana viwanja kama hivyo ukinunuwa huwa kama wanakuroga ukienda mara mbili huendi tena unaishia kusema tu kwa washkaji nina kiwanja buyuni kumbe mmeshauziwa watu watatu, siku ukirudi unaweza kukuta nyumba na mtu ana hati kabisa.