Mnakula Kodi zetu kuhonga wapinzani na kizimkazi kutembea na msafara wa magari 300 pimbi nyie!Mbona hasira bwana Afroman? Tulia dawa ikuingie
Sifa nyingine ni kuwa Msigwa alikuwa beki tatu kwa mzungu, hii isisahaulike kabisa.Msigwa ni la 7 Ndio sababu wakati wa Shujaa Magufuli aligoma kuja CCM kwa kujua Shujaa zake ni PhDs 😂😂😂
Huyu ni mtu wa kuwa naye makini kwani kilichomtoa chadema ni madaraka tu na SI hayo anayoyasema.Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.
Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.
Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.
Sabato Njema 😄
Mimi tena unanijumlisha kwenye ulaji wa kodi? Acha basiMnakula Kodi zetu kuhonga wapinzani na kizimkazi kutembea na msafara wa magari 300 pimbi nyie!
Msigwa yule mwenye akili ndogo au yupi?Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.
Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.
Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.
Sabato Njema 😄
Yule aliyekuwa house boy wa mchungaji mmoja wa kizungu.Msigwa yule mwenye akili ndogo au yupi?
Demokrasia imekomaa Iringa 🐼Ningekuwa mimi watu iringa tungempopoa mawe msaliti huyo
Kuna vichwa nguli wamekaa kimyaa kama hawapo wanawachora tu na hekaheka zenu hizo na T-shirt za mama samia hizo 😂 kikilia tu tusuu!!! Ndio mtaelewa kumbe hamuelewiKama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.
Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.
Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.
Sabato Njema 😄
View: https://www.youtube.com/live/OyyQEl2-RsU?si=WiZhIoVB1lZlS9Ih
Du kumbe alikuwa mlamba vijiko kwa wazungu !!!Sifa nyingine ni kuwa Msigwa alikuwa beki tatu kwa mzungu, hii isisahaulike kabisa.
CCM ndiyo wamemkusanyia watu wamesombwa toka vijiji ili ionekane ni wanachadema wamemfuata huyu mbilikimo.Ningekuwa mimi watu iringa tungempopoa mawe msaliti huyo
Mkuu umemaliza.CCM ndiyo wamemkusanyia watu wamesombwa toka vijiji ili ionekane ni wanachadema wamemfuata huyu mbilikimo.
Kambons yupi huyo? Mbona tumjuae aliondoka wakati wa ubepari nchi inapendeza kwa mabasi ya ghorofa.Alisema atataja Mafisadi walioficha Fedha UK tukajazana Jangwani alipofika akasema hatawataja kwa sababu za kiusalama 😄
Aizikaje kwa mfano!! Ni mjinga peke atamwamini Msigwa. Angekuwa Mbeya au Tarime huo ujinga ungejibiwa kwa mawe na kuzomewa, wale hawajazoea kuishi na wanafiki.Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.
Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.
Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.
Sabato Njema 😄
View: https://www.youtube.com/live/OyyQEl2-RsU?si=WiZhIoVB1lZlS9Ih