Pre GE2025 Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

Pre GE2025 Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Si ilikuwa 20.07.2024...Mbona kimya?
Mwenye taarifa basi...Palikuwa na bandiko humu kwamba watatikisa Mji wa Iringa na viunga vyake,vikubwa vikubwa na vile vidogo vidogo.
 
Hao walioko kwa mbali barabarani wanashangaa ni wawapi na hao wanao cheza ni wa wapi? Nimemusikia Msigwa akisema_ kwa kuwa muda umeenda_...Kwani alianzia wapi?
 
Back
Top Bottom