Pre GE2025 Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

Pre GE2025 Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.

Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.

Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.

Sabato Njema 😄


Mchungaji ameanza kwa kukabidhi baadhi ya kadi za Wanachama wa CHADEMA waliohamia CCM ambao pia wamepanda Jukwaani na kupewa mavazi ya CCM.

Chadema haiwezi kuzikwa na mjinga kama huyo. Njaa mbaya na hawezi na hataweza. Wajinga kama Hawa walikuwepo,wapo na watapita. Chadema ni taasisi , peter ni mjinga mmoja
 
Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.

Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.

Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.

Sabato Njema 😄


Mchungaji ameanza kwa kukabidhi kadi 15 za Wanachama wa CHADEMA waliohamia CCM ambao pia wamepanda Jukwaani na kupewa mavazi ya CCM.

Sehemu ya Hotuba ya Mchungaji Msigwa

Nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyekiti wa Chama na Halmashauri Kuu ya Taifa kwa kunipokea niwe Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi. Pia nawashukuru viongozi wote wa Mkoa na Wilaya kunikaribisha kuwa miongoni mwenu.

Kwakuwa muda umeenda naomba niwashukuru wale wote walionisemea vizuri kwenye Jukwaa hili.

Nianze kwa kusema uamuzi wangu wa kuhama CHADEMA, chama ambacho nimekitumikia zaidi ya miaka 18 haukuwa rahisi, ulikuwa ni mgumu lakini ni uamuzi sahihi. Uamuzi huu umezaa makundi matatu:

1. Wako ambao wamefurahi wamenishangilia na wamenitumia mseji za kunipongeza nawashukuru sana.​
2. Wapo ambao wamechukia wamenitukana na wamenitumia meseji za matusi ninawashukuru sana.​
3. Wapo ambao wapo confused​
Nina matumaini nitakapomaliza kuzungumza hapa wale waliofurahi watafurahi zaidi na yamkini wale walionichukia na kunitukana watanielewa na natumai wale walio confused watapata majibu wataamua wanichukie au waniunge mkono. Kwahiyo kwakuwa wote ni Watanzania na wote tunajenga nyumba moja ninaamini mtanisikiliza vizuri lakini naomba muelewe ni Msigwa yuleyule mwenye akili ileile. Sijaruka mental nimeyachukua maaamuzi haya baada ya tafakuri ya kina.

Hana ubavu huo , waliosema chadama ni chama chenye roho saba wafikili walidanganya
 
KAMA UMEPIGA PUNYETO KWA MDA MREFU NA UNAPITIA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME

Tafuta
1.Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja,
2.Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande],

3.Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake],

3.Unga wa msamitu vijiko nane,
4.Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane,
5.Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.

Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.

Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat soda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari.

Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa ....baada ya hapo itakuwa tayari kwa matumizi

MATUMIZI YAKE
kujua matumizi yake
bonyeza hapa
👇

Au
Wasiliana nasi kwa Kupiga Simu

🤳 0658283250

AFYA Mkononi
Tunajali Afya Yako
 
Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.

Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.

Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.

Sabato Njema 😄


Mchungaji ameanza kwa kukabidhi kadi 15 za Wanachama wa CHADEMA waliohamia CCM ambao pia wamepanda Jukwaani na kupewa mavazi ya CCM.

Sehemu ya Hotuba ya Mchungaji Msigwa

Nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyekiti wa Chama na Halmashauri Kuu ya Taifa kwa kunipokea niwe Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi. Pia nawashukuru viongozi wote wa Mkoa na Wilaya kunikaribisha kuwa miongoni mwenu.

Kwakuwa muda umeenda naomba niwashukuru wale wote walionisemea vizuri kwenye Jukwaa hili.

Nianze kwa kusema uamuzi wangu wa kuhama CHADEMA, chama ambacho nimekitumikia zaidi ya miaka 18 haukuwa rahisi, ulikuwa ni mgumu lakini ni uamuzi sahihi. Uamuzi huu umezaa makundi matatu:

1. Wako ambao wamefurahi wamenishangilia na wamenitumia mseji za kunipongeza nawashukuru sana.​
2. Wapo ambao wamechukia wamenitukana na wamenitumia meseji za matusi ninawashukuru sana.​
3. Wapo ambao wapo confused​
Nina matumaini nitakapomaliza kuzungumza hapa wale waliofurahi watafurahi zaidi na yamkini wale walionichukia na kunitukana watanielewa na natumai wale walio confused watapata majibu wataamua wanichukie au waniunge mkono. Kwahiyo kwakuwa wote ni Watanzania na wote tunajenga nyumba moja ninaamini mtanisikiliza vizuri lakini naomba muelewe ni Msigwa yuleyule mwenye akili ileile. Sijaruka mental nimeyachukua maaamuzi haya baada ya tafakuri ya kina.

Wakati ule nimetoka TLP wengi mliniunga mkono, lakini CHADEMA kiliaminisha vijana wakati ule nilikuwa fresh nikiwa nimetoka Afrika Kusini. Kiliaminisha vijana wengi wakati ule walikuwepo wakina Zitto, Halima Mdee waliaminisha kuwa chama hiki ni chama chenye misingi ya haki, uhuru, demokrasia na maendeleo na muda mwingi walionesha udhaifu wa CCM. Vijana wengi walishawishiwa wakajiunga na chama

Mkiachana siyo afya kutangaza madhaifu ya x wako.
Huo nao ni ugonjwa wa akili
 
Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong.

Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa sababu yeye ni mtumishi wa Mungu.

Karibuni sana na mkutano utarushwa mubashara na Vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa kwani hata BBC wameonekana.

Sabato Njema 😄


Mchungaji ameanza kwa kukabidhi kadi 15 za Wanachama wa CHADEMA waliohamia CCM ambao pia wamepanda Jukwaani na kupewa mavazi ya CCM.

Sehemu ya Hotuba ya Mchungaji Msigwa

Nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyekiti wa Chama na Halmashauri Kuu ya Taifa kwa kunipokea niwe Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi. Pia nawashukuru viongozi wote wa Mkoa na Wilaya kunikaribisha kuwa miongoni mwenu.

Kwakuwa muda umeenda naomba niwashukuru wale wote walionisemea vizuri kwenye Jukwaa hili.

Nianze kwa kusema uamuzi wangu wa kuhama CHADEMA, chama ambacho nimekitumikia zaidi ya miaka 18 haukuwa rahisi, ulikuwa ni mgumu lakini ni uamuzi sahihi. Uamuzi huu umezaa makundi matatu:

1. Wako ambao wamefurahi wamenishangilia na wamenitumia mseji za kunipongeza nawashukuru sana.​
2. Wapo ambao wamechukia wamenitukana na wamenitumia meseji za matusi ninawashukuru sana.​
3. Wapo ambao wapo confused​
Nina matumaini nitakapomaliza kuzungumza hapa wale waliofurahi watafurahi zaidi na yamkini wale walionichukia na kunitukana watanielewa na natumai wale walio confused watapata majibu wataamua wanichukie au waniunge mkono. Kwahiyo kwakuwa wote ni Watanzania na wote tunajenga nyumba moja ninaamini mtanisikiliza vizuri lakini naomba muelewe ni Msigwa yuleyule mwenye akili ileile. Sijaruka mental nimeyachukua maaamuzi haya baada ya tafakuri ya kina.

Wakati ule nimetoka TLP wengi mliniunga mkono, lakini CHADEMA kiliaminisha vijana wakati ule nilikuwa fresh nikiwa nimetoka Afrika Kusini. Kiliaminisha vijana wengi wakati ule walikuwepo wakina Zitto, Halima Mdee waliaminisha kuwa chama hiki ni chama chenye misingi ya haki, uhuru, demokrasia na maendeleo na muda mwingi walionesha udhaifu wa CCM. Vijana wengi walishawishiwa wakajiunga na chama

Amesahau kumshukuru Mungu katika hotuba yake
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Pigilia misumali ufipa mpaka wakose usingz LEO, chadema syo chama Cha siasa ni mradi wa mbowe,
fukia chadema mitaa yote ya semtema na wilolesi kote
MSIGWA HOYEEE
 
Kama baba wa taifa alikikubali chama ichi kipindi kinaanzishwa ,Msigwa ni nani ? Hii chama wasiojua kipo na baraka za Mwalim nyenye tangu anzishwa mfumo wa vyama vingi jueni hili.

Kushindana na chama ichi nikujitafutia matatizo tu

Mwendazake alijaribu kiko wapi , ili taifa liende mbele lazima kuwa na vyama imara, mpaka sasa naitakia ccm kunyanuka walipo kwama maana chama kimekufa na tatizo kubwa kujaza machawa,

Wako wapi vijana ndani ya ccm wenye uwezo kama watangulizi wao na ambao sasa ni ni wazee mfano wasira, butiku,msekwa , n.k?

Sikiliza wimbo wa dr Remy Ongara (R.i.p ) wa Nyerere ,anasema nini husu ccm, ni miaka mingapi imepita.?

Tunataka vyama vyenye ushindani sio tekana , namanisha mtu akinisema mimi ni mwanamke wakati mie mwanaume basi nimpe fact ajue mie mwanaume.

Ccm imelea machawa badala ya kulea vijana wenye maono , hii ni hatari kama chama siasa , leo mwenyekiti basi hawezi sema ila ccm ya sasa inampa wakati mgum sana

Tunasema swala sio rais toka ccm kuongoza nchi au chama chochote bali amepata kwa ridhaa ya wananchi basi
 
Atakua anaongea utumbo hadi koo limuume awe anakanda na mayai mabichi.Ila anatakiwa ajue watz wa leo sio wajinga kiasi chakushindwa kutofautisha nyeusi na nyeupe.
 
Back
Top Bottom