Pre GE2025 Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pigilia misumali ufipa mpaka wakose usingz LEO, chadema syo chama Cha siasa ni mradi wa mbowe,
fukia chadema mitaa yote ya semtema na wilolesi kote
MSIGWA HOYEEE
Leo yeye ndio kajimaliza. Sidhani kama atapews microphone.
 
Yaani cdm imalizwe na Msigwa aliyesema akihamia ccm nyumba yake ichomwe moto? Huyo Msigwa namfananisha na wale watu wanaobebeshwa unga, a.k.a punda. Ccm wanamtumia hadi wanaishia kumchora. Hicho kizazi cha kuelewa hizo porojo za Msigwa kinatoka wapi?
Inaonyesha unaumia Sana mbona umepaniki. Atawamaliza mpaka presha ziwapande, Lazima mudate
 
Mkuu ondoa hyo DP.
Chadema sahz haina mwenyekiti aliyopo muda wake umeisha, apishe uchaguzi wa Mwenyekiti mwngne
Tuwe na subira mkuu. Nitaitoa siku Mbowe akitangaza kugombea uwenyekiti Tena, maana atakuwa ameniudhi kupita kiasi.
 
Mazingira ya taharuki wanazoleta CHADEMA ni hatari kwa Usalama wa Taifa hili.

Nitachukua tahadhari za Msigwa na kuziweka moyoni.

Nitachagua kwa umakini 2025.
=========

CHADEMA isajiliwe kama NGO ama chama cha Wanaharakati tu.
 
Chadema ni chama kubwa

kama inaongozwa nchi Uzi mrefu namna hii
Siyo kawaida

Bwashee tuna matatizo mengi kama nchi juzi kati leaks katutonya kuwa hazina imekauka ndo maana hata kulipa mishahara ni shida

Kwa hiyo chadema na mambo yake si kipaumbele kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…