GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
may fair kawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah..hili chaka kitambo sana ..fanya sana vurugu hapoKwa Macheni Magomeni..
Umenikumbusha mbali sana😂😂😂😂. Aisee hapo Kwa macheni nilikuaga napasikia. Sasa wakati nabukua muhimbili nikawa Kwa swaiba wangu kimara temboni tunapombeka ilipofika saa moja ikabidi nijirudishe Chuo. Nikiwa kwenye daladala na pombe zangu akili ikanijia kunasehemu inaitwa Kwa macheni shuka hapo uangalie totozi. Ebwanaeeee nikadrop pale nikaingia nikaagiza kilimanjaro moja. Kilichonishangaza naona kidume kinanikonyeza, aisee wakati najitafakari hv jamaa alikuwa ananikonyeza Mimi au mwingine ghafla naona bia ya nyongeza naletewa nahoji mbona sijaagiza nyingine naambiwa yule mkaka kakununulia. Ilibidi nijikatae mapema na ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kufika Kwa macheniKwa Macheni Magomeni..
Kahumba na chipukizi .Moro Town hiiKahumba- Hivi bado panaishi pale
Namanga hii..unasogea kdg unaenda Aqua au Q barArcade de NOE - MSASANI KIMWERI ROAD
Bar one ..MasakiFish Monger Masaki
Hahahahaha..hapa unachukua na room kbsmay fair kawe
Kuna bar moja ilikuwa kituo cha kivulini kuja ubungo miaka ya nyuma jina lake nimesahau.4 Ways Mwenge
Morogoro??Kahumba- Hivi bado panaishi pale
Sasa hao walikua wanakufanyia hivyo, wewe ulihosi ni nani, Wanaume kama wanaume, au Wanaume kama majike? 🤣🤣🤣Umenikumbusha mbali sana😂😂😂😂. Aisee hapo Kwa macheni nilikuaga napasikia. Sasa wakati nabukua muhimbili nikawa Kwa swaiba wangu kimara temboni tunapombeka ilipofika saa moja ikabidi nijirudishe Chuo. Nikiwa kwenye daladala na pombe zangu akili ikanijia kunasehemu inaitwa Kwa macheni shuka hapo uangalie totozi. Ebwanaeeee nikadrop pale nikaingia nikaagiza kilimanjaro moja. Kilichonishangaza naona kidume kinanikonyeza, aisee wakati najitafakari hv jamaa alikuwa ananikonyeza Mimi au mwingine ghafla naona bia ya nyongeza naletewa nahoji mbona sijaagiza nyingine naambiwa yule mkaka kakununulia. Ilibidi nijikatae mapema na ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kufika Kwa macheni
Kivulini Bar and Guest House. Imehamia ndani kidogo kutoka barabaraniKuna bar mo
Kuna bar moja ilikuwa kituo cha kivulini kuja ubungo miaka ya nyuma jina lake nimesahau.
Wakufunzi wa UD walikuwa wanapapenda sanaKivulini Bar and Guest House. Imehamia ndani kidogo kutoka barabarani