Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nilijifunzia kucheza pool hapaKivulini Bar and Guest House. Imehamia ndani kidogo kutoka barabarani
COMEO CINEMAMwanaisungu, Tabora.
Roumas Club, Mwanza.
Mtema A&B, Nyakato Mwanza.
Mwanga bar, Dodoma.
Kilimani club, Dodoma
🤣🤣🤣🤣Sikutaka hata kujua ni upande Gani coz hata hao wa upande wa kike siwakubali abadani. Nilishtuka Sana kiukweli. Tatizo sio Ile bia tatizo kukonyezwa alafu Kila nikiangalia pembeni sioni mtu zaidi yangu ikimaanisha Mimi ndio nimekonyezwa.Sasa hao walikua wanakufanyia hivyo, wewe ulihosi ni nani, Wanaume kama wanaume, au Wanaume kama majike? 🤣🤣🤣
Hii ni kweli?Club Billicanas
ChaiBilicanas asee yani miaka hiyo ya 70 hadi themanini. Nikikumbuka enzi hizo za ujana wangu. Kununua nyama tu lazima uombe kibali kwa mwenyekiti ana mjumbe.
Meridian, vijana,uhuru camp,lango la jiji,kiria bar supu vichwa mbuzi migo,Macheni bar Magomeni
Noma sana hiyo kiwanja
Catalunya Bar Mlimani
Mango walikua na mchemsho mzuri.huu uzi vitoto vya 2000's vinashangaa hapa baba zao walivyokua wanaruka debe Shentembaa bar Kinondoni,Mango Garden Kinondoni,Sansiro bar Nyakato Mwanza,City Cabana Mwanza.