Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Poa poa mkuuKaribu na Radio Free Africa, ikaja kufanywa Hostel za wanafunzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poa mkuuKaribu na Radio Free Africa, ikaja kufanywa Hostel za wanafunzi.
Kahumba kulikuwa na Shamkupe mmoja anaitwa Agatha..lilikuwa ni balaa..na Kuna Mzee alikuwa analeta kuku kwenye ndoo usiku...looooong time! Aha aaah!Morogoro??
Hawa wamechoma bata kumedoda siku hizOceanic Resort- Mbweni
Tuanzishe mpiga miti club 🤓Mwanaisungu, Tabora.
Roumas Club, Mwanza.
Mtema A&B, Nyakato Mwanza.
Mwanga bar, Dodoma.
Kilimani club, Dodoma
Matakoooo bar temeke ilikuwa na mimi yenye makalio hatariViwanja vyote vipo kino dc
Ngoja watu wa gomz na mbagala waje🏃🏃🏃🏃
Hii inaonesha wazi kuwa watanzania hatuwezi kumiliki biashara na zikadumu!
huu uzi vitoto vya 2000's vinashangaa hapa baba zao walivyokua wanaruka debe Shentembaa bar Kinondoni,Mango Garden Kinondoni,Sansiro bar Nyakato
Wapi Wapis kina Stanley Mabesi walishalatumia sana kwa masumbi na ule wa Relwe GerezaniWapi wapis ilikuwa moto. Kipindi hicho bendi zinapiga pale. Hivi DDC Kariakoo haipo tena? Hivi maeneo ya Ubungo si kulikuwa na bar inaitwa White House?
Ungefanywa kitoweo ...Umenikumbusha mbali sana😂😂😂😂. Aisee hapo Kwa macheni nilikuaga napasikia. Sasa wakati nabukua muhimbili nikawa Kwa swaiba wangu kimara temboni tunapombeka ilipofika saa moja ikabidi nijirudishe Chuo. Nikiwa kwenye daladala na pombe zangu akili ikanijia kunasehemu inaitwa Kwa macheni shuka hapo uangalie totozi. Ebwanaeeee nikadrop pale nikaingia nikaagiza kilimanjaro moja. Kilichonishangaza naona kidume kinanikonyeza, aisee wakati najitafakari hv jamaa alikuwa ananikonyeza Mimi au mwingine ghafla naona bia ya nyongeza naletewa nahoji mbona sijaagiza nyingine naambiwa yule mkaka kakununulia. Ilibidi nijikatae mapema na ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kufika Kwa macheni
Pole kwa msongo wa mawazo.. Umenikumbusha kisa kimoja, nlisafiri kwenda nchi za asia ya kusini, ebwana wee siku moja si nkaenda salon, nkawa nanyolewa na mhindi mmoja wa kiume, nami ni me ofcourse, sasa jamaa wakati ananinyoa akaanza kushika dudu langu, duuuh niliduwaa , hasira si hasira, nkawa nawaza huyu jamaa vipi? basi nkamsukumia mkono wake kule kisha nkamuambia 'finish please' i wanna go ... mpaka leo namchukia sana yule jamaa🤣🤣🤣🤣Sikutaka hata kujua ni upande Gani coz hata hao wa upande wa kike siwakubali abadani. Nilishtuka Sana kiukweli. Tatizo sio Ile bia tatizo kukonyezwa alafu Kila nikiangalia pembeni sioni mtu zaidi yangu ikimaanisha Mimi ndio nimekonyezwa.
😂😂😂😂😂😂😂Hiyo namba moja ndiyo 99% ya Watangazaji wa ITV, Radio One na Capital FM wanaongoza kwenda Kugongea / Kuomba Chakula cha bure au cha Kukopa
Na Mmoja akibahatika kununua tu Chakula chake basi Kitadowewa na Wenzake wote walioko huku Wengine kwa Kutokushiba Kwao wakilamba kwa Miulimi yao Sahani kwa Kugombaniana hadi Sahani inaanza kutoa Machozi kwa Kuvutwavutwa na kila Mtu ili ilambwe Masalia yaliyobakia.
Namba 8 sina hamu nayo kwani Niliokota Goma mwaka 2014 likataka nikiwa Namshindilia kulikohalalishwa na Vitabu vya Dini hasi pia niwe nakumbuka pia na Kumshindilia kule Kusikotakiwa kabisa na Kulaanika.
Umesahau swala la kuanzisha biashara kwa kufata mkumbo!Succession plans za hovyo.
1) Warithi wanaoachiwa mali badala ya kuzihesabu Kama mtaji wao wanazihesabu Kama zawadi zao za ku’spend.
2) Wanaotegemewa kushika usukani hawaandaliwi kwa kuzingatia uhalisia na mazingira.
3) Ubinafsi wa kutisha kati yao wote, mrithi na mrithiwa.
4) Ndugu kuendelea kuwa tegemezi kwa ndugu mwenye mali na kujihesabia haki kwenye mali zilizoachwa na mchumaji bila kujua njia wala mbinu zilizotumika kuzichuma.
Tujitahidi kuwashirikisha wategemezi wetu katika utafutaji wa mali watakazorithi na kuhakikisha wanatambua misingi na mbinu za utafutaji.
Tujitahidi kudhamiria muendelezo wa kudumu vizazi na vizazi katika biashara, utafutaji na “legacy za family/koo zetu.
Hasiejua atokako, hawezi kutambua aendako.
Lakini pia, Nothing lasts Forever.