Hesabu nilipata mswaki😁Wauza unga, wapigaji, A.k.a yahoo boys, hii bongo asilimia ngapi ya wanaume ni wauza unga wenye hela, na wadada kausha damu ni asilimia ngapi, obviously wadada kausha damu ni wengi mno kuliko wauza unga, mbona hesabu hazi-tally Joannah
Mama mtumishi umefikiwa🙄 style gani tena jmn
Ume Anza😃🤣🤣, nime semea upako 😃Mama mtumishi umefikiwa
🤣🤣KumekuchaMama mtumishi umefikiwa
Hakika umenena ukweli mtupuWewe mpotezee tu hayo mambo ya kuolewa atajua mwenyewe. Unadhani ni wote wanataka kuolewa? Wengine wapo kazini...
HahaaaaYan nikikutana na kauli kama hiz hamu ya mwanamke inaisha papo hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wewe si TAJIRI MKUU WA MATAJIRI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachokuuma nini hapo
Anakuwa hakupendi
Mwanamke akimpenda mwanaume ht kuomba Hela unawaza
Hii ni noma sana.Usitafute mwanamke masikini wa mali na akili.
Kuwa na standards.
Vinginevyo, haya ni matatizo ya kujitakia.