Vizinga vinawapotezea wanawake potential husbands. Hela uliyoitafuta kwa jasho inauma sana

Vizinga vinawapotezea wanawake potential husbands. Hela uliyoitafuta kwa jasho inauma sana

Hiyo hoja ya "watakosa wanaume wazuri" kwa kiasi kikubwa hapa ni passive aggressive reverse psychology tu ya wanaume wanaojifanya wana huruma sana.

Wanawake wajinga wakikosa wanaume wazuri wewe mwanamme inakuuma nini? Si wamekosa kwa ujinga wao?

Hao wanaosema hivyo wengi wao ni wanaume wenye upwiru tu wanataka wanawake wajirahisishe kwao, katika mfumo unaolazimisha uwe na hela ili kuwa na mwanamke.

This is not an entirely altruistic argument.

Ni kama hoja ya Waislamu kutaka wanaume waoe wake wengi ili wawasaidie wanawake.

It is a thinly disguised self serving passive aggressive reverse psychology trick.
Wee jamaa u must be bating for the wrong team
 
Mim sijasema kua ni kazi yako kuhakikisha kila mwanamke anaolewa.

Ninachotaka kusema sasa ni kwamba utajiri na umasikini si kipimo sahihi cha ndoa kwa mwanamke, utayari wa mtu ndio kitu pekee.
Wewe kuoa mwanamke tajiri wa akili na mali hakuna maan ya kwamba ndio usahihi kweny maisha.
Unaweza pata huyo tajiri na vizinga vyake uvikimbie na unaweza pata huyo unaeona ana akili lakin ikafika mahala ukaona kwamba anakupanda kichwani yeye ndo anataka achukue nafasi ya ubaba katika familia na mahusiano

Ndoa, mahusiano ni utayari wa mtu wa moyo.
Mim naona hivo.
Ewaah naungana na ww.....yaani utajiri au maarifa sio guarantee kwamba ndoa au mwanamke atakuwa supa

Inshu ni kumkabidhi Mungu njia akuonyeshe hapa ni sahihi na ukikaaa mtatoka hatua Moja kwenda nyingine
 
Ha haaa umeongea kama mama yangu,anasemaga hii tabia ya wadada kuomba mihela mikubwamikubwa ni sababu wameharibiwa na wapigaji wauza unga maana Hela zao haziumi...
Wauza unga, wapigaji, A.k.a yahoo boys, hii bongo asilimia ngapi ya wanaume ni wauza unga wenye hela, na wadada kausha damu ni asilimia ngapi, obviously wadada kausha damu ni wengi mno kuliko wauza unga, mbona hesabu hazi-tally Joannah
 
Back
Top Bottom