RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hao si matajiri wana hela ya kula na kubadili mboga. Hao ikitoka awamu moja ikija ingine wanakuwa Hoi.Ha haaa na asilimia kubwa ya hao wapigaji ndio matajiri wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao si matajiri wana hela ya kula na kubadili mboga. Hao ikitoka awamu moja ikija ingine wanakuwa Hoi.Ha haaa na asilimia kubwa ya hao wapigaji ndio matajiri wenyewe
Ha haaa umeongea kama mama yangu,anasemaga hii tabia ya wadada kuomba mihela mikubwamikubwa ni sababu wameharibiwa na wapigaji wauza unga maana Hela zao haziumi...Hao si matajiri wana hela ya kula na kubadili mboga. Hao ikitoka awamu moja ikija ingine wanakuwa Hoi.
Sio wote tutakaofanya huo ujinga haina kutoa kishingo upande, hapohapo ni kupiga chini kausha damu huyoUsiku huo huo unaanza mizinga, naomba 150,000/- mama mdogo ana fibroid anatakiwa upasuaji. Kwa shingo upande unampa.
Maana yake ni kwamba huyo mtu potential sio lazima awe kwa ajili ya huyo dada. Kwamfano mimi naweza kuwa wife material lakini sio material kwa ajili yako. Kwahiyo we ukinikataa nikawa nang’ang’ania kuwa Mzabzab hanitaki wakati mimi ni wife material, nakuwa nimejipa umuhimu nisiokuwa nao kwako. Hope umeelewa.Basi mngekuwa mnaolewa na machizi
NAKAZIASasa ukilazimisha kuwa naye, wakati tangu mwanzo kakuonesha upande wake, wewe ukang'ang'ania, hapo kosa ni lako.
Ukiona hamuendani, unambwaga.
Wanawake mbona wako wengi sana tu?
Sasa tatizo vijana wanaona kama ligi, kila mwanamke lazima umpate, hata kama hamuendani.
Mi nasambaza amani, ya nini niji fanye kauzu.🤣🤣🤣🤣Ila wewe
Hapaa mama mchungaji, pale Mr jobless katekista😃🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora hata wewe ilikua 150,000/=.
Mimi nilipoga u-turn nilipopigwa kizinga cha elfu 10 tuu...imagine..sasa 150k si ndio ningepagawa
Ahahahah..kwan leo basi.? Mi nilishaachanaga nayo kitamboo sana mkuu..sema nyege tu ndio zinasumbua zinataka kunipelekesha..ila nikokutana na vizinga kama hiv, nyege zinakata ghafla paah!!!We bora uachane na mapenzi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa endelea kuomba maombi ya mfungo😆Mi nasambaza amani, ya nini niji fanye kauzu.
👉Kama najiona vile uki nitambulisha jimboni😃🤣
Nachekaaa🙌🙌🙌Hapaa mama mchungaji, pale Mr jobless katekista😃🤣
Wazo na ushauri mzuri sanaSio wote tutakaofanya huo ujinga haina kutoa kishingo upande, hapohapo ni kupiga chini kausha damu huyo
Asubui mazoezi ya viungo, jioni tuna hubiri ka neno wote🤣😃Nachekaaa🙌🙌🙌
Eti kstekista😆
Ntakonda mwili, waseme pepo limo ndani yangu🤣.Sawa endelea kuomba maombi ya mfungo😆
Naomba helaAhahahah..kwan leo basi.? Mi nilishaachanaga nayo kitamboo sana mkuu..sema nyege tu ndio zinasumbua zinataka kunipelekesha..ila nikokutana na vizinga kama hiv, nyege zinakata ghafla paah!!!
[emoji1][emoji1]Hiyo hoja ya "watakosa wanaume wazuri" kwa kiasi kikubwa hapa ni passive aggressive reverse psychology tu ya wanaume wanaojifanya wana huruma sana.
Wanawake wajinga wakikosa wanaume wazuri wewe mwanamme inakuuma nini? Si wamekosa kwa ujinga wao?
Hao wanaosema hivyo wengi wao ni wanaume wenye upwiru tu wanataka wanawake wajirahisishe kwao, katika mfumo unaolazimisha uwe na hela ili kuwa na mwanamke.
This is not an entirely altruistic argument.
Ni kama hoja ya Waislamu kutaka wanaume waoe wake wengi ili wawasaidie wanawake.
It is a thinly disguised self serving passive aggressive reverse psychology trick.
Yan nikikutana na kauli kama hiz hamu ya mwanamke inaisha papo hapo.Naomba hela
Lazima kulipa gharama kwenye Kila kituNtakonda mwili, waseme pepo limo ndani yangu🤣.
👉We fanya hivyoo, nili tumikie Jimbo😃
😅😅Asubui mazoezi ya viungo, jioni tuna hubiri ka neno wote🤣😃