Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikaa naye vizuri na kumuelewa, kama si sahihi, hutamuoa at all.Oa acha oa acha hadi umpate aliye sahihi
Kwa nini jamii yetu inafanya mtu, hususan mwanamke, akiwa hana mahusiano, hana mtoto, ni kama mtu ambaye hajakamilika?Kuna binti nilikaa nae chini Ijumaa tukapiga story. Nimejikuta namuonea huruma kwani yupo 32yrs, ana kazi, ana nyumba, hana mtoto wala mahusiano ya kueleweka mpaka sasa na hajui nini afanye.
Mzigo akabebe mama yake aliyemlea vibayaUkikaa naye vizuri na kumuelewa, kama si sahihi, hutamuoa at all.
Mkuu walio anzisha haya mambo ni wahengaSamahani kwa kuwa nje ya mada, hivi alieanzisha kuitana mkuu hapa JF ni nani?
Inategemea na kiwango cha ubahriSiri ya utajiri ni ubahili
That is neither here nor there with regards to my point.Mzigo akabebe mama yake aliyemlea vibaya
My friend, kwahiyo wewe maisha yako huku JF kila siku ni malalamiko? 😂😂Sio wanawake ya kizazi cha sasa hawana hata aibu yaani hata ukimjibu "sina hela" anakuuliza "utakuwa nayo lini?
Yeye mwenyewe anaonesha kutoridhika na hali hiyo. Na ndio sababu akaomba ushauri kutoka kwangu.Kwa nini jamii yetu inafanya mtu, hususan mwanamke, akiwa hana mahusiano, hana mtoto, ni kama mtu ambaye hajakamilika?
Kwani utu wa mwanamke haukamiliki kama hana mahusiano au mtoto?
Yeye mwenyewe kazungukwa na jamii inayomfanya ajione mnyonge, ndiyo maana hata kaona jambo hilo si la kawaida na linahitaji kuomba ushauri.Yeye mwenyewe anaonesha kutoridhika na hali hiyo. Na ndio sababu akaomba ushauri kutoka kwangu.
Kabisa mkuu yani mpaka anatia huruma. Aliongea vitu mpaka nikapata simanzi.Yeye mwenyewe kazungukwa na jamii inayomfanya ajione mnyonge, ndiyo maana hata kaona jambo hilo si la kawaida na linahitaji kuomba ushauri.
Yani tumemfanya mwanamke ambaye hana mtoto wala mahusiano awe mtu wa ajabu sana, wakati hayo nayo ni maisha tu.
Huu ni unyonge usio na lazima.Kabisa mkuu yani mpaka anatia huruma. Aliongea vitu mpaka nikapata simanzi.
Zaidi mama yake mzazi ndo anazidi kumchanganya since kazaliwa peke yake na baba alishafariki.Huu ni unyonge usio na lazima.
Mimi siwezi ng'ang'ana na mwanamke kuweka mipaka na ndugu zake ni yeye atumie akili zake kuweka mipaka maana kweli nafikiria kumuoa . Nikimwambia mimi naona kama ataona nawachukia ndugu zake huo mtihani ni wake maana indirect na mwelezaga kijanja sanaMkuu mbona kutokana na maelezo yako unaonekana kama wewe bado safari ni ndefu..?[emoji1][emoji1]
Kuna jambo moja baya sana kifalsafa katika dhana nzima ya kumpangia uzazi mtu mwingine.Zaidi mama yake mzazi ndo anazidi kumchanganya since kazaliwa peke yake na baba alishafariki.
Sasa mbona hawasemi kama wanakosa badala yake wanatuzodoa kuwa sisi ndo tunakosaNi kwamba wanawake wanakosa potential husbands na wanaume wanakosa potential wives
So ni lose-lose situation shem😊👆
Nakubaliana nawe 100%🤝Kuwa na standards.
Uwezo wa kujieleza tu shemSasa mbona hawasemi kama wanakosa badala yake wanatuzodoa kuwa sisi ndo tunakosa
Mkubwa taratibu basi 😃🤣, kabla ya mwenda mbali.Kakuuliza ,unapenda mashangazi? Mbona unaruka ruka vitu vya msingi unakimbia kimbia??
Tayana-wog Naomba nimjibie, huyu dogo anapenda mashangazi ila sio wale vimbau mbau ..Mashangazi yanakua na nyama nyama, wale wembamba wanaitwa vishangazi